Nina mziki huu kwenye gari...
1. Head Unit: PIONEER (AVH-ZL5150BT);
2. Amp: JVC 1000watt;
3. Speaker/Subwoofer: PIONEER TS-WX306B 1300w MAX;
4. Twitta: PIONEER;
5. Equalizer: Haipo (haikuwekwa, sijuwi kwanini).
Sasa nahitaji UPGRADE...
A. Kuweka head unit 'full android'. Brand gani ni the best na durable? Hizi Chinese au Korean brands.
B. Kati ya AMP na SUBWOOFER (tajwa hapo juu) nataka upgrade kimojawapo ili kusave cost. Niupgrade ipi kwa watt ngapi na brand gani?
Napenda mziki heavy haswa with quality!! ule mkito wa kuusikilizia kwenye moyo kwa walioko nje ya gari. Mziki 'mzito' na siyo makelele.
Naombeni ushauri wenu wakuu na wataalaamu . Gari ni Toyota ist.
Osaba ,
Extrovert Naligia Mninoi