Inawezakua ulishawahi kusoma seminary, ila kwa bahati mbaya wakakufukuza kwa kukosa wastani ndo maana una kandia. Seminari bado itaendelea KUONGOZA.
kaka Jangakuu unakumbuka enzi za kubundi za kuja na machano pale VISIGA SEMINARY tutamkumbuka sana marehemu FR.MAMBO
Kwani maisha ya pale yalikufanya mtu uishi ktk mazingira ya uwoga kama hujiamini
Ha ha ha nakumbuka mbali st Pius makoko seminary rector fumakule aka pumbu ..full sala masifu plus poor diet
st.joseph kilocha.sapula
ahh ha ha ha hayo majina mnayotumia humu JF waseminari mnanifurahisha sanaaaaa yaniiiiiiii.......ebu tusaidiane waseminari wangapi wananyazifa za uongozi Tanzania...tukianzia uraisi,ubunge,uwaziri na sector za juu wizarani...tutaje na seminari walizotoka...kwa kuanzia Membe{waziri mambo ya nje...namupa na dungunyi seminary},mnyika{maua seminary},cyril chami{uru},dr.slaa{kule arusha nimesahau jina badaae Dungunyi.....mimi mwenyewe{st.james seminary
logic fuatilia.........nimewahi kudodge mara nyingi na hata kutoloka by da way ckuwa mtakatifu vile nilikuwa mwanadamu wa kawaidakwa hiyo na we ni waziri ngoja nianze kupekenyua post zako nione kama huwa unatukana,vipi hukuwahi doji kwenda masifu au kanisani siku moja
Kwa kweli nimeona na mimi nitie neno kdgo; kama kawa SPS,St.Peter's Sem.2005-2008,Rector Chief Kung'alo,Ndwange,Kiangazi,Kilambo,BOTTA. Joint mass Kilakala,out Moro sec,ijumaa chupi na banzi desert,.daz baba
ahh ha ha ha hayo majina mnayotumia humu JF waseminari mnanifurahisha sanaaaaa yaniiiiiiii.......ebu tusaidiane waseminari wangapi wananyazifa za uongozi Tanzania...tukianzia uraisi,ubunge,uwaziri na sector za juu wizarani...tutaje na seminari walizotoka...kwa kuanzia Membe{waziri mambo ya nje...namupa na dungunyi seminary},mnyika{maua seminary},cyril chami{uru},dr.slaa{kule arusha nimesahau jina badaae Dungunyi.....mimi mwenyewe{st.james seminary
St.Peter's Seminary Morogoro: Ukiingia getini unakutana na Our Mottor is Pray,Study,Work Ukitoka Unaambiwa Remeber our Motto: Wapi Fr.Carol Mroka, I like that Man,fr.Sewando,Fr.Patrick Kung'aro: Anthem yetu "Baba Petro Msimamizi wa shule yetu kwakuomba utuombee kwa bwana Mungu wetuuuu,Baba Petroo.....Natafuta Contact za Fr.Pastol Kijuuu please anyone in touch with this Fr.please assist. Jamani Jamani where is Brother Msewanga.Mlezi wa TYCS
Je tall wa kitchen mnamkumbuka???
Huko seminari kuna hako kamchezo ka kulawitiana na hilo si udini, kwani dini zote zinakataza. Unachotakiwa ni kufunguka kama umeshawahi kufanyiwa hayo ili uwe huru.
Waliosoma seminary za Kikatoliki wengi wamelawitiwa/wamelawiti ma Father, ushahidi huu hapa:
He was my priest and my friend. Then I found out he was a paedophile | Comment is free | The Observer
Si Tanzania tu ni dunia nzima:
Catholic sex abuse cases - Wikipedia, the free encyclopedia
Mliosoma seminari za Kikatoliki fungukeni mponeshe majeraha kwa kuondoa madukuduku ya siri mbaya zilizowakaa moyoni.