Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Za kisiasa ndugu! Mimi ni taifa kwanza dini baadae au Bendera kwanza Msalaba baadae!!![/QUOT basi jaribu kumsoma thomas sankara,sijafurahishwa sana na hiyo kauli ya bendera kkwanza msalaba badae...mimi nimwanaharakati mkubwa sana na nimewahi pata matatizo makubwa pale mlimani ila cjawahi muweka msalaba nyuma...
 
Mì mwenyewe kuna washkaji zangu nao walikumbwa na mpugo dah ilikua inauma,,zaidi sitasahau kizigo cha adhabu tulichopigwa,kusomba moramu ndoo 100.! Kuna kipemba mmoja anaitwa..... a.k.a Bake alikua chapel work ndo alikua mchomeshaji sana! Vp ulikua camp ipi ya manyigu au ya wale mabraz kaka wakiongozwa na B.N,,F.N a.k.a bichwa,,O.M,,a.k.a Nelly? Nadhani hao jamaa unawafahamu form 3 wenzako

Haha mwana umenikumbusha sana,manyingu ndo mwanzilishi mimi mwenyewehaha NYIGU ZOO,ndo mimi kiongozi nadhan ushanipata jana,hahaha,yani ni balala,akina b.n na f.n walikuwa wapinzani wangu.hahahahha,mwana em njoo inbox tufahamiane poa
 
Za kisiasa ndugu! Mimi ni taifa kwanza dini baadae au Bendera kwanza Msalaba baadae!!!
basi jaribu kumsoma thomas sankara,sijafurahishwa sana na hiyo kauli ya bendera kkwanza msalaba badae...mimi nimwanaharakati mkubwa sana na nimewahi pata matatizo makubwa pale mlimani ila cjawahi muweka msalaba nyuma...

Huyo Thomas Sankara ni maandishi au kitabu chake kipi nikisome? Nilipo sema Nchi kwanza namaanisha kuwa pale ambapo ss tutaacha kujali uzalendo, umoja na amani kwa nchi yetu Tanzania basi hatutaweza kuwa taifa moja lenye amani na maendeleo na kama hamna amani na maendeleo dini zenyewe hazitaweza kukua au kuwafundisha watu neno la Mungu sababu muda wote ni fujo, vita na Kuuana sababu kila mtu anatafuta mahitaji yake kwa nguvu ikiwa ni pamoja na kuiba, ujambazi, umalaya...na kwa kufanya hivi huoni tunavunja hata amri na sheria za Mungu na mafundisho ya kanisa!? na kama kuna na amani katika nchi hayo hayata kuwepo kwa kiwango kikubwa sababu kila mtu anapata mahitaji yake bila kutoa rushwa na pia watu wanapata muda wa wa kusikiliza neno la Mungu kwa amani na neno la Mungu linaenea kwa nguvu sababu ya amani na upendo baina ya watu wote! kwa kifupi ktk nchi kukiwa na utulivu, amani na uzalendo wa watu kuleta maendeleo huwa kichochezi kikubwa kwa uwepo na ushiriki wa watu katika shughuli mbalimbali ikiwa pamoja na zile zinazo husu imani zao lakini nchi kukiwa na dini hwanza kwa kila raia huleta chokochoko kwa sababu kila kitu hufanywa kidini hivyo kusababisha malumbano na kutoelewana kutakapo pelekea fujo, vurugu na hata vita ya wenyewe kwa wenyewe na haya yakitokea hamna mtu atakuwa na muda wa kwenda kanisani au msikitini zaidi ya kujiokoa yy na familia yake!!!
 
wale wa Nyegezi seminary.....mupo????

Tupo ndg yangu. Mie nilisoma A level Nyegezi Seminari mwaka 1991 - 1993. Maisha yalikuwa matamu. Namkumbuka Fr Duba kama Rector, baadae Fr Kubeja. Malezi na masomo yanayotolewa seminarini huwafanya Vijana kufanya gems popote waendapo. Mfano, nilifanikiwa kufanya inteview na kupata kibarua baadae nilikuja kubaini kuwa kati ya kumi tulioajiliwa kupitia interview hiyo sita ni ex seminarians.
Nawaomba wenye dhamana ya kuziongoza seminari zetu wajitahidi kulinda hadhi za taasisi hizo muhimu kwa kanisa na taifa kwa ujumla.
 
fr. Mushi a.k.a okonko wazee wa uru mko wapi..muulize mh mbunge chami na nchimbi hawatamsahau
 
Faiza foxy unatakiwa uwepo mirembe na sio JF.pole kwa wazazi wako
 
binafsi ni tunda la makoko seminary palr musoma miaka ya recta,FUMAKULE aka DUDU,(RIP),nathubutu kusema hakuna maisha magumu kama maisha ya seminary na hakuna maisha mazur kama ya seminary.mtu aliyesoma seminary anaweza kufit sehem yoyote hata pawe vipi,hata jeshini hata tetereka,mifano ipo.
maisha yale humbadilisha mtu kisakologia na kumfanya awe tofaut kabisa na watu wengine,awe p
mpole popote,anakuwa muoga,mkimya,mcha mungu,mwelewa na asiyependa malumbano.na amini usiamini mseminary huwa mwoga wa kutenda dhambi hasa uzinz awapo bado seminary.tatizo linakuja pale anapomaliza ama kwenda shule hiz za mchanganyiko,ni kama mbwa kafunguliwa....hutembeza dudu balaaa.ushahid upo.
kingine ambacho hutukumba waseminar wengi ni kutokuwana ham tena ya kusali ama kujishughulisha na mambo ya imani,wengi huwa wapinzani wa imani na kuona kwamba kila kitu ni kawaida nadhan hiii inachangiwa na mambo ya kule seminarin,maana kule ni kusal full yan kila siku,mara novena mara rosar,mara mifungo mara joint mass.
Lakin tathimin inaonesha waseminary n watu wa maadili popote walipo na hufanya vizur makazin nap opote huwa viongoz..
nami pia useminary umenisaidia hadi hapa nilipo.
nawamis sana maclassmate wangu,max pole,deo shija,muhija,blaz ndege,manoja,lusajo baraka,deo bwire,kamese,cistantin mnaku n.k


Wanikumbusha DUDU. Long ago
 
Tupo ndg yangu. Mie nilisoma A level Nyegezi Seminari mwaka 1991 - 1993. Maisha yalikuwa matamu. Namkumbuka Fr Duba kama Rector, baadae Fr Kubeja. Malezi na masomo yanayotolewa seminarini huwafanya Vijana kufanya gems popote waendapo. Mfano, nilifanikiwa kufanya inteview na kupata kibarua baadae nilikuja kubaini kuwa kati ya kumi tulioajiliwa kupitia interview hiyo sita ni ex seminarians.
Nawaomba wenye dhamana ya kuziongoza seminari zetu wajitahidi kulinda hadhi za taasisi hizo muhimu kwa kanisa na taifa kwa ujumla.

mkuu ilo ulilonena nalo ni jema na la kuangaliwa ili hizi seminary ziweze kutoa waty bora zaid...
 
Waliosoma seminary za Kikatoliki wengi wamelawitiwa/wamelawiti ma Father, ushahidi huu hapa:

He was my priest and my friend. Then I found out he was a paedophile | Comment is free | The Observer

Si Tanzania tu ni dunia nzima:

Catholic sex abuse cases - Wikipedia, the free encyclopedia

Mliosoma seminari za Kikatoliki fungukeni mponeshe majeraha kwa kuondoa madukuduku ya siri mbaya zilizowakaa moyoni.

uzuri wa waseminari huwa hawachingii vitu visivyo na kichwa wala miguu,si unaona walivyokupuuza na unaonekana mjinga wa mwaka 2014.Ni moja ya vitu tulivyofundishwa pumba hamna kuchangia...hongereni waseminari kwa kupuuza mada za kijinga....waseminari cku zotte ni critical thinkers..
 
Huyo Thomas Sankara ni maandishi au kitabu chake kipi nikisome? Nilipo sema Nchi kwanza namaanisha kuwa pale ambapo ss tutaacha kujali uzalendo, umoja na amani kwa nchi yetu Tanzania basi hatutaweza kuwa taifa moja lenye amani na maendeleo na kama hamna amani na maendeleo dini zenyewe hazitaweza kukua au kuwafundisha watu neno la Mungu sababu muda wote ni fujo, vita na Kuuana sababu kila mtu anatafuta mahitaji yake kwa nguvu ikiwa ni pamoja na kuiba, ujambazi, umalaya...na kwa kufanya hivi huoni tunavunja hata amri na sheria za Mungu na mafundisho ya kanisa!? na kama kuna na amani katika nchi hayo hayata kuwepo kwa kiwango kikubwa sababu kila mtu anapata mahitaji yake bila kutoa rushwa na pia watu wanapata muda wa wa kusikiliza neno la Mungu kwa amani na neno la Mungu linaenea kwa nguvu sababu ya amani na upendo baina ya watu wote! kwa kifupi ktk nchi kukiwa na utulivu, amani na uzalendo wa watu kuleta maendeleo huwa kichochezi kikubwa kwa uwepo na ushiriki wa watu katika shughuli mbalimbali ikiwa pamoja na zile zinazo husu imani zao lakini nchi kukiwa na dini hwanza kwa kila raia huleta chokochoko kwa sababu kila kitu hufanywa kidini hivyo kusababisha malumbano na kutoelewana kutakapo pelekea fujo, vurugu na hata vita ya wenyewe kwa wenyewe na haya yakitokea hamna mtu atakuwa na muda wa kwenda kanisani au msikitini zaidi ya kujiokoa yy na familia yake!!!

Huyu alikuwa ni kiongozi wa Burkinafaso...ebu msome kwanza!!!....cjakuwambia uwe busy na dini lakini c busara kusema "bendera then msalaba"..hapo inanifanya nione hauna uoga na Mungu na tatizo kubwa la viongozi wengi hawana uoga na Mungu...unless uniambie huamini tena kwenye dini hapo naweza kukuelewa...by the way all the best in everything ur doing especially in this field of politics n' it z ma antincipation that 2015 we shall both meet mjengoni Dodoma.
 
uzuri wa waseminari huwa hawachingii vitu visivyo na kichwa wala miguu,si unaona walivyokupuuza na unaonekana mjinga wa mwaka 2014.Ni moja ya vitu tulivyofundishwa pumba hamna kuchangia...hongereni waseminari kwa kupuuza mada za kijinga....waseminari cku zotte ni critical thinkers..

alafu nilidhani peke yangu nilifundishwa na nimeamua kutochangia kumbe tupo wengi!!! hii ni njia inayotumiwa hata na viongozi wa dini yetu ya kikristo katika madhehebu yote!!! "Hatuna muda wa kubishana na watu ambao muda umewatosha" wamama wengine, hembu tumpotezee kwanza hadi agundue ujinga wake!
 
uzuri wa waseminari huwa hawachingii vitu visivyo na kichwa wala miguu,si unaona walivyokupuuza na unaonekana mjinga wa mwaka 2014.Ni moja ya vitu tulivyofundishwa pumba hamna kuchangia...hongereni waseminari kwa kupuuza mada za kijinga....waseminari cku zotte ni critical thinkers..

Watapinga ukweli?
 
alafu nilidhani peke yangu nilifundishwa na nimeamua kutochangia kumbe tupo wengi!!! hii ni njia inayotumiwa hata na viongozi wa dini yetu ya kikristo katika madhehebu yote!!! "Hatuna muda wa kubishana na watu ambao muda umewatosha" wamama wengine, hembu tumpotezee kwanza hadi agundue ujinga wake!

Utabisha ukweli?
 
waseminari ni muhimu tutambu maaskofu nazani st.james seminary ni kati ya seminari ilizotoa maaskofu wengi kuliko seminary zote za Tanzania...mnasemaje wadau
 
Seminari kwa ujumla inawatayarisha vijana walioiva kabisa kimaadili na kitaaluma. Mimi kijana wangu amesomea Seminari mpaka kidato cha nne tu lakini msingi alioupata umemuwezesha kufika mbali kimasomo. Hongereni sana Seminari zetu.
 
Back
Top Bottom