Kwa wale wenye maduka ya reja reja ni kitu gani ukiweka kinavutia zaidi wateja?

Kwa wale wenye maduka ya reja reja ni kitu gani ukiweka kinavutia zaidi wateja?

Najiuliza niongeze nini dukani kwangu. Bidhaa gani ni nzuri dukani na zina faida nzuri kidogo. Hili duka si la hali ya chini sana ni duka la kati.

Karibuni tujadili nini na nini kisikosekane dukani kwanza kina faida halafu kinavutia wateja.
Weka genge kwa pembeni
 
Back
Top Bottom