Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Naskia huko seminary puli huwa zinahusika kimtindo flan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa hatujibu vitu vya kusikia mkuu...sasa wewe umesikia sasa na mimi naomba usikie hichi nacho kuambia kuwa hicho ulichokitamka huwa akipo.....toka umezaliwa hadi leo umesikia vingapi!? Na je vyote ulivyosikia vilikuwa vya kweli!?Naskia huko seminary puli huwa zinahusika kimtindo flan
Huwa hatujibu vitu vya kusikia mkuu...sasa wewe umesikia sasa na mimi naomba usikie hichi nacho kuambia kuwa hicho ulichokitamka huwa akipo.....toka umezaliwa hadi leo umesikia vingapi!? Na je vyote ulivyosikia vilikuwa vya kweli!?
Ili kupata knowlwdge ni either usikie, usome ama uone, after all asante kuwa umejibu waseminary hawapigi LipU
Nyie seminari hamkuwa na raha. Sisi tuliosoma shule za serikali boys tupu ndo ilikuwa raha. Kuna njemba zilikuwa hazina ratiba ya kuoga
Je tall wa kitchen mnamkumbuka???St.Peter's Seminary Morogoro: Ukiingia getini unakutana na Our Mottor is Pray,Study,Work Ukitoka Unaambiwa Remeber our Motto: Wapi Fr.Carol Mroka, I like that Man,fr.Sewando,Fr.Patrick Kung'aro: Anthem yetu "Baba Petro Msimamizi wa shule yetu kwakuomba utuombee kwa bwana Mungu wetuuuu,Baba Petroo.....Natafuta Contact za Fr.Pastol Kijuuu please anyone in touch with this Fr.please assist. Jamani Jamani where is Brother Msewanga.Mlezi wa TYCS
seminarin raha bana acha kabisa!nimepamiss stella matutina(ligano) class letu lilikua ful utani!nimeyamiss sana maisha yaseminary yani ful discipline,utani kwasana plus fr.wetu huyu clarence chilewa ful raha!i miss those joyful moments in seminary....
Bw Bwai, duh umenikumbusha ma fr kibao.
Hivi Fr Ligogo hayupo? Lini na nini kilimchukua? Namkumbuka sana kuanzia akiwa Frateri hadi anapata u fr. Fr Uhuru (mwana soka) alirudi seminary? Huyo rector ni wa miaka ipi? Nakumbuka baada ya Fr Bilos (RIP) alifuata Qameyu (tempa) then Axwesso kama sijakosea.
Wapi Fr Dawas, Fr Gaare.
Teacher Coski .....
Shule za seminary ,ni wizi wa mitihani,wanafunzi waliofelii ,yan mnaiba mtihani halafu mnajiita saint?
Hii thread ya watu waliofeli kumbe bado ipo ? shule za mchangani wezi wa mitihani hawa
Mdogo wangu alisoma Uru....
Kuna jamaa mlikuwa mnamuita Ng'ombe...kwa sasa ni mkuu wa Masama Girls sec sch.