ni sahihi,ni heri amp ikiwa kubwa kuliko spika kuwa kubwa kuliko amp. ila kabla ya kufikia hayo maamuzi angalia real rated power/continous power (RMS) watts za hyo amplifier na spika, mara nyingi wanaandika autput power /PMPOpoa mkuu. nitaweka EQ kwenye hii JVC AMP (1000W) & PIONEER SUBWOOFER (1300W) nilizonazo sasa. Na kuna mdau hapo juu alishauri kwamba huwa ni vyema kuweka AMP yenye watts kubwa zaidi kuizidi speaker/subwoofer ili kupata mziki safi mzito wenye kishindo cha kutikisa maini!
ni sahihi,ni heri amp ikiwa kubwa kuliko spika kuwa kubwa kuliko amp. ila kabla ya kufikia hayo maamuzi angalia real rated power/continous power (RMS) watts za hyo amplifier na spika, mara nyingi wanaandika autput power /PMPO
rms wattage ndio zitakupa.mwongozo sio pmpo? hizi pmpo wanajiandikiaga tu kuvutia biashara,ni wachache wanaandika kweli. kuna siku nilikuwa niende kkoo kununua spika za choir, nikakosa muda hiyo siku,mwenyekiti akaona kama tunachelewa, alikuwa na munkari, akaenda akakutna na spika ya bass double kampuni ya wharfidale ina stika imeandika 4000watts, akaona amepata kinu cha maana, akasahau kusoma nyuma kwenye plate, zilipofika tukabishana, nikamwambia hapa umepigwa ,ni bora ungechukua hata single box ya oppra, bas kusoma kwenye plate ya nyuma ni 1000w rms, nilivyoitest nikamwambia hata hii 1000rms sio kweli, kufungua vinu, kila spika ina 300w rms, kwa hyo total ni 600w rms.sawa. nitacheki hizo specifications na nitakujuza hapa. kumbe yawezekana kukawa hamna ulazima wa AMP kubwa kuliko SPEAKER, kwamba RMS/PMPO ndizo hutoa muongozo?
inawezekana,kuna booster ndogo ndogo za mtumba kko hazibitaji umeme mwingiNataka mziki mnene kwenye bodaboda yangu😜😜
rms wattage ndio zitakupa.mwongozo sio pmpo? hizi pmpo wanajiandikiaga tu kuvutia biashara,ni wachache wanaandika kweli. kuna siku nilikuwa niende kkoo kununua spika za choir, nikakosa muda hiyo siku,mwenyekiti akaona kama tunachelewa, alikuwa na munkari, akaenda akakutna na spika ya bass double kampuni ya wharfidale ina stika imeandika 4000watts, akaona amepata kinu cha maana, akasahau kusoma nyuma kwenye plate, zilipofika tukabishana, nikamwambia hapa umepigwa ,ni bora ungechukua hata single box ya oppra, bas kusoma kwenye plate ya nyuma ni 1000w rms, nilivyoitest nikamwambia hata hii 1000rms sio kweli, kufungua vinu, kila spika ina 300w rms, kwa hyo total ni 600w rms.
na siku hizi wameacha kabisa kuandika hata kwenye smaku, mpaka usome kwenye menual yake, hivyo dawa ni kuingia mtandaoni tu. mimi sinunui kitu bila kuangalia specifikation online na reviews za watu ambao wamewahi kutumiaduh, wengi wanapigwa hapo bila kujua. Elimu muhimu sana hiyo umetupatia.
Mziki wake unagonga kama sea piano?inawezekana,kuna booster ndogo ndogo za mtumba kko hazibitaji umeme mwingi
ukisikiliza mziki kwenye open space ni tofauti na closed, hivyo kwenye bodaboda huwezi kupata heavy bass. ni sawa na hiyo seapino uichue uiweke katikati ya sebule,bass yake inapotea au uiweke juu, lakini ukiiweka kwenye kona utaisikia punch heavyMziki wake unagonga kama sea piano?
Lakini kale ka bass si unakasikia? mfano vispika vya JBL vyenyewe vinawezaje kutoa heavy punch kwenye open space?ukisikiliza mziki kwenye open space ni tofauti na closed, hivyo kwenye bodaboda huwezi kupata heavy bass. ni sawa na hiyo seapino uichue uiweke katikati ya sebule,bass yake inapotea au uiweke juu, lakini ukiiweka kwenye kona utaisikia punch heavy
vina bass radiatorLakini kale ka bass si unakasikia? mfano vispika vya JBL vyenyewe vinawezaje kutoa heavy punch kwenye open space?
Funga equalizer mziki utabadilika sana na sijui unatumia box gani kwenye bass woofer yakoHivi mkuu, EQUALIZER ni kitu cha lazima kuwepo? Mimi nilifungiwa mziki pasipo equalizer. Aliweka vitu vinne tu: head unit; amp; speaker/subwoofer; na twita.
Miziki ya kanisan tunapigwa sanarms wattage ndio zitakupa.mwongozo sio pmpo? hizi pmpo wanajiandikiaga tu kuvutia biashara,ni wachache wanaandika kweli. kuna siku nilikuwa niende kkoo kununua spika za choir, nikakosa muda hiyo siku,mwenyekiti akaona kama tunachelewa, alikuwa na munkari, akaenda akakutna na spika ya bass double kampuni ya wharfidale ina stika imeandika 4000watts, akaona amepata kinu cha maana, akasahau kusoma nyuma kwenye plate, zilipofika tukabishana, nikamwambia hapa umepigwa ,ni bora ungechukua hata single box ya oppra, bas kusoma kwenye plate ya nyuma ni 1000w rms, nilivyoitest nikamwambia hata hii 1000rms sio kweli, kufungua vinu, kila spika ina 300w rms, kwa hyo total ni 600w rms.
sana tu kama hauko makini,unaweza kuuziwa spika box limeandikwa jbl kumbe ndani wamefunga spika za mhindi borl au mchina semton.Miziki ya kanisan tunapigwa sana
Funga equalizer mziki utabadilika sana na sijui unatumia box gani kwenye bass woofer yako
Nina mziki huu kwenye gari...
1. Head Unit: PIONEER (AVH-ZL5150BT);
2. Amp: JVC 1000watt;
3. Speaker/Subwoofer: PIONEER TS-WX306B 1300w MAX;
4. Twitta: PIONEER;
5. Equalizer: Haipo (haikuwekwa, sijuwi kwanini).
Sasa nahitaji UPGRADE...
A. Kuweka head unit 'full android'. Brand gani ni the best na durable? Hizi Chinese au Korean brands.
B. Kati ya AMP na SUBWOOFER (tajwa hapo juu) nataka upgrade kimojawapo ili kusave cost. Niupgrade ipi kwa watt ngapi na brand gani?
Napenda mziki heavy haswa with quality!! ule mkito wa kuusikilizia kwenye moyo kwa walioko nje ya gari. Mziki 'mzito' na siyo makelele.
Naombeni ushauri wenu wakuu na wataalaamu . Gari ni Toyota ist.
Osaba , Extrovert Naligia Mninoi
mimi sijui ujana au uzee,hata sijielewi nipo kundi gani maana hakuna mziki naopenda iwe wa hapa au wa nje sina mwanamuziki hata mmoja nampenda duniani,hebu niambie wajuzi na mimi ntakuwa na tatizo gani?
Tatizo upo mwanza
Ungekua iringa ingeisha mapema
ni sahihi,ni heri amp ikiwa kubwa kuliko spika kuwa kubwa kuliko amp. ila kabla ya kufikia hayo maamuzi angalia real rated power/continous power (RMS) watts za hyo amplifier na spika, mara nyingi wanaandika autput power /PMPO
uneona sasa mkuu, hiyo spika rela wattage ni 350, amp ni 400@4ohm na 800w @2ohms . sasa hapo hiyo amp spika tu ni kubwa kwa maana iko na 350 watts, na hapo ume bridge, yaani umeamua kuitumia kama monoblock amp, ukifinga chanel zote 4 utapata 70w tu, hyo uwezo wa kupata bass ya mkito sahau. ushauri wangu nunua amp kubwa yenye uwezo, au spika za midi unga kwenye redio halafu bass uitoe kwenye output line iiingie kwenye booster, na hiyo booster/ amp itumike kusukuma bass tuMkuu Mamaya , nimecheki RMS za AMP na SPEAKER. Specifications ni kama ifuatavyo...
1. AMP (Jvc Drvn KS-DR5004):
View attachment 2527548
2. SUBWOOFER (Pioneer TS-WX306B):
View attachment 2527557