Kwa wale watu wa kikosi Maalum (Makomandoo) mliopo JamiiForums nitashukuru leo mkinijibu haya Maswali yangu yafuatayo

Kwa wale watu wa kikosi Maalum (Makomandoo) mliopo JamiiForums nitashukuru leo mkinijibu haya Maswali yangu yafuatayo

Inaonekana kuwa unaipenda sana fani hii, na umefuatilia namna inavyoendeshwa, maana unajuwa mambo mengi sana inayohusiana nayo. Lakini pamoja na hayo, wewe ni mwandishi mzuri, nimependa sana uandishi wako. Kama unaipenda kazi hiyo, ningekushauri waone wahusika wakupe taratibu za namna ya kujiunga nayo. Kama haya yote uliyoandika umeyajua ukiwa nje ya mfumo, basi ni dhahiri ukiingia huko mambo yatakuendea vyema.
 
Tulipokuwa Quba kwenye mafunzo nilipenda wanatuchukulia kama raia wa kawaida hata madem wa kule unapita nao....kurudi sasa yaani ni kero ukitaka kujichanganya na wana wa kijiweni kidogo simu isha ingia ni kero sana,ulinzi ulinz ulinzi hata ukitaka kuendesha bila leseni unatumia kitambulisho au gwanda,kuna siku nilikula bure kwenye mgahawa mmoja wa kishua jijini hapo...walivyoita mabaunsa nikatoa gamba wakanyong'onyea kama kuku wa mdondo.Ni kweli kuna siku niliamkiwa na dc halafu mimi ni janja tu sijagonga hata 30 nikaamkiwa na zee zima.

mbona kama hakuna komando hapaaa 😂😂😂

kwa experience yangu ndogo , hata wanajeshi ambao wanaojua mkono vizuri huwa hawana habari na raia, huwa hawajitutumui maana raia kwao ni mtu wanaemlinda sio wanaoshindana nae. Askari wa kawaida kidogo wanaeza ingia kwenye malumbano sababu ya kutambiana ila sio raia
 
Inaonekana kuwa unaipenda sana fani hii, na umefuatilia namna inavyoendeshwa, maana unajuwa mambo mengi sana inayohusiana nayo. Lakini pamoja na hayo, wewe ni mwandishi mzuri, nimependa sana uandishi wako. Kama unaipenda kazi hiyo, ningekushauri waone wahusika wakupe taratibu za namna ya kujiunga nayo. Kama haya yote uliyoandika umeyajua ukiwa nje ya mfumo, basi ni dhahiri ukiingia huko mambo yatakuendea vyema.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kujiunga nao siyo kazi, kazi inaanzia "pain is our medicine"
 
1. Je, ni kweli kuwa Majasusi wengi huwa ni Makomandoo?

2. Je, ni kweli kuwa katika Mafunzo yenu ya Ukomandoo huwa kuna Kipengele cha Kujifunza Uchawi?

3. Je, ni kweli kuwa kwa uwezo wenu mkubwa wa Kimedani nyie huwa hamna Kiwango Maalum cha Mishahara na kwamba Kiwango ukitakacho ukikiomba tu unapewa tena ukiwa unatetemekewa na kupigiwa Magoti?

4. Je, ni kweli kuwa Makomandoo wote wanatakiwa kujua Kuongea Lugha za Kimataifa kuanzia 7 mpaka 12 tena Kiufasaha kabisa?

5. Je, ni kweli kuwa Komandoo akiwa Likizo kuanzia OCD, RPC, DSO, RSO, RC, IGP pamoja na Mjumbe wa Nyumba Kumi wanatakiwa wajue na kila Siku wawe wanakupigia Simu kukuulizia hali yako na ikiwezekana hata Kukuamkia Shikamoo na Kukupigia Saluti huko huko waliko hata kama huwaoni?

6. Je, ni kweli kuwa Makomandoo mkiwa katika Mafunzo au Maisha yenu huko katika Kambi yenu msipopelekwa maeneo yenye ama Chatu wengi au Mito yenye Mamba wengi mkapambane nao huwa hamsikii raha mpaka kufikia Kitendo cha Kununa na hata Kususa Kula?

7. Je, ni kweli kuwa Makomandoo 5 mpaka 7 tu kwa Uwezo wao mkubwa wa Kimedani wakiamua Watu wote wa Mkoa wa Dar es Salaam tulale Saa 6 Mchana na tuamke Saa 12 Jioni Kesho yake kwa kutupa Adhabu zenu inawezekana?

8. Je, ni kweli kuwa aina ya Karate wanayojifunza Makomandoo ni ile ya COMBAT ya Kuua kabisa Mtu au Adui na siyo hizi za Kawaida za Kumjeruhi tu Adui / Mtu mara moja kisha unamruhusu akale Ugali na Maharage Kwao?

9. Je, ni kweli kuwa Makomandoo wengi huwa hawana Watoto na kwamba hata uwezo wao wa Kuzalisha huondolewa au huondoka automatically tu kwa aina ya Mazoezi magumu na ya Hatari mnayofanya?

10. Je, ni kweli kuwa Makomandoo wengi huwa wakifikisha Umri wa kuanzia Miaka 55 hupewa Sumu na Kufa kwakuwa wanakuwa siyo Productive tena Kimedani na kwamba wanahofiwa wanaweza Kuvujisha au kutoa Siri za Jeshi na hata za nchi kwa Maadui?

11. Je, ni kweli kuwa ili Kozi ya Ukomandoo iwe imefana inatakiwa kama mlikuwa mmeingia 100 Mafunzoni basi 55 wawe Wamekufa na 25 wawe wamejeruhiwa kwa kuwa Vilema na wengine hata Makolomero yao na Ulimi kujjtokeza Mdomoni na 20 tu ndiyo wawe Hai na Kukamilika?

Sasa ni wakati wa nyie Kunijibu tu nijue.
Dogo hapo la kweli ni namba 1 na 5 napo bado sio kivile hayo mengine ni siri yetu wazee wa kikosi kazi.
 
Tulipokuwa Quba kwenye mafunzo nilipenda wanatuchukulia kama raia wa kawaida hata madem wa kule unapita nao....kurudi sasa yaani ni kero ukitaka kujichanganya na wana wa kijiweni kidogo simu isha ingia ni kero sana,ulinzi ulinz ulinzi hata ukitaka kuendesha bila leseni unatumia kitambulisho au gwanda,kuna siku nilikula bure kwenye mgahawa mmoja wa kishua jijini hapo...walivyoita mabaunsa nikatoa gamba wakanyong'onyea kama kuku wa mdondo.Ni kweli kuna siku niliamkiwa na dc halafu mimi ni janja tu sijagonga hata 30 nikaamkiwa na zee zima.
Heshima kwako komandoo, kuna jamaa yangu alinipa stori alikutana na nyinyi kwa kalumanzila......akadai mna uwezo wa kupiga mti ngumi ukapasuka vipande vipande, na pia mnao uwezo wa kuangamza maadui wengi ndani ya dakika sifuri.....
 
Point 8 [emoji736]
Nyingine [emoji3582]
Mmoja kati ya nilotoka nao tumbo moja Ni comando hakuna kilichobadirika kwake
Anawaheshimu wazee mtaani
Mambo ya kuripoti eti nani ajue yupo hakuna.
Amebadirisha mind set yangu kuwahusu Hawa watu


Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sio nabii mashimo komandoo wa yesu?
 
Yote sahihi ndo maana umeyajua kiufasaha
Hamna ukweli hapo,ukitaka kujua mafunzo na maisha ya makomandoo,nenda kasome vitabu vilivyoandikwa kuhusu makomandoo wa USA(Seal Team,Marine,Delta force,CIA,secret service,drug enforcement agency DEA,state department)au wa UK(SAS,Scotland yard),au wa Israel(mossad,shabak,)au Russia(KGB,FSB,spetsnaz)
Achana na story za vijiweni za kibongo hazina uhalisia,huku kwetu wanaona wakiua chatu ni jambo la kishujaa na kujipongeza)
 
Back
Top Bottom