Kwa wale wapenda mazoezi ya 'Push up' tukutane hapa!

Jaribu pia zoezi la kukimbia.Linakata sana uzito.Nilikuwa nina kg 92 ila ndani ya miezi sita ya kufanya jogging nikarudi kg 82.
 
soda ya kopo zikoje hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
unashika ile sehem ya kuvalia saa, then mkono mwingine unakuja ngumi....unaanza zoez la push ups, then baaada ya muda una switch mikono
 
dah ila ngumi itajaa masugu,vp tricep na bicep linajenga hilo zoezi la soda,maana pushup za ngumi sipigagi

Sent using Jamii Forums mobile app
weka two knuckles, ukiweka mkono mzima si unachafua mkono. hiz ishu wafanye wanaoanza
 
Wanasemaga et jinsi unavyopiga ndio unazid kuzoe mmmh
Mi nina mwezi sasa nilianza kupga 10-15 nikapanda 15-25 nimepanda saivi kwa mpgo mmoja bapiga 30 then namalzia 20 hoi vibaya yaniii hivi ntazoea kweli niwe siumiii hivi maana duuu mtihani huu
 
Mkuu umenipa shule kubwa sana, nafurahi kukutakana jamvini na watu makini kiasi hiki.
Nimeanza kunywa chai, japo bado sifunguki km mchana. Pia njaa inaanza kuniuma kuanzia saa 4-5 hivi, lkn napambana hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…