Kwa wale wanaopenda muziki kwenye gari, tukutane hapa

Kwa wale wanaopenda muziki kwenye gari, tukutane hapa

Wewe kama Mimi, redio iliyokuja na gari ndio hiyohiyo. Kuliko nipeleke kwa fundi ianze kukatwa nyaya bora nisikilize hiyohiyo, kwa brevis sio mbaya
I love music, sio mziki wa kusikiliza kwenye headphones... hapana. Mziki wa kusikia kutoka kwenye speakers, sauti si kubwa sanaa ila ipenye hadi kwenye maini.

Kuna shida napata, kila nikiwasha gari sauti ya redio inajiwasha kubwa sana 25 na flash nnanocheza kila nikiwasha gari inaanza nyimbo ya kwanza na haiendelei ilipoishia. Shida ni nini?

Sijafunga hayo mawoofer wala xplicit bali redio na speaker zilizokuja na gari, hazichuji mziki saana ila nahisi unanifaa.

Niko muoga sana na kumoa mtu gari achokonoe kuunga mziki halafu baadae nakuja kuona kuna shida ya umeme kwenye gari imeanza, huwa sipendi gari ichokonolewe chokonolewe na mafundi.

K' Matata.
 
Wewe kama Mimi, redio iliyokuja na gari ndio hiyohiyo. Kuliko nipeleke kwa fundi ianze kukatwa nyaya bora nisikilize hiyohiyo, kwa brevis sio mbaya

Wooh, wanasemaga wanaoendesha brevis wako flani hivii.... wanakuwaga wamedamshi muda wote....
 
Huyo jamaa promo nyingi thatz why, ukitaka kufungiwa muziki nenda Sinza Mapambano utawakuta vijana pale, zamani yapata kama miaka mitano nyuma alikuwa Muhindi mmoja hivi mitaa ya kisutu anajulikana kama Audio sensations alikuwa anafunga muziki kwenye gari hadi wa milioni tano, akichukua gari anaweza akakaa nayo siku tatu anafunga muziki na gari ikipita kweli unajua kuna mziki wa maana sio makelele

Mkuu Osaba , Huyo mhindi wa Kisutu bado yupo? Nataka sound nzito yenye ubora wa hali ya juu. Bajeti isizidi 1 M.
 
Kwenye kiberiti changu (toyota duet) nimefunga kichwa cha sony, amp mbili za sony moja ya watts 1400(original watts rms) ambayo ina channel moja (mono) hiyo ni kwa ajili ya subs mbili nilizofunga nyuma za watts 1400 za sony, amps moja ya watts 800 kwa ajili ya mid, tweeter na pre amp na tube ya power controler, mziki naousikia ni shida na balaa

Mkuu Osaba , Nataka mziki mzito wenye high quality. Sio makelele. Bajeti yangu ni 1M net. Gari ni Toyota IST.

Cc: Extrovert .
 
Pioneer nao ni shida spika za zina tripple dinamic yaani zile sumaku za nyuma zimefungwa tatu kwa pamoja kishindo chake kama ukipata amp yenye nguvu ni balaa
Double coil hizo, ni matatizo kishindo yake ukipata watts 1000 na mids za Sound link hapo hata Xplod haifui dafu sema upate na amp ya maana sasa. Equalizer ya Boschman naona ndio iko makini zaidi.

Nina mpango niagize vyote Nairobi bado nakichanga.
 
Mkuu Osaba , Nataka mziki mzito wenye high quality. Sio makelele. Bajeti yangu ni 1M net. Gari ni Toyota IST.

Cc: Extrovert .
Tafuta Pioneer bass speaker OG, ukipata ya 1000w double coil hio kwisha kazi. Mids tafta za Soundlink, Booster/Amplifier ukipata JEC ya walau watts 600 inasongesha vyema bass.
Tweeters za Sony/Pioneer, Equalizer tafuta ya Boschman.

Hapo package ready to make your neighbours Mad🤣🤣🤣 na vyote kwa bongo vitafit ndani ya hio budget.
 
Tafuta Pioneer bass speaker OG, ukipata ya 1000w double coil hio kwisha kazi. Mids tafta za Soundlink, Booster/Amplifier ukipata JEC ya walau watts 600 inasongesha vyema bass.
Tweeters za Sony/Pioneer, Equalizer tafuta ya Boschman.

Hapo package ready to make your neighbours Mad🤣🤣🤣 na vyote kwa bongo vitafit ndani ya hio budget.

Thanks mkuu kwa ushauri wako murua. Waonekana unazijua vyema sana sound accessories.

Quality heavy sound to make neighbors mad... hahahaa hiyo sound ndo naipenda mkuu. 😀😀. Gari yenye mziki wa ukweli huwa burudani sana kuiendesha kwa sie wapenda muziki. You ride with full enjoyment.
 
Thanks mkuu kwa ushauri wako murua. Waonekana unazijua vyema sana sound accessories.

Quality heavy sound to make neighbors mad... hahahaa hiyo sound ndo naipenda mkuu. 😀😀. Gari yenye mziki wa ukweli huwa burudani sana kuiendesha kwa sie wapenda muziki. You ride with full enjoyment.
Hahah yeah bro...hio ndio kitu mi napenda sana.
 
Kati ya mziki ambao unanua woofer ambayo ina inbuilt amplifier na anbao unakuwa ni passive woofer inayounganishwa na booster, ni upi mzuri?
Passive Subwoofer ni nzuri kuliko Active subwoofer.

Faida: Inakupa choice ya kuchagua best Amp inayoendana na Speaker yako interms of power.
 
Je kuna redio ya kufunga kwenye gari ambayo wakati wa kupiga miziki au kuonesha picha naweza kutoa toka y-tube?
Zipo Android auto audio systems kwa sasa. Mchina ameleta zake ziko na android kama ya simu tu. Humo mambo yote bluetooth na wireless ukiwasha hotspot tu inakamata kila kitu.
 
Mkuu Osaba , Nataka mziki mzito wenye high quality. Sio makelele. Bajeti yangu ni 1M net. Gari ni Toyota IST.

Cc: Extrovert .
Kama una head unit(radio) tafuta spika ya Sony watts 1800 ukikuta zilizo kwenye tube original ni nzuri zaidi, tafuta amp ya boschmann ya watts 1300 original pamoja na pre amp yake(equalizer) nayo ni iwe kampuni hiyo ya boschmann tafuta na set ya wiring, ukishapata hivyo tafuta fundi umpelekee akufungie huo mziki utakuwa umesave hela nyingi sana maana ukienda mwenyewe kichwa watakupiga hela
 
Kama una head unit(radio) tafuta spika ya Sony watts 1800 ukikuta zilizo kwenye tube original ni nzuri zaidi, tafuta amp ya boschmann ya watts 1300 original pamoja na pre amp yake(equalizer) nayo ni iwe kampuni hiyo ya boschmann tafuta na set ya wiring, ukishapata hivyo tafuta fundi umpelekee akufungie huo mziki utakuwa umesave hela nyingi sana maana ukienda mwenyewe kichwa watakupiga hela
Yaani kny IST ndio afunge huo mziki?
huo mziki size yak ni SUV sio vi baby walker mkuu
 
Kama una head unit(radio) tafuta spika ya Sony watts 1800 ukikuta zilizo kwenye tube original ni nzuri zaidi, tafuta amp ya boschmann ya watts 1300 original pamoja na pre amp yake(equalizer) nayo ni iwe kampuni hiyo ya boschmann tafuta na set ya wiring, ukishapata hivyo tafuta fundi umpelekee akufungie huo mziki utakuwa umesave hela nyingi sana maana ukienda mwenyewe kichwa watakupiga hela

Shukrani mkuu kwa mawazo yako. Nitafanyia kazi ushauri wako.
 
Back
Top Bottom