Kwa wale wapenda mazoezi ya 'Push up' tukutane hapa!

Push ups 150? Za uhakika mkuu? Au zile kama unacheza ndombolo. Nimepumzika kwa sasa lakn umenikumbusha leo jioni inadidi nianze. Ila sijawahi kupiga zaidi ya 30 kwa awamu.
 
Mambo ya kukunja ngumi ni ya miaka ile ya 80,napiga kwa kutumia push bars
Sent by Diaspora
 
Ndio maana nikasema nimeacha gym nimeamia kwenye push up
Hapa umekuja ku-brag ama kukutana na wapenda push up mkuu!????



Anyway, ukipiga push up according to standard huhitaji kwenda gym kabisa..na mwili hautepeti hata ukiumwa.

Sent by Diaspora
 
Teheteheeeee!mwanaume hutakiwi kuwa na kifua flat kama sakafu
Me nimeanza na 10mornie,20 jion,nakajitahidi kuongeza walau 5 kila baada ya siku tatu,now napiga 30 asbh,30 jion.its enough 4 me,mabadiliko nayaona kifua kinapanda wastani,sio Kama mwanzo kilikuwa Kama meza.

Sent by Diaspora
 
Push ups 150? Za uhakika mkuu? Au zile kama unacheza ndombolo. Nimepumzika kwa sasa lakn umenikumbusha leo jioni inadidi nianze. Ila sijawahi kupiga zaidi ya 30 kwa awamu.
Za uhakika mkuu

Sent by Diaspora
 
Wakuu mimi naomba tips, ninaanzaje hili zoezi. Mana nikajaribu kuenda hata moja inanishinda.
 
RATIBA YANGU.

j3 na ijumaa nakimbia uwanja wa mpira x10 bila kupumzika baada ya hapo napiga mazoezi ya tumbo na bar push ups 20x5.

J4,J5 ALH JMOS na JPILI ni push ups 20x 5 + squats
 
pole sana.
Mkuu nenda Hospital inatibika hiyo kitu.
Ukichelewa matibabu yake yatakuwa opresheni.
Kuna dawa za Pilex tablet au pilex cream
husaidia kuondoa hilo tatizo.
Lakini nakushauri uende Hospital kwanza.
Kuna dhana kwamba bawasiri inatibika kienyeji, ni kweli
lakini na Hospitalini wanaponyesha.

 
Unapiga push za ain ngap?? Kuna aina nying sana.

Kwa hiyo level yako. Piga oblique, Soda ya kopo, jiwekee chalenge ya 30 - 1
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…