Dr Mabuga M
Senior Member
- Nov 4, 2017
- 148
- 125
Jamaa huyu hajui tu,Ex Seminarians wengi ndio wanaorun vitengo muhimu.SIO KWELI ANGALIA LIST YA WASEMINARI HAPA,MNYIKA, MEMBE,MKAPA,DR SLAA,KARUGENDO,NUSU YA USALAMA WA TAIFA NI WAO,LIST INAENDELEA.....
Itakuwa kuna kosa ulifanya mkuuNilifukuzwa don bisco mafinga eti coz sina wito nlikuwa nachekesha kishenzi Charlie chappling mchumba
Nkashanga nkiwa form one Dec.tunasubiria abood ije kutuchukua napewa bahasha ya A4 nksjua kuna zawad kumbe WAP ndio nimefuzwa hivyo
Ila sio kuwa nilikuwa kilaza no coz nlitoka na wastan wa 83 hiyo npo form one
Ndio mana mpaka Leo nayachukia mahindi Yale meusi kama mnubi coz limenifukuza bila sababu ila ndio hivyo safar moja haunzisha nyingne bado napeta
We hufungui? Au unachuchumaa?Watu wa seminar kwanini niwa fungua zipu sana!!
Ulisoma na Edwin Minja???mkuu mi pia nmesoma sanu seminary olevel 2004-07 kabla ya kwenda Maua advance. Rector alkuwa Mugonza na the late Ligogo alikuwa vice. Displine master alikuwa fr rahhi baadaye fr donatus aka kichwa. Nakumbuka moments za magara shambani. Kamwe siwezi sahau misemo ya Sanu kama mkuki,kukacha chepo no para, zutu... Baba G alkuwa anachapa sana. Pia namkumbuka mwalimu Koski, gidshang, mguu, ben, anney, triple G na Genda. Kunakugaragazwa kwenye vumbi na tope ooooh wil never forget dat. Mpishi alikuwa mzee joseph, awaki na nina. Naskia Gaare alibadl mambo mengi sana sanu. Sa iv yupo fr pamphil ndio rector. Fr. Uhuru sa hivi ni paroko wangu msaidizi karatu.
HII NCHI INA KIVULI CHA X SEMINARIANS.WAPO KILA KONA NA VITENGO VYA MUHIMUJamaa huyu hajui tu,Ex Seminarians wengi ndio wanaorun vitengo muhimu.
Tuition watu wanaenda kwa mkumbo tu imekuwa kama fasheni lakini siku hizi wanaona kama wanachofundishwa seminarini Bado hakitoshiDuu kwa miaka niliyosama mimi kulikuwa hakuna swala la tuition kwa mseminary na bado uhakika wa kupiga pepa ulikuwa mkubwa. I remember Likonde seminary
Safi MNYABE wa soni semi ,wazee wa shashui ,wazee wa kadawia hatari sanaSeminary kuna maisha tofauti na mahali pengine hata tabia za watu waliosoma seminary zinafanana, ni watu wakuobserve sana wanapokua kwenye jamii mpya, sio waongeaji wa kukurupuka wanapima maneno wanaosema.
Najivunia kusoma SONI SEMINARY (UNYABENI)
Hahaa..umemaliza lini pale....nakumbuka Salus...hahaha...dah....new field....Kyebikere....Brass Band....long time sana[emoji3] [emoji3]
Seminary bana kama jeshi vile!
Rubya seminary kwa Faza Edson Mutemnbei, Florian Kamuhabwa, Faza Wilson Kasigwa... Kuwaona wadada mpaka kuwe na upadrisho pale porokian Rubya..... Namshukuru Mungu nidham na kujiamini msingi nimeutoa pale..... Salam kwa jirani zetu HUMURA SECONDARY SCHOOL kwa Mr Almachius Mafigi don
[emoji122][emoji122][emoji125]
Hahahatatizo la waseminali wakihasi na kuingia uraian na phillosophy zao, kuwaelewa ni kazi sana..........
Usiombee mseminar akaangukia kwenye totoziiiiiii ..........hata ufunge speed gavana haitosaidia
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mzee Mbuya ametulimisha sana kwenye kizigoSafi MNYABE wa soni semi ,wazee wa shashui ,wazee wa kadawia hatari sana
Aliyepita (brotherman mzururaji) ndio ali divert huu utaratibu ....Asilimia 90 ya Usalama wa Taifa wanapatikana Seminarini..