Kwa wale waliopunguzwa kazini (USAID na wengine)

Ilitakiwa uelezee pia kwenye hiyo mchele debe 35 unatakiwa kuishi na watu vizuri, uwe na marafiki madereva malori na wasafiri ili kusiwe na gharama za nauli..!!
Endelea kuambiwa kila kitu
 
Kama hawajatokaa mda wotee waje mtaanii kupambanaaa

Wamekulaa sanaa wamepiga sana kama walijua wanafika USAID wake kuuza magadi na sabuni zakee
 
Kama nawaoanaaa tacaids hahaa na wale wahuni WA sinza wanajiita shirika la wente ukimwi kwenye nyumba ya mkurugenzi waoo aisee mtanyokaa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…