Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

tupo kaka, mi nilipita pale enzi za rector fr. CELCIUS MUGONZA, alivyokuwa anatisha unatamani usikutane naye, nawakumbuka fr. ligogo(RIP), Fr. rahhi, fr. macha, fr. joseph, fr. uhuru.

Bw Bwai, duh umenikumbusha ma fr kibao.
Hivi Fr Ligogo hayupo? Lini na nini kilimchukua? Namkumbuka sana kuanzia akiwa Frateri hadi anapata u fr. Fr Uhuru (mwana soka) alirudi seminary? Huyo rector ni wa miaka ipi? Nakumbuka baada ya Fr Bilos (RIP) alifuata Qameyu (tempa) then Axwesso kama sijakosea.
Wapi Fr Dawas, Fr Gaare.
Teacher Coski .....
 
Aaaah!pale mafinga seminari kuna m2 alikuwa anaitwa mfalme jeta alikuwa mbabe sana alitutia vboko sana tulipoleta ubabe wa form 2 wakati huo ni senior pale,maisha yale yalileta uzalendo kama operation tokomeza.
 
Kwa kweli nimeona na mimi nitie neno kdgo; kama kawa SPS,St.Peter's Sem.2005-2008,Rector Chief Kung'alo,Ndwange,Kiangazi,Kilambo,BOTTA. Joint mass Kilakala,out Moro sec,ijumaa chupi na banzi desert,.daz baba
 
mkuu mi pia nmesoma sanu seminary olevel 2004-07 kabla ya kwenda Maua advance. Rector alkuwa Mugonza na the late Ligogo alikuwa vice. Displine master alikuwa fr rahhi baadaye fr donatus aka kichwa. Nakumbuka moments za magara shambani. Kamwe siwezi sahau misemo ya Sanu kama mkuki,kukacha chepo no para, zutu... Baba G alkuwa anachapa sana. Pia namkumbuka mwalimu Koski, gidshang, mguu, ben, anney, triple G na Genda. Kunakugaragazwa kwenye vumbi na tope ooooh wil never forget dat. Mpishi alikuwa mzee joseph, awaki na nina. Naskia Gaare alibadl mambo mengi sana sanu. Sa iv yupo fr pamphil ndio rector. Fr. Uhuru sa hivi ni paroko wangu msaidizi karatu.
 
Kwa kweli nimeona na mimi nitie neno kdgo; kama kawa SPS,St.Peter's Sem.2005-2008,Rector Chief Kung'alo,Ndwange,Kiangazi,Kilambo,BOTTA. Joint mass Kilakala,out Moro sec,ijumaa chupi na banzi desert,.daz baba

daah..sasa hivi fr.kung'aro ni vica general pale moro..bota ni marehemu aisee(rest in peace),mama vichupi kaama kule,shemasi daz baba bingwa wa history Tz yupo...kiangazi alishasepa mkuu....sema dogo umepita juzi juzi sana´..ila hongera kwa kupita kitaluni sps...
 
mkuu mi pia nmesoma sanu seminary olevel 2004-07 kabla ya kwenda Maua advance. Rector alkuwa Mugonza na the late Ligogo alikuwa vice. Displine master alikuwa fr rahhi baadaye fr donatus aka kichwa. Nakumbuka moments za magara shambani. Kamwe siwezi sahau misemo ya Sanu kama mkuki,kukacha chepo no para, zutu... Baba G alkuwa anachapa sana. Pia namkumbuka mwalimu Koski, gidshang, mguu, ben, anney, triple G na Genda. Kunakugaragazwa kwenye vumbi na tope ooooh wil never forget dat. Mpishi alikuwa mzee joseph, awaki na nina. Naskia Gaare alibadl mambo mengi sana sanu. Sa iv yupo fr pamphil ndio rector. Fr. Uhuru sa hivi ni paroko wangu msaidizi karatu.

mkuu karatu inaonyesha ulipinda sana kitambo hicho.....
 
dahh nafarijika sana napoona waseminari mnajadili ila nasikitika kwani kanisa liliwekeza kwetu mwisho tukaishia mtaani....duuuuuhhhh kama kanisa lingepita humu vyuoni kufanya sensa cjui ingekuwaje...
 
seminari na maisha ya utumwa mweee RIP kuhani kibada...
 
dahh nafarijika sana napoona waseminari mnajadili ila nasikitika kwani kanisa liliwekeza kwetu mwisho tukaishia mtaani....duuuuuhhhh kama kanisa lingepita humu vyuoni kufanya sensa cjui ingekuwaje...

wanaamini kuwa hata ukienda mtaani utaishi maisha ya kikwao zaidi..
 
wanaamini kuwa hata ukienda mtaani utaishi maisha ya kikwao zaidi..

kwani mkuu we unaishi maisha gani bada ya kutoka coz u sound lyk ur totaly livin a different life from the one u had at the seminary...
 
Kwa kweli nimeona na mimi nitie neno kdgo; kama kawa SPS,St.Peter's Sem.2005-2008,Rector Chief Kung'alo,Ndwange,Kiangazi,Kilambo,BOTTA. Joint mass Kilakala,out Moro sec,ijumaa chupi na banzi desert,.daz baba

dahh..mkuu..kuna jamaa mmoja alikuwa mwanaharakati sana alikuwa akiitwa Flondu,duzu,mponda,kipemba n.k.huyu chalii flondu(ndunguru) aliendaga mlimani chuo kikuu akawa mwanaharakati sana wakati ule aisee wakala kichwa(walimwekea incomplete)waliona atakuja sumbua ila alisaidia sana ktk mgomo wa kupandisha boom hadi 7000...huyu jamaa yupo wapi dogo mana nilimwacha hapo sps niliondoka 2004 form four....nilimfuatilia sana harakati zake cjui kwa sasa yuko wapi huyu jamaa´.
 
Nimekumbuka shule yangu St. Charles Lwanga Katoke Seminary!

Bila shaka mama agatha.fr taabu aka dic ama dictator,huy jamaa alikua noma sana fr mwelinde..na vilatin vyke..unawakumbka.
 
Bila shaka mama agatha.fr taabu aka dic ama dictator,huy jamaa alikua noma sana fr mwelinde..na vilatin vyke..unawakumbka.

dahh..mseminary mimi hiyo jina yako ndo inanifurahisha...
 
Bila shaka mama agatha.fr taabu aka dic ama dictator,huy jamaa alikua noma sana fr mwelinde..na vilatin vyke..unawakumbka.

Nawakumbuka sana!
Mama Aghata alichukua jukumu la kunikanda began langu lilipovunjika mpirani. Wazazi wangu wakamletea zawadi kama shukurani kwake akaigawanya kwa wanafunzi wote. Mungu azidi kumpa maisha bibi yule mcha Mungu.
 
mkuu mi pia nmesoma sanu seminary olevel 2004-07 kabla ya kwenda Maua advance. Rector alkuwa Mugonza na the late Ligogo alikuwa vice. Displine master alikuwa fr rahhi baadaye fr donatus aka kichwa. Nakumbuka moments za magara shambani. Kamwe siwezi sahau misemo ya Sanu kama mkuki,kukacha chepo no para, zutu... Baba G alkuwa anachapa sana. Pia namkumbuka mwalimu Koski, gidshang, mguu, ben, anney, triple G na Genda. Kunakugaragazwa kwenye vumbi na tope ooooh wil never forget dat. Mpishi alikuwa mzee joseph, awaki na nina. Naskia Gaare alibadl mambo mengi sana sanu. Sa iv yupo fr pamphil ndio rector. Fr. Uhuru sa hivi ni paroko wangu msaidizi karatu.

Karatu Boy.... nakumbuka tulikuwa na vijana from Karatu enzi hizo (1993 -1998), marehemu Fr Bilos alikuwa anawachukia maana alikuwa anawaona ni kama wahuni/wajanja sana. Fr. Uhuru yupo kwao KRT sio.... wapi Fr. Almas, Fr. Reginald, Fr. Peter Salaho, Fr. James Yarot, etc. Nayakumbuka maisha ya SANU .... Town Leave, etc. Ila maisha yalikuwa matamu kwa upande flani nakumbuka Fr Ligogo (RIP) alikuwa na misemo yake .... we mshenzi".....
 
Back
Top Bottom