ngoja watu waje kubashiri.....
Pole. Watu wamekua hawana aibu kabisa
RapedMimi siri yangu ni kutunza siri nzito mpaka leo.
Sasa mnajua nimetunza siri nzito.
Hiyo ndio inaitwa siri! Maana hata kama hujulikani na ukaisema, hiyo si siri tena!Kuna vitu sitakuja kuvisema hadi nazikwa, iwe kwa anaenifahamu au asiyenifaham. Iwe ni kwa kuandika au kwa kuongea. Sitakuja kusema.
Siku hizi siri ni ya mtu mmoja tu,ukimshirikisha wa pili sio siri tena.
Nmecheka sana hiii.. Huyo Mecky balaaDahh hakika kuna watu usiwaambie siri kuna jamaa mmoja anaitwa uncle mecky huyu bwana huwa anajulikana kwa Umbea viunga vya dar kuna siku alimkuta jamaa mmoja anatembea na mke wa Jirani yake, jamaa alivoona vile akamvuta uncle mecky pembeni na kumpa million 1 ili atunze siri, basi uncle mecky akamhakikishia jamaa hatasema. Baada ya week jamaa akasikia uncle mecky anaumwa sana kalazwa hospital akaona akamuangalie basi vile anafika hospital anauliza kwa Dr mgonjwa anaumwa nini akajibiwa ana joto tu Kali lkn kapimwa hana maradhi yyt. Mecky akamuita jamaa ebwana eeeh chukua hii million yako utakuja kuniua maaana nimevumilia huu Umbea nimeshindwa mpk joto limepanda mwilini
Means someone get his stick into hole or what....sorry if I misunderstood uRaped
Hahahahahaaaaa uncle mecky noumaDahh hakika kuna watu usiwaambie siri kuna jamaa mmoja anaitwa uncle mecky huyu bwana huwa anajulikana kwa Umbea viunga vya dar kuna siku alimkuta jamaa mmoja anatembea na mke wa Jirani yake, jamaa alivoona vile akamvuta uncle mecky pembeni na kumpa million 1 ili atunze siri, basi uncle mecky akamhakikishia jamaa hatasema. Baada ya week jamaa akasikia uncle mecky anaumwa sana kalazwa hospital akaona akamuangalie basi vile anafika hospital anauliza kwa Dr mgonjwa anaumwa nini akajibiwa ana joto tu Kali lkn kapimwa hana maradhi yyt. Mecky akamuita jamaa ebwana eeeh chukua hii million yako utakuja kuniua maaana nimevumilia huu Umbea nimeshindwa mpk joto limepanda mwilini
Means someone get his stick into your hole? Sorry if I have misunderstood u.Raped
Kuna kitu tofauti Mungu kakiweka ndani yako/Pia mwonekano wako ndio maana wanakuja tu siyo BahatimbayaKuna siri nyingine ninazo hadi nikianza kuziwaza naogopa mwenyewe.
Watu wamekua wakijiamini Sana wakikaa na Mimi kuongea mambo yao.
Nyingine nashindwa kuzibeba hadi nakua Kama mgonjwa ila ndo inakua siri tena nashindwa kuzitoa.
Kuna muda natamani ni mwambie MTU asiongee au kufanya kitu mbele yangu sababu ananipa mzigo wa kuanza kufikiria ila nakaa tu.
Wengine nawaulizaga hivi unajiamini nini kufanya/kuongea hiki mbele yangu.
Siri nyiingi saana nlishaambiwa,tatizo nakosa uvumilivu,nakereka saaana moyoni[emoji3]hadi nasemaAhahahahahahahah mfano siri gani ushaambiwa ukaitoe?
Nilimaliza shule ya msingi jijini DSM , kutoka shule ile tulichaguliwa watu 10 kujiunga na sekondary ( kumbuka enzi zile haikuwa rahisi watu kujiunga na secondary za umma wadada 4 wakaka 6 ) , japo baadaye nilikuja kuhama shule za umma , kuelekea shule ya sekondari niliyopelekwa tuliotoka shule 1 ya msingi tulichaguliwa wawili tu na tulipangwa pamoja form 1 Q , kiukweli nilishangaa mtu niliyejiunga naye form 1 si yule niliyefanya naye mtihani wa kumaliza darasa la 7 , sikuwahi kumuuliza yeye binafsi wala sikuwahi kumuambia mtu yeyote kuhusu jambo lile hadi leo , japo yeye alionekana kudokezwa kuhusu mimi na aliniheshimu kwa miaka miwili niliyosoma nayeBinadamu katika mazingira mbali mbali,ukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya
Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri,
Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu anabakwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi shuhudia mtu au mke wa mtu anatembea na mwanaume mwingine wakakaa kimya,
Mi siri yangu ambayo sitakuja kuisema ni kamba nilimfumania mjomba mkubwa akiwa anatembea na mke wa mjomba mdogo alafu wakajua kwamba nimejua sikuwahi kuisema ilikanusha, yapata miaka 20 sasa,
Leo kuna rafiki yangu amenambia kwamba akiwa mdogo alimuua mtu akiwa Croatia mwaka 1994 , na hakuna aliyejua,
Mwingine (dr) akasema kuwa amewahi kumuinject mgonjwa UKIMWI kupitia syringe, na akakaa kimya maana alilipwa Hela ya kutosha
Najua na wee una siri umetunza tudokeze
Kuna siri mwanaume unazikwa nazo, yaani hata ukuta hauuambiiBinadamu katika mazingira mbali mbali,ukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya
Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri,
Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu anabakwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi shuhudia mtu au mke wa mtu anatembea na mwanaume mwingine wakakaa kimya,
Mi siri yangu ambayo sitakuja kuisema ni kamba nilimfumania mjomba mkubwa akiwa anatembea na mke wa mjomba mdogo alafu wakajua kwamba nimejua sikuwahi kuisema ilikanusha, yapata miaka 20 sasa,
Leo kuna rafiki yangu amenambia kwamba akiwa mdogo alimuua mtu akiwa Croatia mwaka 1994 , na hakuna aliyejua,
Mwingine (dr) akasema kuwa amewahi kumuinject mgonjwa UKIMWI kupitia syringe, na akakaa kimya maana alilipwa Hela ya kutosha
Najua na wee una siri umetunza tudokeze