Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Usigusejinimtombekoo likuingie unashinda sinzamdawote
 
In mmama MTU mzima
Umejaribu Kufanya Utafiti Labda Kuthibitisha Au Unataka Ukamchunguze Umfanyie Dawa Na Yeye Akachunguze Akukute Muanze Vita Za Ulozi...

Rakims
 
Ndio maana nikauliza nifanyeje
nasema hivi umeshafanya uchunguzi kwa mfano kumuona ameshika vidawa huvielewi anaongea ya ajabu ajabu na anabadilika badilika...

Rakims
 
MTU wake Wa karibu ameniambia

Anakuroga kabisa yeye ni mchawi au anaenda kwa waganga kukufanyia dawa...?

Pia uchawi kumroga mtu sio kitu rahisi kama watu wadhaniavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…