Kwa wale wamiliki na wazoefu wa magari, ipi bora kati ya VW Polo na VW Golf?

Kwa wale wamiliki na wazoefu wa magari, ipi bora kati ya VW Polo na VW Golf?

sindo nkawa nashangaa hiyo ID afu kule MMu unachat ka manzi na huku unajua magar afu sio mara moja sasa ..mbna umetumia ID ya kike au unapenda tongozwa?? Preta
 
Ka polo nilikamiliki miaka ya 2009-2012 ni kazuri ila kuna siku nikagonga kambwa kakapasuka rejeta.... baada ya kubadili kalianza sumbusumbua na spear ni ghali kidogo mfano plug moja kipindi hiko ilikua ni 45,000/= wakati hizi toyota ni 10,000/= ... nilikauza mwishoe...
Sasa hivi nataka nijitumbukize kwenye ford kuga sijui itakuaje[emoji58]
 
PRONDO:

Yutong lina ujazo wa engine (cc)10,520 / 10.5 litre
Horsepower 375hp

VW golf R32 lina ujazo wa engine (CC)3,200 / 3.2 litre
Horsepower 250hp

Yakifukuzana jibu litakuwa rahisi tu,Vw itaachwa.
Kwa sababu Yutong lina horsepower kubwa.

mfano mwingine hapa nina tractor natumia aina ya International model 912 la mwaka 1989.Ni V8 twin cam,lina horsepower 560hp.
Huwa nafukuzana na land cruiser 1hz mkonge yakija huku kwenye miradi hadi huwa wanashangaa.

Kwa hiyo kasi ya mashine yoyote hupimwa kwa horsepower au watts.
 
PRONDO:

Yutong lina ujazo wa engine (cc)10,520 / 10.5 litre
Horsepower 375hp

VW golf R32 lina ujazo wa engine (CC)3,200 / 3.2 litre
Horsepower 250hp

Yakifukuzana jibu litakuwa rahisi tu,Vw itaachwa.
Kwa sababu Yutong lina horsepower kubwa.

mfano mwingine hapa nina tractor natumia aina ya International model 912 la mwaka 1989.Ni V8 twin cam,lina horsepower 560hp.
Huwa nafukuzana na land cruiser 1hz mkonge yakija huku kwenye miradi hadi huwa wanashangaa.

Kwa hiyo kasi ya mashine yoyote hupimwa kwa horsepower au watts.


Kuna jambo unasahau, kwenye hisabati kuna kitu kinaitwa Uwiano, wkt umeongelea ukubwa wa nguvu ya Farasi wa Yutong kulinganisha na Golf, umesahau uwiano wa ukubwa wa injini na uzito gari, hivyo ni vitu muhimu siyo kulinganisha Tu namba ni lazima uwe na uwiano, Je Yutong ina uzito wa Tani ngapi ukilinganisha ukubwa wa injini yake? Vivyo hivyo Golf kwani mwisho wa siku ndivyo pmj na vingine vinavyoamua!

Halafu kuna mambo mengine kama muundo wa gari yaani nguvu ya upepo inaathiri mwendo wa gari, hivyo gari lenye eneo kubwa au Uso mpana huathiriwa zaidi na nguvu ya upepo klk gari yeye uso mdogo na mwembamba, hivyo kuna mambo mengi yanayochangia mwendo kasi wa gari!
 
PRONDO:

Yutong lina ujazo wa engine (cc)10,520 / 10.5 litre
Horsepower 375hp

VW golf R32 lina ujazo wa engine (CC)3,200 / 3.2 litre
Horsepower 250hp

Yakifukuzana jibu litakuwa rahisi tu,Vw itaachwa.
Kwa sababu Yutong lina horsepower kubwa.

mfano mwingine hapa nina tractor natumia aina ya International model 912 la mwaka 1989.Ni V8 twin cam,lina horsepower 560hp.
Huwa nafukuzana na land cruiser 1hz mkonge yakija huku kwenye miradi hadi huwa wanashangaa.

Kwa hiyo kasi ya mashine yoyote hupimwa kwa horsepower au watts.
Usinipotezee muda wewe. Ndio maana nilikuuliza swali kimtego unajua umuhimu wa weight/power ratio?
Yutong kwa maekezo yako ina hp350 inabeba mzigo kiasi gani jumlisha na uzito wake.
Vw hp250 inabeba uzito gani jumlisha uzito wake. Power peke yake haifanyi gari kuwa faster kuna vitu vingine inabidi uzingatie.
Nakupa mfano rahisi honda cc750 inakimbia kuliko gari ya cc3000 unajua kwanini? Ni kwadababu hio gari ina uzito tani mbili wakati pikipiki ina kg200 +/-
 
Kuna jambo unasahau, kwenye hisabati kuna kitu kinaitwa Uwiano, wkt umeongelea ukubwa wa nguvu ya Farasi wa Yutong kulinganisha na Golf, umesahau uwiano wa ukubwa wa injini na uzito gari, hivyo ni vitu muhimu siyo kulinganisha Tu namba ni lazima uwe na uwiano, Je Yutong ina uzito wa Tani ngapi ukilinganisha ukubwa wa injini yake? Vivyo hivyo Golf kwani mwisho wa siku ndivyo pmj na vingine vinavyoamua!

Halafu kuna mambo mengine kama muundo wa gari yaani nguvu ya upepo inaathiri mwendo wa gari, hivyo gari lenye eneo kubwa au Uso mpana huathiriwa zaidi na nguvu ya upepo klk gari yeye uso mdogo na mwembamba, hivyo kuna mambo mengi yanayochangia mwendo kasi wa gari!
Asante kwa kumuelewesha maana nimemwambia anajua umuhimu au maana ya weight/power ratio?
 
Kwenye VW Cars VW Polo ndio gari yao ya pili kutoka mwisho kwa udogo wa body na engine...yaani kama useme Vitz,Passo kwa Toyota
Tuanze kubwa kabisa mpaka ndogo
VW Touareg
VW Tiguan
VW Touran
VW Golf/Jetta/Bora
VW Polo
VW Lupo
Golf na Polo ni kama RunX na Passo/Vitz
Umesahau VW Atlas--ndo kubwa zaidi
 
Comrade 01 yutong ipi ina cc 10500 ?? hizi f12,f11 na kina zhongtong climber zote zina cc 8900


afu power to weight ratio is what matter...hiyo yutong haifat hata ist
 
Usinipotezee muda wewe. Ndio maana nilikuuliza swali kimtego unajua umuhimu wa weight/power ratio?
Yutong kwa maekezo yako ina hp350 inabeba mzigo kiasi gani jumlisha na uzito wake.
Vw hp250 inabeba uzito gani jumlisha uzito wake. Power peke yake haifanyi gari kuwa faster kuna vitu vingine inabidi uzingatie.
Nakupa mfano rahisi honda cc750 inakimbia kuliko gari ya cc3000 unajua kwanini? Ni kwadababu hio gari ina uzito tani mbili wakati pikipiki ina kg200 +/-
Ni kweli tupu. Na ndiyo maana pamoja na hiyo Horsepower ya Yutong kuwa kubwa kuliko Toureg,lakini kwa kuzingatia uzito,ndiyo maana VW Toureg ina maximum speed 260kph wakati Yutong ni 160-180kph. Kwa hiyo Yutong litaachwa na Toureg
 
PRONDO:

Yutong lina ujazo wa engine (cc)10,520 / 10.5 litre
Horsepower 375hp

VW golf R32 lina ujazo wa engine (CC)3,200 / 3.2 litre
Horsepower 250hp

Yakifukuzana jibu litakuwa rahisi tu,Vw itaachwa.
Kwa sababu Yutong lina horsepower kubwa.

mfano mwingine hapa nina tractor natumia aina ya International model 912 la mwaka 1989.Ni V8 twin cam,lina horsepower 560hp.
Huwa nafukuzana na land cruiser 1hz mkonge yakija huku kwenye miradi hadi huwa wanashangaa.

Kwa hiyo kasi ya mashine yoyote hupimwa kwa horsepower au watts.
Kwahio tractor inamzidi cruiser kwa mbio?
 
Habarini!
Ni hayo tu, kati ya hizi gari mbili, ipi ni bora zaidi kwa wale ambao wameshazitumia au wenye uzoefu nazo.
Naziona ona sana mjini siku hizi.

Mimi sio mzoefu sana wa teknolojia za magari lakin binafsi nina Golf 5 GTI Original na ni manual transmission.
Hizi ndo sifa nilizozigundua:
1.Ina speed kali sana ukiwa mjinga haikukawizi
2.Ni nzinto na very stable(ukipishana na lori au basi wote mkiwa machafu haufeel chochote ni kama umepishana na Passo)
3.Very confortable unapoiendesha
In short Polo ni bwana mdogo kwa Golf.
 
Spare parts zake upatikanaji ukoje hapa Dar??
Mkuu Spare sio ishu ya kuogopa sana siku hz na teknolojia yote hii,wenzetu wa Kongo na Zambia wanaingiza sana hzo vitu kupitia bandari yetu sema tu wabongo tumerogwa na Japanese cars.

Mi week mbili zilizopita nimeagiza Clutch master cylinder kwa bei ya kawaida kabisa.

Kuna huyu jamaa Mwl.RCT ana huu uzi
buy4me kanisaiidia kwa bei so affordable.
 
Kwahio tractor inamzidi cruiser kwa mbio?

Ndio,hata ukipiga hesabu za uwiano wa nguvu na uzito.(power to weight ratio)
Land cruiser 1hz:uzito 2000kg

130hp/2000kg=0.065 hp
0.065hp /kg

Tractor(international):uzito 3500kg
560hp/3500kg= 0.160hp/kg

0.160hp/kg.

Umeona hapo land cruiser 1hz ina speed 180km/hour na tractor lina speed 30km/hour.
Lakini inaachwa.

Hoja yangu ilikuwa speed metre sio kigezo cha uwezo wa gari kukimbia zaidi ya nyingine.

Hata hiyo Vw golf yenye 250hp na speed 300km/hour,itaachwa na hilo trekta.
 
La
Ndio,hata ukipiga hesabu za uwiano wa nguvu na uzito.(power to weight ratio)
Land cruiser 1hz:uzito 2000kg

130hp/2000kg=0.065 hp
0.065hp /kg

Tractor(international):uzito 3500kg
560hp/3500kg= 0.160hp/kg

0.160hp/kg.

Umeona hapo land cruiser 1hz ina speed 180km/hour na tractor lina speed 30km/hour.
Lakini inaachwa.

Hoja yangu ilikuwa speed metre sio kigezo cha uwezo wa gari kukimbia zaidi ya nyingine.

Hata hiyo Vw golf yenye 250hp na speed 300km/hour,itaachwa na hilo trekta.
Labda zikimbizane Dar to Moro
 
Back
Top Bottom