Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

ngoja watu waje kubashiri.....

Hapo hakuna kitu mkubwa, nnavyosema namaanisha hakuna mtu anaejua kama najua. Kuna nilivyofanya, nilivyoona, achilia mbali nilivyosimuliwa.

kadri unavyojua mambo mengi zaidi ya watu ndio unavyozidi kujihatarishia maisha yako.
 
Kuna vitu sitakuja kuvisema hadi nazikwa, iwe kwa anaenifahamu au asiyenifaham. Iwe ni kwa kuandika au kwa kuongea. Sitakuja kusema.
Hiyo ndio inaitwa siri! Maana hata kama hujulikani na ukaisema, hiyo si siri tena!
 
Daaahh Nina siri ya uchaguzi 2015..Yaaani hawa jamaa nawatunzia siri zao mpaka sasa halafu wamenitupa kama hawajui Nina siri nzito.Kama mheshimiwa unapita humu tafadhali nikumbuke ktk ufalme wako.Mzee wangu Jo unakumbuka sikuwa nikilala,usiku na mchana tunahangaika,Leo mumenitupa jamanii.
 
Mfalme alikuwa na kinyozi maalumu wa kumtunzia siri ya kipembe kichwani. Kinyozi alikwenda porini akachimba shimo, akainama na kutamka 'mfalme ana pembe' na kisha kufukia shimo. Siri ni ngumu kutunza.
 
Dahh hakika kuna watu usiwaambie siri kuna jamaa mmoja anaitwa uncle mecky huyu bwana huwa anajulikana kwa Umbea viunga vya dar kuna siku alimkuta jamaa mmoja anatembea na mke wa Jirani yake, jamaa alivoona vile akamvuta uncle mecky pembeni na kumpa million 1 ili atunze siri, basi uncle mecky akamhakikishia jamaa hatasema. Baada ya week jamaa akasikia uncle mecky anaumwa sana kalazwa hospital akaona akamuangalie basi vile anafika hospital anauliza kwa Dr mgonjwa anaumwa nini akajibiwa ana joto tu Kali lkn kapimwa hana maradhi yyt. Mecky akamuita jamaa ebwana eeeh chukua hii million yako utakuja kuniua maaana nimevumilia huu Umbea nimeshindwa mpk joto limepanda mwilini
Nmecheka sana hiii.. Huyo Mecky balaa
 
Dahh hakika kuna watu usiwaambie siri kuna jamaa mmoja anaitwa uncle mecky huyu bwana huwa anajulikana kwa Umbea viunga vya dar kuna siku alimkuta jamaa mmoja anatembea na mke wa Jirani yake, jamaa alivoona vile akamvuta uncle mecky pembeni na kumpa million 1 ili atunze siri, basi uncle mecky akamhakikishia jamaa hatasema. Baada ya week jamaa akasikia uncle mecky anaumwa sana kalazwa hospital akaona akamuangalie basi vile anafika hospital anauliza kwa Dr mgonjwa anaumwa nini akajibiwa ana joto tu Kali lkn kapimwa hana maradhi yyt. Mecky akamuita jamaa ebwana eeeh chukua hii million yako utakuja kuniua maaana nimevumilia huu Umbea nimeshindwa mpk joto limepanda mwilini
Hahahahahaaaaa uncle mecky nouma
 
Mimi siri yangu ambayo iko moyoni na inanitesa ni kumla mke wa jirani yangu na kumpa mimba(Zamani lakini) mpaka leo nikimwona jamaa huwa najutia sana, kweli kutoka moyoni najutia sana kitendo kile japo mkewe alikuwa mzuri sana
 
Kuna siri nyingine ninazo hadi nikianza kuziwaza naogopa mwenyewe.
Watu wamekua wakijiamini Sana wakikaa na Mimi kuongea mambo yao.
Nyingine nashindwa kuzibeba hadi nakua Kama mgonjwa ila ndo inakua siri tena nashindwa kuzitoa.
Kuna muda natamani ni mwambie MTU asiongee au kufanya kitu mbele yangu sababu ananipa mzigo wa kuanza kufikiria ila nakaa tu.

Wengine nawaulizaga hivi unajiamini nini kufanya/kuongea hiki mbele yangu.
Kuna kitu tofauti Mungu kakiweka ndani yako/Pia mwonekano wako ndio maana wanakuja tu siyo Bahatimbaya

Mimi unakuta Mtu mzima au Hata wazee anakuja kuomba Ushauri au analalamika kwangu na anafunguka kweli,Maskini wa Mungu sina Elimu kubwa wala Maendeleo/Mali nyingi na wengine Wananiogopa ata namna ya kuanza kuongea nami Bc nikijiangalia najishangaa Najitafakari sina lolote wala Chochete.
 
Binadamu katika mazingira mbali mbali,ukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya
Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri,
Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu anabakwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi shuhudia mtu au mke wa mtu anatembea na mwanaume mwingine wakakaa kimya,

Mi siri yangu ambayo sitakuja kuisema ni kamba nilimfumania mjomba mkubwa akiwa anatembea na mke wa mjomba mdogo alafu wakajua kwamba nimejua sikuwahi kuisema ilikanusha, yapata miaka 20 sasa,
Leo kuna rafiki yangu amenambia kwamba akiwa mdogo alimuua mtu akiwa Croatia mwaka 1994 , na hakuna aliyejua,

Mwingine (dr) akasema kuwa amewahi kumuinject mgonjwa UKIMWI kupitia syringe, na akakaa kimya maana alilipwa Hela ya kutosha


Najua na wee una siri umetunza tudokeze
Nilimaliza shule ya msingi jijini DSM , kutoka shule ile tulichaguliwa watu 10 kujiunga na sekondary ( kumbuka enzi zile haikuwa rahisi watu kujiunga na secondary za umma wadada 4 wakaka 6 ) , japo baadaye nilikuja kuhama shule za umma , kuelekea shule ya sekondari niliyopelekwa tuliotoka shule 1 ya msingi tulichaguliwa wawili tu na tulipangwa pamoja form 1 Q , kiukweli nilishangaa mtu niliyejiunga naye form 1 si yule niliyefanya naye mtihani wa kumaliza darasa la 7 , sikuwahi kumuuliza yeye binafsi wala sikuwahi kumuambia mtu yeyote kuhusu jambo lile hadi leo , japo yeye alionekana kudokezwa kuhusu mimi na aliniheshimu kwa miaka miwili niliyosoma naye
 
Binadamu katika mazingira mbali mbali,ukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya
Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri,
Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu anabakwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi shuhudia mtu au mke wa mtu anatembea na mwanaume mwingine wakakaa kimya,

Mi siri yangu ambayo sitakuja kuisema ni kamba nilimfumania mjomba mkubwa akiwa anatembea na mke wa mjomba mdogo alafu wakajua kwamba nimejua sikuwahi kuisema ilikanusha, yapata miaka 20 sasa,
Leo kuna rafiki yangu amenambia kwamba akiwa mdogo alimuua mtu akiwa Croatia mwaka 1994 , na hakuna aliyejua,

Mwingine (dr) akasema kuwa amewahi kumuinject mgonjwa UKIMWI kupitia syringe, na akakaa kimya maana alilipwa Hela ya kutosha


Najua na wee una siri umetunza tudokeze
Kuna siri mwanaume unazikwa nazo, yaani hata ukuta hauuambii
 
Back
Top Bottom