Vipi ujihisi hatiamimi nilizaa na mke wa kaka yangu na mpaka leo mtoto ana miaka 20 tunajua mimi na huyuo shem tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi ujihisi hatiamimi nilizaa na mke wa kaka yangu na mpaka leo mtoto ana miaka 20 tunajua mimi na huyuo shem tu
Huyo huyo. Hivi bado anaendelea na hiyo biashara yake? mshenzi kweli yule mgogoduh! Mazengo yule yule karibu Na Imalaseko!!!? Sitakula tena chips zake.
Hii siri yako imekaa kama kichekeshoNimekumbuka limamantilie limoja lilikuwa limanyofoa mavuzii kuweka kwenye vitumbua nikaliona likanibembeleza nisiseme, nikakaa kimya ila nkaachaga kununua kwake
yupo hadi leo.Huyo huyo. Hivi bado anaendelea na hiyo biashara yake? mshenzi kweli yule mgogo
Yani ukatupia kwamba ukamlaa au????Mwanzo wa balehe yangu nimelala na mama yangu mdogo kabisa Kama ujuavyo kina hupenda kulala na chupi tu, kidume usiku sinikaanza kupekua kichuguu, chakushangaza mama yangu Yule alitulia kimya kabisa mpaka nikatupia mzee, lakini yaliyonipata kesho yake asubuhi alinipiga kipigo Cha mbwa Koko, sielewi Kama mama na wajomba zangu aliwaambia Nini alichonipigia sijui ila ktk Rika letu Hakuna aliyejua Ni kwanini nilipigwa kipigo kiasi kile siku ile imebaki Siri yetu Mimi na mamdogo...Ni miaka karibia 30 iliyopita na wote tupo hai enz hizo Tabora vijijini huko....dah[emoji36][emoji36]
Watu MNA dhambiii aiseeemimi nilizaa na mke wa kaka yangu na mpaka leo mtoto ana miaka 20 tunajua mimi na huyuo shem tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm cwez tunza siri yn kakooo kanawasha mpaka niongeee hyo siri
Ameshazisema zote,hahaaaa siri siriniNaona hiyo Siri hutokuja kuisema kabisa...
Daaa!!umenikumbusha kina muda nanunua andazi au kitumbua alafu nakuta kanywele kamoja kareeefu,kumbe ndo mchezo wao,shwainiNimekumbuka limamantilie limoja lilikuwa limanyofoa mavuzii kuweka kwenye vitumbua nikaliona likanibembeleza nisiseme, nikakaa kimya ila nkaachaga kununua kwake
Binadamu katika mazingira mbali mbali,ukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya
Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri,
Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu anabakwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi shuhudia mtu au mke wa mtu anatembea na mwanaume mwingine wakakaa kimya,
Mi siri yangu ambayo sitakuja kuisema ni kamba nilimfumania mjomba mkubwa akiwa anatembea na mke wa mjomba mdogo alafu wakajua kwamba nimejua sikuwahi kuisema ilikanusha, yapata miaka 20 sasa,
Leo kuna rafiki yangu amenambia kwamba akiwa mdogo alimuua mtu akiwa Croatia mwaka 1994 , na hakuna aliyejua,
Mwingine (dr) akasema kuwa amewahi kumuinject mgonjwa UKIMWI kupitia syringe, na akakaa kimya maana alilipwa Hela ya kutosha
Najua na wee una siri umetunza tudokeze
Mimi ni msiri sana mpaka siri nyengine nimezisahau.
Mi nilimla mke wa balozi fulani ninatunza siri wee nikaja kusema hapa kwa mafumbo
Hivi kinachofanya mke wa mtu kuwa mtamu sana nini? Nimekumbuka utamu wa mke wa balozi - JamiiForums
Nimekumbuka limamantilie limoja lilikuwa limanyofoa mavuzii kuweka kwenye vitumbua nikaliona likanibembeleza nisiseme, nikakaa kimya ila nkaachaga kununua kwake
Three can keep a secret, if two of them are dead