kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,491
SIO KWELI ANGALIA LIST YA WASEMINARI HAPA,MNYIKA, MEMBE,MKAPA,DR SLAA,KARUGENDO,NUSU YA USALAMA WA TAIFA NI WAO,LIST INAENDELEA.....nyie waseminary wa kikatoliki wengi wenu ni wajinga na wapumbavu kabisa, huku chuoni ndio mnongoza kwa ufuska, hamsali tena eti mshasali sana, waoga kumkiri kristo hata wengine hamtaki kujiita wakristo, huu ni unafiki na uzandiki, kanisa limewapa elimu bora badala ya kuitumia kulisaidia kanisa na taifa mmekengeuka, badilishen njia zenu na muungame mmurudie kristo, anaebisha juu ua haya tafadhali awaangalie WENGI wa waseminary waluoko vyuoni ni aibu kubea kwa kanisa katoliki.
Wewe jamaa nimekukumbuka bingwa wa kudoji kumbe upo duniani aiseeeAxee walioxoma queen of apostles seminary! Dah! Nakmbka xana makoronya, Mira ,miviga na morning star! Dah ktambo xana, na wale makongwe wa kijogoo!
WAZO JEMA SANA ILA KUANZISHA GROUP LA WHATS APP NAONA UTATA SANA....LAKINI NI WAZO ZURITumsifu Yesu Kristu Waseminarist. Nimependa sana wazo la kukutana walau mara moja ama mbili kwa mwaka. wazo langu mnaonaje kama tutaanzisha Group letu Whatsap waseminari wote Tanzania? baadae tunaweza kuform hata kitaasisi Cha Waseminari.
asanteni sana
Nikajua yupo seminary kuu au kashakuwa padrii anyway maisha yanasongaMKUU ULIDHANI YUPO WAPI?
pole sana mkuu ila ninachofahamu huwa ni kwamba anyefukuzwa seminari kwa sababu ya kukosa wito wengi huwa wanakuwa mapdreNilifukuzwa don bisco mafinga eti coz sina wito nlikuwa nachekesha kishenzi Charlie chappling mchumba
Nkashanga nkiwa form one Dec.tunasubiria abood ije kutuchukua napewa bahasha ya A4 nksjua kuna zawad kumbe WAP ndio nimefuzwa hivyo
Ila sio kuwa nilikuwa kilaza no coz nlitoka na wastan wa 83 hiyo npo form one
Ndio mana mpaka Leo nayachukia mahindi Yale meusi kama mnubi coz limenifukuza bila sababu ila ndio hivyo safar moja haunzisha nyingne bado napeta
Sio Mkuu upepo unabadilika ukishakula tunda la mti wa katikat unakuwa taabani hykumbukipole sana mkuu ila ninachofahamu huwa ni kwamba anyefukuzwa seminari kwa sababu ya kukosa wito wengi huwa wanakuwa mapdre
Hahaha Bob nimepita pale kaka,Mzee wa makofi ya uso.Kwa wale wa Lighano, bado namchukia sana Father Chilewa, ila Nchimbi (pope) alikuwa poa sana. Da! Ila sitakaa nisahau Father Deo Mapunda (RIP) alivyotuchimbisha miti wakati wa kutengeneza mashamba mampya. Ila tuliiba sana kuku na kuwachinja na kuwabanika usiku wa manane. Maisha ya seminari yalikuwa na raha na karaha nyingi sana. But thanks GOD ndio yamenifanya nijue maisha na kuwa na elimu isiyo na mgogoro
Sawa baba muhashamuInaitwa Order of Friars Minor Capuchins (OFM Cap) nasio Order Franciscans Minor.
Acha uongo inaitwa operation fichua maovu(OFM).Inaitwa Order of Friars Minor Capuchins (OFM Cap) nasio Order Franciscans Minor.
Hata magufuli mbona alikuwa mseminari wa katokeSIO KWELI ANGALIA LIST YA WASEMINARI HAPA,MNYIKA, MEMBE,MKAPA,DR SLAA,KARUGENDO,NUSU YA USALAMA WA TAIFA NI WAO,LIST INAENDELEA.....