Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Mimi kuna bosi mmoja nataka nimlipue kwa wakubwa zake ,mnoko sana anatubania sana hali ni mpigaji hatari mbinafsi, ana roho mbaya,mwizi japo anajifanya mlokole.
 
tibim,la sijisikii hatia yoyote maana mtoto na kaka tangu hawajui kitu,tunajua mie na shem tu
 
Yani ukatupia kwamba ukamlaa au????
 

Duuuh [emoji15][emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…