Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Jamani umenipeleks mbali sana mkuu...! Atakumbukwa fr. Duba(baba gambera) na fr.Wabanhu spritual directory sengerema seminary. Hawa mapadri walinifukuza 2002, nikiwa form two walinivurugia future yangu. Ila Mungu awasamehe. Maana mpaka sasa bado nasuffer of their impact to my education career.

dahhh mkuu pole sana´...kwani walikuondoa bila kosa...
 
hivi ww ni stoic philosopher wa sps au wa wapi....mana kuna jamaa namfahamu alikuwa akitwa stoic philosopher

Yah! Siyo huyo, ila nami ni SPS.
 
Milele amina.Mko Wapi wa st patrick dung'unyi seminary
 
Kuna vitu common kwa shule za seminary, Majina ya wapishi mara nyingi yanakuwa ya utani au kuchekesha, waseminari wengi wakiwa shule wanakuwa ni wezi wa vyakula/matunda/mifugo na wanaletea hasara shule kuliko unavowafikiria, Kufukuzwa shule ni kitu rahisi sana hasa kukatwa maksi ili mradi uwe below fifty, form one/preform one (nguruwe) hawana haki kabisa na kazima kuna na siku maalum ya kuwakata mikia mara baada au karibia napepa ya mwisho wa mwaka, lazima katika kila darsa kutakuwa na watoto wa mababa(puppets au wanoko) wa kupeleka umbea kwa mapadiri, kati ya masista wanaohudumia mafadha lazima mmoja atakuwa chakula ya mseminary, kulima ni kitu cha kawaida na miraba yao wanachongea sifa yaani mirefu balaa na waseminari huwa wanapendwa sana na watoto wa kike wa kijijini (sehemu ilipo shule). SIJASAHAU MASIFU HASA YALE YA JUMAMOSI USKU KUAMKIA JPILI AMBAYO NI SIKU YA WALI MDUDU.

wap hiy, alaf inaonesha walikuondoa ww
 
Kuna vitu common kwa shule za seminary, Majina ya wapishi mara nyingi yanakuwa ya utani au kuchekesha, waseminari wengi wakiwa shule wanakuwa ni wezi wa vyakula/matunda/mifugo na wanaletea hasara shule kuliko unavowafikiria, Kufukuzwa shule ni kitu rahisi sana hasa kukatwa maksi ili mradi uwe below fifty, form one/preform one (nguruwe) hawana haki kabisa na kazima kuna na siku maalum ya kuwakata mikia mara baada au karibia napepa ya mwisho wa mwaka, lazima katika kila darsa kutakuwa na watoto wa mababa(puppets au wanoko) wa kupeleka umbea kwa mapadiri, kati ya masista wanaohudumia mafadha lazima mmoja atakuwa chakula ya mseminary, kulima ni kitu cha kawaida na miraba yao wanachongea sifa yaani mirefu balaa na waseminari huwa wanapendwa sana na watoto wa kike wa kijijini (sehemu ilipo shule). SIJASAHAU MASIFU HASA YALE YA JUMAMOSI USKU KUAMKIA JPILI AMBAYO NI SIKU YA WALI MDUDU.

Kuhusu kukata marks cdhani naona kama umedanganya,wapo very fair kwenye marks ila very serious.
 
Nimesoma posts zooote sijawaona wadau wa St. Joseph's seminary Ujiji- UJISEMI, mko wapi?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Tupo mkuu, ila mi nimesoma 2007-2010 Iterambogo chini ya uongozi wa Fr. Rufyiriza na baadaye Fr. Mahinja(Gambera).
 
Mzee kea mpishi wangu,rocky english teacher,sr elsi math..long live seminaries,,espcl makoko.
 
Kuhusu kukata marks cdhani naona kama umedanganya,wapo very fair kwenye marks ila very serious.

mkuu kwa kawaida madarasa ya seminari yanapungua ukubwa kadiri ya vidato vinavoongezeka, yaani form I ni kubwa kuliko fom4 au six, inafika kipindi inabidi namba ipungue hata kama wote mmefauru above fifty, hapo ndipo wanapokata maksi
 
kwa kweli sengerema seminary ni kati ya shule ambazo zimetoa madokta,wahandisi wakina geofrey msumali, wahasibu kama mtesigwa ludana magovongo walimu akina daniel chacha pascal manjala mchinjo walipata sana hao toto chini ya uongozi wa bageni elias shija wapi kaka
 
...respect kwako uliyeleta uzi huu!! Nimepata chance ya kuwapa hi ndugu zangu wa Kasita,Visiga,Don Bosco,Namupa,Dungunyi,Bihawana,Soni,Chanjale,Uru,Maua,Ujiji,Sengerema, St. Mary's Mbalizi, Rubya na wengine wote nisiowataja!! Nashukuru Mungu nilipata nafasi ya kupitia maisha ya useminari St. Peter's Seminary..... Sala, Elimu na kazi ndo ulikuwa moto wetu na imeendelea kuwa part ya maisha yangu!!
 
St joseph or kaengesa seminary...dah enzi za mzee matipa na sangu mkubwa kama lector...issue za kuchoma mahindi msituni....issue za kukata mkia form one...tarehe tisa mwizi wa tisa saa tisa usiku....
Japo uzi wa zamani, umenifanya nimkumbuke babu yangu marehemu Fr. Matipa, kumbe ulikua mwanafunzi wake
 
Aaaa wengine tulizikwepa baadae tukaenda major seminary tumeshindwa tumerudi kitaa..

Seminary ni jkt nzuri anywat
 
Back
Top Bottom