Kwa wale wapenda mazoezi ya 'Push up' tukutane hapa!

Gonga TWO NUCKLES. uchane watu mashavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polee, brooo.. Nicheki tuyajenge.

Ila ulikuwa una overload mwili wako... N unatakiwa bana zaga ukiwa na mazoez magumu, n ulaji sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Push ups 150? Za uhakika mkuu? Au zile kama unacheza ndombolo. Nimepumzika kwa sasa lakn umenikumbusha leo jioni inadidi nianze. Ila sijawahi kupiga zaidi ya 30 kwa awamu.
Maamuzi na kukomaaaa.... Ishu ni kuendelea. Fanya kila siku na usi limit nguvu ya mwili wako.... Trick ur mind, the body will obey..

Anza hivi, pale unapo ona mwili unachoka, asume hiyo ndio warm up. Anza kuhesabia hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi napiga zile wyf anakaa kwa juu mgongoni, napiga za kutosha.
 
Kwani kuna tofauti gani kati ya push up za ngumi na zile za kawaida?
 
Wakuu mimi naomba tips, ninaanzaje hili zoezi. Mana nikajaribu kuenda hata moja inanishinda.
Anza kuweka mikono juu ya meza na miguu chini, piga piga hizo, nyingi nyingi, halafu punguza angle taratibu.

Au piga magoti haraf anza kupiga push ups.

Ukijenga nguvu za mikono unakuw katik flat surface, ukiwa vzuri zaidi.

Unaweka miguu juu mikono chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du 150? Unatisha mzew baba!

Sent using My Xiaomi Redmi 4a
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…