Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Ni mkubwa sana huo
Mkuu, kuna tatizo lolote kama nikifunga huo mziki kwenye IST?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kuna tatizo lolote kama nikifunga huo mziki kwenye IST?
Hauna ukubwa wowoteNi mkubwa sana huo
Kwa ushauri wangu Passive speaker ni nzuri zaidi(spika isiyo na amplifier ndani) hii inakupa uhuru wa kuunda Mziki uutakao mfano unapokuwa na amplifier ya nje inayojitegemea tambua iyo Amp inakuwa na channel mfano channel 1,2,3 Hadi 4 Sasa hapo upo HURU kuongeza Spika ama kubadili mfumo wa spika hasa Subwoofer, pili nirahisi kutatua tatizo linalotokea kwa iyo Amp ama spika kuliko Active sp ambayo lazima ufungue lile box ili ujue shida IPO wapi.Kati ya mziki ambao unanua woofer ambayo ina inbuilt amplifier na anbao unakuwa ni passive woofer inayounganishwa na booster, ni upi mzuri?
Hapo shida ni UBORA ama ukweli, unaweza kukuta iyo 2500w ni P. M. P. O watts wakati RMS watts ikiwa ni 400 ,Sasa iyo professional Kama oppra unakuta iyo ni real watts Yani 1000 rmsJe kwa nini woofer ya 2500w ya gari haiwezi kutoa mzki mkubwa kuzidi proffessional woofer ya 1000w mfano kama oppra?
Yaani wewe, engekua tunajuana kwa macho, ningekuomba lifti kwenye yako, ila nikiwa na gari yangu, nikukwepa, kutembea na gari yangu ikiwa kimwa, siwezi mziki ni chakula ubongo wangu, ila siyo huu wa kizazi cha akina Diamond na Hamonize. Angala wa kizazi cha akina Lady J.dey, Dataz, Dudubaya, Mwana FA na kurudi nyuma akina Akina Uda jazz, DDC OSS na wenzie.Yani music ni kelele kwangu.
Kama una head unit(radio) tafuta spika ya Sony watts 1800 ukikuta zilizo kwenye tube original ni nzuri zaidi, tafuta amp ya boschmann ya watts 1300 original pamoja na pre amp yake(equalizer) nayo ni iwe kampuni hiyo ya boschmann tafuta na set ya wiring, ukishapata hivyo tafuta fundi umpelekee akufungie huo mziki utakuwa umesave hela nyingi sana maana ukienda mwenyewe kichwa watakupiga hela
Mziki bila EQ unapiga kweli ila hutaweza kuutwist Mfano mi napenda mziki ule wa kusikika nje kishindo ila bila EQ huupati. Ndani utajaa ila nje huwezi kuutoa ukawa unamwagika kwa vishindo. Unakuwa kama wa subwoofer za kichinaHivi mkuu, EQUALIZER ni kitu cha lazima kuwepo? Mimi nilifungiwa mziki pasipo equalizer. Aliweka vitu vinne tu: head unit; amp; speaker/subwoofer; na twita.
Mziki bila EQ unapiga kweli ila hutaweza kuutwist Mfano mi napenda mziki ule wa kusikika nje kishindo ila bila EQ huupati. Ndani utajaa ila nje huwezi kuutoa ukawa unamwagika kwa vishindo. Unakuwa kama wa subwoofer za kichina
Tia Equalizer ya boschman utakuja kunishukuru.That's how it is kwenye huu mziki wangu (head unit: PIONEER AVH-ZL5150BT, amp: JVC 1000W, speaker: PIONEER TS-WX306B 1300W MAX, twita: PIONEER).
Kwa ndani unakita kiasi chake, lakini kwa nje haumwagiki.
Tia Equalizer ya boschman utakuja kunishukuru.
Amp weka yenye power zaidi kuliko speaker utapata matokeo mazuri zaidiSo niongeze tu EQ ya boschman basi, pasipo ku-upgrade AMP jvc 1000W na hiyo SUBWOOFER pioneer 1300W, nitapata sound 'nzito' kwa nje ya gari?
Amp weka yenye power zaidi kuliko speaker utapata matokeo mazuri zaidi
weka EQ si kwamba itaongeza bass tu, hata mchicha utaongezeka piaSo niongeze tu EQ ya boschman basi, pasipo ku-upgrade AMP jvc 1000W na hiyo SUBWOOFER pioneer 1300W, nitapata sound 'nzito' kwa nje ya gari?
weka EQ si kwamba itaongeza bass tu, hata mchicha utaongezeka pia
sana tu, utapata vizuri low freq,mid na hi freq. mi mwenyewe tu mziki wa nyumbani situmii bila EQhahahaa, kwamba 'mchicha' pia utaongezeka...
sana tu, utapata vizuri low freq,mid na hi freq. mi mwenyewe tu mziki wa nyumbani situmii bila EQ