NAAMINI
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 672
- 235
- Thread starter
- #321
Inawezakua ulishawahi kusoma seminary, ila kwa bahati mbaya wakakufukuza kwa kukosa wastani ndo maana una kandia. Seminari bado itaendelea KUONGOZA.
huyu hata seminari hajawahi kupita mbona wapo wengi ambao walifukuzwa seminari lakini wapo kimya tu...huyu hamna kitu kama hicho.