Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

TUMSIFU YESU KRISTU,wale wa stella matutina lighano seminari na Fr.moyo mpo jamani.
 
Karatu Boy.... nakumbuka tulikuwa na vijana from Karatu enzi hizo (1993 -1998), marehemu Fr Bilos alikuwa anawachukia maana alikuwa anawaona ni kama wahuni/wajanja sana. Fr. Uhuru yupo kwao KRT sio.... wapi Fr. Almas, Fr. Reginald, Fr. Peter Salaho, Fr. James Yarot, etc. Nayakumbuka maisha ya SANU .... Town Leave, etc. Ila maisha yalikuwa matamu kwa upande flani nakumbuka Fr Ligogo (RIP) alikuwa na misemo yake .... we mshenzi".....

mkuu fr salaho yupo jimbon ni mkurugenzi wa elimu jimbo. fr almas yupo parokia endabash, fr reginald barie ni paroko wa riroda. James yarrot nadhan jimbon yupo jimbon n mkurugenzi wa utume wa walei. Ya fr. uhuru amerud kwao karatu...tupo nae karatu.
 
mkuu fr salaho yupo jimbon ni mkurugenzi wa elimu jimbo. fr almas yupo parokia endabash, fr reginald barie ni paroko wa riroda. James yarrot nadhan jimbon yupo jimbon n mkurugenzi wa utume wa walei. Ya fr. uhuru amerud kwao karatu...tupo nae karatu.

Maua uliingia mwaka gani Karatuboy
 
Last edited by a moderator:
By karatu boy<br />
mkuu fr salaho yupo jimbon ni mkurugenzi wa elimu jimbo. fr almas yupo parokia endabash, fr reginald barie ni paroko wa riroda. James yarrot nadhan jimbon yupo jimbon n mkurugenzi wa utume wa walei. Ya fr. uhuru amerud kwao karatu...tupo nae karatu.
<br />
<br />
Maua uliingia mwaka gani <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=27239" target="_blank">Karatu</a></b>boy
maua nliingia 2008. rector alkuwa br.pissa, br.mtena vice rector na rogerio massawe dean of discipline. mambudi kwa sana na nduu
 
St. James kambi kubwa sana! Mnaomkumbuka kochambe na majembe mengine kama domakuu na fafu hebu fungukeni.

fr.kochambe mzee wa summa cum laude,Fr.domakuu bingwa wa uchumi mana alinifanya nipate marks nzuri sana form six,fr.faustin furaha(fafu) mwl wangu wa historia kwa sasa ni mkuu st.amedeus....fr.nderumaki sasa ni rector...hakika nikipasahau st.james(sajase) na mkono wangu wa kuume unyauke.
 
fr.kochambe mzee wa summa cum laude,Fr.domakuu bingwa wa uchumi mana alinifanya nipate marks nzuri sana form six,fr.faustin furaha(fafu) mwl wangu wa historia kwa sasa ni mkuu st.amedeus....fr.nderumaki sasa ni rector...hakika nikipasahau st.james(sajase) na mkono wangu wa kuume unyauke.

Mimi sijapitia huku,ila nimependa huu mjadala,nilikuwa nataka kumfahamu huyu fr Nderumaki ni Fabian nderumaki au ni mwingine?
 
Bila shaka mama agatha.fr taabu aka dic ama dictator,huy jamaa alikua noma sana fr mwelinde..na vilatin vyke..unawakumbka.

Vipi sumbo ulikuwa unapiga? Na reminder vipi unaikumbuka?
 
Mimi sijapitia huku,ila nimependa huu mjadala,nilikuwa nataka kumfahamu huyu fr Nderumaki ni Fabian nderumaki au ni mwingine?

Ndio huyo mkuu fr. fabian nderumaki
 
Waliopenda mchakamchaka wa roboti. Walofurahia burudani ya makusaro kwenye divinity. Walioipenda divinity ya fr. Minja. Karibuni mfunguke. Mliokuwa mkiyakubali mahubiri ya fr. Mtei mikono juu.
 
Kumbuka mbali sana,mambo ya kupiga mtama na kusomea chooni kwa kuogopa adhabu.Ni maisha mazuri binafsi yamenijengea self discipline(Bihawana Seminary)
 
Back
Top Bottom