dawa yao kitimoto
Hapana dawa yao Mbuzi katoliki na ukiona watu wanachukia sana huyu mnyama ujue tayari majini yameshakuingia.majini yote hayapendi kukaa karibu na Mbuzi katoliki.
kiukweli kwenye biblia hakuna somo la majini wazuri wala wabaya wote ni mapepo sasa usilazimishe watu
Kwani nani anatoa ruhusa ya kula kitu?Alafu uniambie ruhusa ya kula kitimoto umeipata wapi!!!!
Ruhusa ya kula mbuzi katoliki umeitowa wapi?
Kwani nani anatoa ruhusa ya kula kitu?
Hivi kuendesha gari kumeruhusiwa na nani?
na katika biblia baada ya Mungu kuiumba dunia kulikuwa hamna chochote chenye mfano wa binadam ndipo akaiona dunia imekuwa ukiwa akaamua amuumbe Adam avitawale viumbe na vitu vyote vilivyopo na malaika wazur wanaishi mbingun ila wabaya wanazurura dunian kutafuta washirik wa ule moto siku ya mwisho
Alafu uniambie ruhusa ya kula kitimoto umeipata wapi!!!!
Ruhusa ya kula mbuzi katoliki umeitowa wapi?
Mkuu Rakims nna maswali mengi ya kuuliza kwa kuzingatia topic hapo. naamini una majibu yakutosha but ili tuende vizuri ningependa nikuulize moja ujibu moja then tuendelee.
SWALI LA KWANZA.
Umesema kuna majini aina mbili, 1 majini wema/wazuri na hapo umesema maruhani ndio wazuri na waliobaki ndio jini wabaya.
Je, hao majini wabaya (ambao sio maruhani) wanataka nini hasa kwa watu? maana kuna friend wangu anao wanne na wote wanamlinda but walimtaka rafiki awe anafanya dawa (uganga) ila kutokana na wazazi wa rafiki walikataa hilo na hatimaye walimtaka rafiki aoe na amesha oa. jee unafikiri ni nini kitafuata? do you think kwa vile walimtaka aowe na amesha owa ndio itaishia hapo?
Kwahiyo, alipo kuwa Adam peke yake hapa duniani, idadi ya Majini ilikuwa mia tatu [300]!! Hivi kwanini huwa unapenda ku mislead watu?
vile wanaruka na kwenda wanakotaka au kupita wanakotaka bila kutumia chombo chochote.
Taifa la Majini limegawanyika katika makabila Milioni Sabini na mbili (72,000,000) na wana uwezo wa kujifunza lugha yeyote wanaoitaka.
Idadi ya Majini ni kila Binadamu mmoja kuna Majini 300 na wanaishi katika Majumba yetu, kwenye Miti, Majangwani, Kwenye Mapango na Sehemu zenye Misitu Mikubwa.
#Rakims
Mkuu Rakims nna maswali mengi ya kuuliza kwa kuzingatia topic hapo. naamini una majibu yakutosha but ili tuende vizuri ningependa nikuulize moja ujibu moja then tuendelee.
SWALI LA KWANZA.
Umesema kuna majini aina mbili, 1 majini wema/wazuri na hapo umesema maruhani ndio wazuri na waliobaki ndio jini wabaya.
kwa uelewa wangu maruhani ni majini waislamu. jee jini wote wanaowaingia wakiristo ni majini wabaya?
na jee hao majini wabaya (ambao sio maruhani) wanataka nini hasa kwa watu? maana kuna friend wangu anao wanne na wote wanamlinda but walimtaka rafiki awe anafanya dawa (uganga) ila kutokana na wazazi wa rafiki walikataa hilo na hatimaye walimtaka rafiki aoe na amesha oa. jee unafikiri ni nini kitafuata? do you think kwa vile walimtaka aowe na amesha owa ndio itaishia hapo?
Pata elimu ya bure hapa:Alafu uniambie ruhusa ya kula kitimoto umeipata wapi!!!!
Ruhusa ya kula mbuzi katoliki umeitowa wapi?
Uongo mtupu....jini ni shetani na ndio maana likaitwa jini...yaani 'Malaika walioasi pamoja na Lusifa'...so in really sense hakuna shetani mzuri wote ni wabaya..
Utakubali vpi kuongozwa na Maruhani badala ya Mungu?
Na kwa nini yakae ndani yako wakat Mungu alivyomuumba binadam alimuumba kama free soul?
Kwa nini yakutawale wakati binadamu aliambiwa kutawala viumbe vyote?
Mungu awape macho ya Rohoni ili muone....
Kulikuwa na viumbe hata kabla ya Adam na Hawa kuumbwa.
labda kutokana na quran ila kwenye biblia sijaona