Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka nilivyoingia milambo high school nikapita mitaa ya chem chem kila nyumba nasikia harufu ya pilau ukiangalia nyumba zilivyopinda nilichoka.
Hizo nyumba kwa nje zimechoka sn Lkn ndani wanatoka viumbe warembo vibaya wakinyamwezi!
enzi za akina ADAM mabrekaDisco la mwanaisungu, tabora hotel.
Basketball kwenye grounds za uhazili.
Nani alisoma mwenge, kipindi cha mwalimu chiboni?
Duh!! Wewe unakumbuka sana shule ya Mazoezi Mwenge. Huyu Mwalimu Chiboni alikuwa headmaster, alikuwa anajua kiingereza kizuri na fasaha sana but alikuwa Mlevi wa Pombe, Alikuwa mwenyeji wa Dodoma(Mgogo) na mara ya mwisho nilimwona 1993 Salanda-Dodoma nikipita na treni akiwa hana chochote.Disco la mwanaisungu, tabora hotel.
Basketball kwenye grounds za uhazili.
Nani alisoma mwenge, kipindi cha mwalimu chiboni?
Naikumbuka Mitumba ya Salatoga na Pamba za Tabora Bazar.
Tabora bazar na vitumbua vya mzee simba pale diamond talks wakti wa magharibi na kombe la maziwa moto!!
Usinifanye nikaanza kulia saa hii!
Na wakunibembeleza yuko safari.
Tabora bazar na vitumbua vya mzee simba pale diamond talks wakti wa magharibi na kombe la maziwa moto!!
Usinifanye nikaanza kulia saa hii!
Na wakunibembeleza yuko safari.