Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka genge kwa pembeniNajiuliza niongeze nini dukani kwangu. Bidhaa gani ni nzuri dukani na zina faida nzuri kidogo. Hili duka si la hali ya chini sana ni duka la kati.
Karibuni tujadili nini na nini kisikosekane dukani kwanza kina faida halafu kinavutia wateja.
ndio mrembo kama unagenge nanunua muhogo mbichi nitafuneDuuh karanga mbichi tu?
Niko dom dukalako lipo sehemgani nije kununuaSina genge ila nitaweka na hilo soon
[emoji706][emoji706]Niko dom dukalako lipo sehemgani nije kununua
wee bwege nini?[emoji706][emoji706]
[emoji706][emoji706]wee bwege nini?
Kumbe unauza pombe utakuwa mchagga wewe wacha nikimbie sikushauri chochote na utafilisika mungu tunaombaCondom zipo ila sigara siuzi pombe kali zipo
Kwahiyo kila muuza pombe huwa anafilisika?Kumbe unauza pombe utakuwa mchagga wewe wacha nikimbie sikushauri chochote na utafilisika mungu tunaomba