cosmonaut
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,392
- 2,762
VW mkuu spare zake zinapayikana, ila ndo bei yake imechangamka....Spare parts zake upatikanaji ukoje hapa Dar??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VW mkuu spare zake zinapayikana, ila ndo bei yake imechangamka....Spare parts zake upatikanaji ukoje hapa Dar??
Okei, ila za mtaani nimeziona pia.Hizi za ku google achana nazo angalia tulizo naz kwenye yards na mitaani Tanzania
Okei, ila za mtaani nimeziona pia.Hizi za ku google achana nazo angalia tulizo naz kwenye yards na mitaani Tanzania
[emoji23] [emoji23] [emoji23]He!!........
Poa, ziko vizuri na pia sio uniform kama IST.
Kwenye VW Cars VW Polo ndio gari yao ya pili kutoka mwisho kwa udogo wa body na engine...yaani kama useme Vitz,Passo kwa ToyotaHabarini!
Ni hayo tu, kati ya hizi gari mbili, ipi ni bora zaidi kwa wale ambao wameshazitumia au wenye uzoefu nazo.
Naziona ona sana mjini siku hizi.
Aisee...!!! 260!!![emoji13] kwa barabara hizihizi zetu!!! Unaweza jikuta uko na miti na majani ndani ya gari!Golf ni gari zuri kwa muonekano kuliko Polo, Ni kubwa kidogo na zito kuliko Polo na ukipata Golf black metalic kaka hapo ni utilivu
Speed hadi 260
Golf Gti Ina speed 300km/hAisee...!!! 260!!![emoji13] kwa barabara hizihizi zetu!!! Unaweza jikuta uko na miti na majani ndani ya gari!
mk series ndio nini?Zote sawa tu ila golf wana sport edition... gti.
Vijana wengi wanazipenda hizi mimi mwenyewe nikiwa mmoja wao.
VW golf gti (mk series) ndio gari.
Golf Gti Ina speed 300km/h
Yutong lina horsepower ngapi? Linaweza kufukuzana na vw golf gti r32?Kama unataka kujua uwezo wa gari/engine,tunaangalia horsepower(Hp) ndio kasi na uwezo wa engine.Na sio speed meter.
Ni matoleo ya hizo gti Kuna mk1 - 7 ambayo ni current.mk series ndio nini?
Yutong lina horsepower ngapi? Linaweza kufukuzana na vw golf gti r32?
Kama,unajua Weight/Power ratio usingetoa hio kauli.
Kukimbia ni uwezo wa derevaZina kimbia zina kimbia hizoooooooooooo usiombe