Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Shetan kakushikia kisu sio😀😀
 

Kiufupi na wewe lazima mkeo ataliwa tu na hutakuja kujua...
 
Mimi siri yangu ambayo iko moyoni na inanitesa ni kumla mke wa jirani yangu na kumpa mimba(Zamani lakini) mpaka leo nikimwona jamaa huwa najutia sana, kweli kutoka moyoni najutia sana kitendo kile japo mkewe alikuwa mzuri sana
Mtoto yupo wapi?
 
Bi mkubwa wakonhakutaka kumpambania bwanake arudi? Alimuacha aende?
 
Yuko na mama yake, last time kuwasiliana naye alisema kagombana na mme wake hivyo kasepa, kutoka hapo sijawahi wasiliana naye tena so sijui kipi kinaendelea
Mtoto ana Umri gani sasa
 
Sitoi siri
 
Yuko na mama yake, last time kuwasiliana naye alisema kagombana na mme wake hivyo kasepa, kutoka hapo sijawahi wasiliana naye tena so sijui kipi kinaendelea
Kwa hio unasubiri mtoto akuwe na jamaa amlee na mtoto afanikiwe ndo ukajitabulisha kwa mtoto??????
 
Angejua ingekukua hatari
 
Kwa hio unasubiri mtoto akuwe na jamaa amlee na mtoto afanikiwe ndo ukajitabulisha kwa mtoto??????
Sina haja ya kujitambulisha, kwani italeta mzozo mkubwa kwa familia ya watu pamoja na kumuharibu mtoto kisaikolojia. So mimi hapo sina changu na ntakufa na siri hii labda mama yake aitoe hiyo siri
 
Hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…