Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
mkuu nina sony moja watts 1500, ni balaa ukifungulia volume 7 tu hapakaliki vio vinaweza pasuka vyote.Tena mziki haswaa, Sony Xplod ama JBL Subwoofer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu nina sony moja watts 1500, ni balaa ukifungulia volume 7 tu hapakaliki vio vinaweza pasuka vyote.Tena mziki haswaa, Sony Xplod ama JBL Subwoofer
Aisee hapo tutaenda sawa sasa, i love loud and hard hitting sound! Xplod ni shida mkuumkuu nina sony moja watts 1500, ni balaa ukifungulia volume 7 tu hapakaliki vio vinaweza pasuka vyote.
nakuambia ikitokea waya umefyatuka hata kama niko porini lazima nishuke nirekebishe.Aisee hapo tutaenda sawa sasa, i love loud and hard hitting sound! Xplod ni shida mkuu
haahha ngoma gani unaskiliza humo ndaninakuambia ikitokea waya umefyatuka hata kama niko porini lazima nishuke nirekebishe.
Tatizo ninalo kutana nalo waomba lift wananiibia sana flash disck zangu
Ngoma mchanganyiko. nina selection zaidi ya ngoma 300.haahha ngoma gani unaskiliza humo ndani
Aisee we ni mtu wa Country music zaidi kumbeNgoma mchanganyiko. nina selection zaidi ya ngoma 300.
Kuna ngoma moja inaitwa criminal ya Natti Natasha, hiyo ni moja ya top 50 zangu.
za bongo nina selection chache tu. ngoja nianze na oldies.
Kwenye oldies hizi ni muhimu:
1. That dont impress me much - Shania Twain
2. Ka-ching - Shania
3. A thousand miles - Vannesa carlton
4. Drove all night - Celine dion
5. nitaendelea......
Niko kote kote.Aisee we ni mtu wa Country music zaidi kumbe
Bado sijamuaamini huyu jamaa. alafu eti kafunga kwenye babywalkerOsaba jumla ilikuwa ngap
I love music, sio mziki wa kusikiliza kwenye headphones... hapana. Mziki wa kusikia kutoka kwenye speakers, sauti si kubwa sanaa ila ipenye hadi kwenye maini. Ukipata fundi mtaalamu anaweza kukufungia mziki alafu akaubalance kiasi kwamba ukipiga alieko nje ya gari anasikia kawaida tu ila walioko ndani maini yanakuwa yanatetemeka.
Kuna shida napata, kila nikiwasha gari sauti ya redio inajiwasha kubwa sana 25 na flash nnanocheza kila nikiwasha gari inaanza nyimbo ya kwanza na haiendelei ilipoishia. Shida ni nini? Hiyo itakuwa ni setting za redio.
Sijafunga hayo mawoofer wala xplicit bali redio na speaker zilizokuja na gari, hazichuji mziki saana ila nahisi unanifaa.
Niko muoga sana na kumoa mtu gari achokonoe kuunga mziki halafu baadae nakuja kuona kuna shida ya umeme kwenye gari imeanza, huwa sipendi gari ichokonolewe chokonolewe na mafundi. Hapo ndio huwa kuna tabu kama utampa fundi wa kuunga unga. Yangu kuna covers nyingi wamevunja wakati wanaweka wires. nimeshabadilisha woofer na redio mara mbili. fundi wa pili alionekana kuifahamu kazi yake zaidi ya fundi wa kwanza.
K' Matata.
inawezekana lakni nishakutana na Suzuki escudo toleo la kwanza imechoka ila huo mziki akipita unasikia kama unaimbia tumboniBado sijamuaamini huyu jamaa. alafu eti kafunga kwenye babywalker
I love music, sio mziki wa kusikiliza kwenye headphones... hapana. Mziki wa kusikia kutoka kwenye speakers, sauti si kubwa sanaa ila ipenye hadi kwenye maini.
Kuna shida napata, kila nikiwasha gari sauti ya redio inajiwasha kubwa sana 25 na flash nnanocheza kila nikiwasha gari inaanza nyimbo ya kwanza na haiendelei ilipoishia. Shida ni nini?
Sijafunga hayo mawoofer wala xplicit bali redio na speaker zilizokuja na gari, hazichuji mziki saana ila nahisi unanifaa.
Niko muoga sana na kumoa mtu gari achokonoe kuunga mziki halafu baadae nakuja kuona kuna shida ya umeme kwenye gari imeanza, huwa sipendi gari ichokonolewe chokonolewe na mafundi.
K' Matata.
mkuu nina sony moja watts 1500, ni balaa ukifungulia volume 7 tu hapakaliki vio vinaweza pasuka vyote.
Bado sijamuaamini huyu jamaa. alafu eti kafunga kwenye babywalker
Nilitaka kuzungumzia hizo waya maana ukizichanganya tu ndio hayo matatizo yanajitokeza. ila sasa mwenye uzi aliposema kuwa redio na spika vilikuja na gari. hapo nikakwama kidogo.inawezekana lakni nishakutana na Suzuki escudo toleo la kwanza imechoka ila huo mziki akipita unasikia kama unaimbia tumboni
Sio complete, sony woofer watts 1500 na amplifier watts 2000ni music system kabisa iko complete eg hi-fi ..or sound tower or Sony ya namna gani
Mi ni mtu wa old school hasa Hiphop na RnBs za wayback 1990-2004 ndio naishi sana katika mziki wa humo,Niko kote kote.
hebu tupia list yako japo kidogo hapa