Kwa wale wenye maduka ya reja reja ni kitu gani ukiweka kinavutia zaidi wateja?

Kwa wale wenye maduka ya reja reja ni kitu gani ukiweka kinavutia zaidi wateja?

Kalpana

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
32,603
Reaction score
62,269
Najiuliza niongeze nini dukani kwangu. Bidhaa gani ni nzuri dukani na zina faida nzuri kidogo. Hili duka si la hali ya chini sana ni duka la kati.

Karibuni tujadili nini na nini kisikosekane dukani kwanza kina faida halafu kinavutia wateja.
 
1
JPEG_20201211_151714_5784097385317511108.jpg
 
Back
Top Bottom