Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

nyie waseminary wa kikatoliki wengi wenu ni wajinga na wapumbavu kabisa, huku chuoni ndio mnongoza kwa ufuska, hamsali tena eti mshasali sana, waoga kumkiri kristo hata wengine hamtaki kujiita wakristo, huu ni unafiki na uzandiki, kanisa limewapa elimu bora badala ya kuitumia kulisaidia kanisa na taifa mmekengeuka, badilishen njia zenu na muungame mmurudie kristo, anaebisha juu ua haya tafadhali awaangalie WENGI wa waseminary waluoko vyuoni ni aibu kubea kwa kanisa katoliki.
SIO KWELI ANGALIA LIST YA WASEMINARI HAPA,MNYIKA, MEMBE,MKAPA,DR SLAA,KARUGENDO,NUSU YA USALAMA WA TAIFA NI WAO,LIST INAENDELEA.....
 
Axee walioxoma queen of apostles seminary! Dah! Nakmbka xana makoronya, Mira ,miviga na morning star! Dah ktambo xana, na wale makongwe wa kijogoo!
Wewe jamaa nimekukumbuka bingwa wa kudoji kumbe upo duniani aiseee
 
Tumsifu Yesu Kristu Waseminarist. Nimependa sana wazo la kukutana walau mara moja ama mbili kwa mwaka. wazo langu mnaonaje kama tutaanzisha Group letu Whatsap waseminari wote Tanzania? baadae tunaweza kuform hata kitaasisi Cha Waseminari.
asanteni sana
WAZO JEMA SANA ILA KUANZISHA GROUP LA WHATS APP NAONA UTATA SANA....LAKINI NI WAZO ZURI
 
Nilifukuzwa don bisco mafinga eti coz sina wito nlikuwa nachekesha kishenzi Charlie chappling mchumba
Nkashanga nkiwa form one Dec.tunasubiria abood ije kutuchukua napewa bahasha ya A4 nksjua kuna zawad kumbe WAP ndio nimefuzwa hivyo
Ila sio kuwa nilikuwa kilaza no coz nlitoka na wastan wa 83 hiyo npo form one
Ndio mana mpaka Leo nayachukia mahindi Yale meusi kama mnubi coz limenifukuza bila sababu ila ndio hivyo safar moja haunzisha nyingne bado napeta
 
[emoji3] [emoji3]
Seminary bana kama jeshi vile!
Rubya seminary kwa Faza Edson Mutemnbei, Florian Kamuhabwa, Faza Wilson Kasigwa... Kuwaona wadada mpaka kuwe na upadrisho pale porokian Rubya..... Namshukuru Mungu nidham na kujiamini msingi nimeutoa pale..... Salam kwa jirani zetu HUMURA SECONDARY SCHOOL kwa Mr Almachius Mafigi don
[emoji122][emoji122][emoji125]
 
Nilifukuzwa don bisco mafinga eti coz sina wito nlikuwa nachekesha kishenzi Charlie chappling mchumba
Nkashanga nkiwa form one Dec.tunasubiria abood ije kutuchukua napewa bahasha ya A4 nksjua kuna zawad kumbe WAP ndio nimefuzwa hivyo
Ila sio kuwa nilikuwa kilaza no coz nlitoka na wastan wa 83 hiyo npo form one
Ndio mana mpaka Leo nayachukia mahindi Yale meusi kama mnubi coz limenifukuza bila sababu ila ndio hivyo safar moja haunzisha nyingne bado napeta
pole sana mkuu ila ninachofahamu huwa ni kwamba anyefukuzwa seminari kwa sababu ya kukosa wito wengi huwa wanakuwa mapdre
 
pole sana mkuu ila ninachofahamu huwa ni kwamba anyefukuzwa seminari kwa sababu ya kukosa wito wengi huwa wanakuwa mapdre
Sio Mkuu upepo unabadilika ukishakula tunda la mti wa katikat unakuwa taabani hykumbuki
Kanisa tena
 
Kwa ile utemi wa masisita,na roho ngumu sijui vile Hawaii wala kuoa.... Unajengewa moyo mgumu hata unaweza kujiunga na kudi LA kigaidi
 
Kwa wale wa Lighano, bado namchukia sana Father Chilewa, ila Nchimbi (pope) alikuwa poa sana. Da! Ila sitakaa nisahau Father Deo Mapunda (RIP) alivyotuchimbisha miti wakati wa kutengeneza mashamba mampya. Ila tuliiba sana kuku na kuwachinja na kuwabanika usiku wa manane. Maisha ya seminari yalikuwa na raha na karaha nyingi sana. But thanks GOD ndio yamenifanya nijue maisha na kuwa na elimu isiyo na mgogoro
Hahaha Bob nimepita pale kaka,Mzee wa makofi ya uso.
 
Tukisema hatuna dhambi tunajidanganya...

Kila Jmosi ya kwanza ya mwezi ilikua ni siku ya Benediction (Maungamo)...tulikua tunaenda chapel (kanisani) inaendeshwa ibada ya maungamo (Somo: Tukisema hatuna dhambi tunajidanganya wenyewe na kweli haimo ndani mwetu...).

Then baada Padre mwendesha ibada kuhubiri mapadre wanatawanyika kwenye masanduku ya maungamo, hapo kila mseminari anakodoa jicho kuona sanduku alimoingia 'mbaya wake' ...huko haendi kuungama.

Kiukweli kuna mapadre walikuaga wanakaa bila kupata mtu wa kwenda kuungama. Nafkiri walikuaga hawaaminiki, ...unaeza enda ungama uliiba maandazi jikoni ye akalibeba kesho anakubambikiza issue mpaka unakula punishment.

Wazee wa ...
UBI EST CARITAS DEUS IBI EST
mpooo....????!!!
 
Nimejaribu kupitia comments zote sijawaona wana Sanu(St.Joseph Junior)wakati tukitoroka usiku kwa kuruka ukuta.Much respect Fr.Ligogo(r.i.p)ulitupenda sana ila Mungu alikupenda zaidi
 
Back
Top Bottom