Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

You guys, mmenikumbusha mbali. Kulikuwa na mwehu mmoja simkumbuki jina, alikuwa anapenda kukaa kwenye mwembe fulani juu ya kisima oposite na tabora hotel na na kabla ya bweni jipya la ttc alikuwa anapenda kutuonesha dudu lake kila tukimuomba (datada la nne nafikiri)

Teh teh teh!
Aisee hapo umenishtua kidogo!
Sasa unamuomba akuonyesha li dushelele lake la nini!

Huyo huenda akawa mr KATOPE!

Teh teh teh!
 
Wakuu salama?

Nimeona tukumbushane mambo na vituko vya mboka na story kibao za mkoa ule! Na mitaa, matunda ya porini km Magongoti, vijana Wa mboka, Mwanaisungu etc.

Wakuu Mwenye story ya mboka Au Mwenye chochote kile aje tupige porojo kidogo!

Hii post isihitimishwe kabla sijaskia habari Za Akanana..!
 
Teh teh teh!
Mkuu mamtonga nimekula saana pale isike primary! Wakati nyerere anafundisha mihayo!

Sasa hapo piga hesabu mi mdingi kiasi gani!

Enzi hizo wale masista wa pale moravian ukiwatizama utafkiri hawa kina dada wa kiislamu!

Yaani huoni chochote kwenye miili yao zaidi ya uso tu!

Na nadhani ile moravian iko mpaka leo. Ya kule mwanza rd.

Na wakati huo igombe ndio ilikuwa beach baab kubwa!

Siku za sikukuu tunabebana kwenye malori tunaenda kucheza SAKAYONSA au Ile miziki ya Tabora Jazz karibu na Viboko wa Bwawa la igombe!

Sii mchezo!

Sakayonsaaaaaaaaa hahahaahahhaahaha kumbe tumo wazee wengi humu
 
Mkuu we nikitazama jina lako naona kwa mbuguswa na mantonga si wa kawaida!

Teh teh teh teh teh!

Mboka yeeee!

Nimekulia URAMBO.. So all sort of story zimeniingia sana, nakumbuka alfajiri tulivyokuwa tunajihim kufuata Mantonga.. ! Da.. Aisee.. Good old Days.. Asubuhi mnakimbia Mbali Kweli, Basi Miguu inawasha hiyo.. Da.. Nakumbuka Enzi tunawinda Basi ile asubuhi mnapoondoka lazima utoe mchango wa mbwa.. Kama huna mbwa mawindo hupati.. Unaambulia kwato tu.. Basi huko porini mkiona mnyama mnamtimua huku kila Mtu akitaja kiungo chake Mie..paja, mie mguu wa mbele, mie shingo, mie Kichwa Basi kila Mtu kiungo chake.. Ilikuwa Imani ya ajabu sana .. Mnyama mwenyewe wala hammpati..

One day nilidrive Hadi Kwenye pori Hilo Neary Kaliua nilipokwenda tembelea, niliwaza sana it Realy touch those tough but sweety life..

Kuna matunda yanaitwa ntalali, mpuguswa kuna nchi nilitembelea nikakuta matunda Kama mpuguswa. .. Very funny
 
Makamilwa na makopa ya kufa mtu!

Piga jolowe kama hakuna serikali!

Teh teh teh teh!

Hahaha, nimepiga sana jolowe na kaka zangu, kuna vindege vingine vidogo vya blue, tulikuwa tunavitega kwa ungo na chenga za mchele sijui vyaitwaje.

Yule chizi, bwana tulikuwa wadogo about 12 na akawa anatuonesha dushe lake, we were just naughty girls.
 
maalim,nimepita tabora last week,nikaona mikate toka kahtaan bakery! We ndo unamiliki ile kitu!!?

Huyo jamaa tunafanana majina tu!

Na tumetokea mji mmoja!

Isije ikawa tabu bure hapa!
Jamaa akakosa wateja kwa kufanana majina na mimi.

Wala hatujuani!
 
Hahaha, nimepiga sana jolowe na kaka zangu, kuna vindege vingine vidogo vya blue, tulikuwa tunavitega kwa ungo na chenga za mchele sijui vyaitwaje.

Yule chizi, bwana tulikuwa wadogo about 12 na akawa anatuonesha dushe lake, we were just naughty girls.

Hao ndege watakuwa wqnaitwa zizi kkkkkkk
 
Back
Top Bottom