kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,491
SIO KWELI ANGALIA LIST YA WASEMINARI HAPA,MNYIKA, MEMBE,MKAPA,DR SLAA,KARUGENDO,NUSU YA USALAMA WA TAIFA NI WAO,LIST INAENDELEA.....nyie waseminary wa kikatoliki wengi wenu ni wajinga na wapumbavu kabisa, huku chuoni ndio mnongoza kwa ufuska, hamsali tena eti mshasali sana, waoga kumkiri kristo hata wengine hamtaki kujiita wakristo, huu ni unafiki na uzandiki, kanisa limewapa elimu bora badala ya kuitumia kulisaidia kanisa na taifa mmekengeuka, badilishen njia zenu na muungame mmurudie kristo, anaebisha juu ua haya tafadhali awaangalie WENGI wa waseminary waluoko vyuoni ni aibu kubea kwa kanisa katoliki.