FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Acha matusi wewe kigagula!!!
Ukweli siku zote huwa unauma. Hakuna tusi hapo, soma tena, ni ukweli tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha matusi wewe kigagula!!!
1970 maana haji brothers walianza biashara 1968
Je mwaka 1961 au mwaka 1970? Watu wengi watafeli hapo......
Duh...Mkuu, mbona unafoka kama maziwa jikoni yaliyokosa mwangalizi?SAA NYINGNE NAOMBA TUWE NA AKILI SASA SISIS TUNAJADILI MAMBO YA MAENDELEO MTU MWINGNE ANALETA HOJA ZA NYUMBA MIAKA HIYO ATA SIJAZALIWA ZINATUSAIDIA NINI...JADILINI MAMBO YA MAENDELEO NA SIYO KUDUMAZA AKILI ZENU..MAMBO MEMA KAMA KUMSIFIA MH.RAIS KUNUNUA NDEGE MPYA ,KUJENGA RELI,ELIM BURE,MIKOPO VYUONI,KUPGA VITA RUSHWA NA MENGINE LAKINI SIYO KUJADILI MAMBO YA KIJINGA KAMA HAYA
hao manamba sasa ndio wanawatuma wazawaMmetuchafulia jiji letu, mlipotokea mlikuwa hata vyoo hamvijui.
Enzi hizo tulikuwa tunawaleta kama manamba tu.
Mwinyi kwao ni bumbwini unguja sio mkurangaNani alikudanganya Mwinyi na Kikwete wakuja?
Mwinyi kwao Mkuranga, Kikwete kwao Bwagamoyo, yote hiyo pamoja na Dar ilikuwa ni Coast Region enzi hizo.
Ataje orodha ya Pan ndio utamjua. Kuna wachezaji panga pangua watakuwemo katika list. GM, CK, RM, SMC, KM, KM, SM, IK, JPM, MRA, PT, MM na wengineo.
hao manamba sasa ndio wanawatuma wazawa
Mwinyi kwao ni bumbwini unguja sio mkuranga
Indira gandi zamani iliitwa Market Street lilikuwepo Soko na hilo Soko likaondoshwa likajengwa Jengo Bank ya NBC ikahamia hapo ikaitwa Kichwele Branch umaarufu wa Soko ukawa unapotea na Jina la Kichwele likashika kasi hadi Miaka ya 80s katikati Gari aina ya Range Rover ilikuwa ni marufuku kupaki eneo la Bank. Hivyo We mama Jitambulie Mitaa yako ya Kariakoo Street na Lumumba ndio uijuayo la sivyo ukiijua yote basi ulikuwa pashkuna.Umekosea sana tena.
Hapo ni Kichwele kweli kwa sasa ni mtaa wa Uhuru.
Kichwele haijawahi kuitwa Indira Ghandi, Indira Ghandi ni India Street.
Hiyo mitaa yetu na si Nkurumah hapo.
Mkuu sina haja ya kumuuliza mtu sababu nimeishi huko. So Jina la Kichwele kwa mara yangu ya Kwanza kulisikia ni pale ilipokuwa Bank ya NBC Indira Gandhi Street na Umaarufu wa Huo Mtaa ulioitwa Market ulifutwa na kupewa Jina la Wziri Mkuu wa India Alipoitembelea Tanzania. Sasa hivi hiyo Bank ya NBC ilihamisha tawi lake hapo na na kulipeleka Mtaa wa Jamhuri na Wameondoka na Jina lao la Kichwele.Mkuu mimi sio wa kuchemsha kuijua Dar-es-salaam,kwanza kichwele hupajui hebu kaulize tena kwa aliyekutajia hilo jina,kichwele ipo wapi? Pili hii picha ya 404 peugeot hapo siyo Nkurumah,hapo ni mtaa wa uhuru kona na Nyamwezi hiyo petrol station na jengo linalofatia kushoto bado yapo mpaka leo,upande wa kulia hiyo nyumba ndogo imevunjwa kuna Bank M, ukiangalia mbele unaona kuna Basi linatoka mnazi mmoja la kampuni ya DMT sina hakika kama uliwahi kupanda, basi lipo kona ya mtaa wa swahili na hilo ghorofa la kona ya swahili kulia bado lipo na kuna kituo cha taxi.
Mkuu Dar-es-salaam ya wakati huo na viunga vyake vipo kichwani mwangu picha haijafutika. Nakupa changa moto pita Nkurumah na mtaa uhuru utajifunza kuangalia picha.Hiyo picha imepigwa kona ya mtaa Nyamwezi kuangalia mnazi mmoja.
Hayo ya wizi sii kweli kulikuwa hakuna ujinga huo,wote tulikuwa tunajuwana utamwibia nani?
Kariakoo ilikuwa eneo la waungwana wa mji huu.
Mkuu nimekuelewa ulichosema ila kuuliza si ujinga kaulize kwa wanaoijua Dar watakwambia kichwele ni wapi.Mkuu sina haja ya kumuuliza mtu sababu nimeishi huko. So Jina la Kichwele kwa mara yangu ya Kwanza kulisikia ni pale ilipokuwa Bank ya NBC Indira Gandhi Street na Umaarufu wa Huo Mtaa ulioitwa Market ulifutwa na kupewa Jina la Wziri Mkuu wa India Alipoitembelea Tanzania. Sasa hivi hiyo Bank ya NBC ilihamisha tawi lake hapo na na kulipeleka Mtaa wa Jamhuri na Wameondoka na Jina lao la Kichwele.
Actuary huyo kichwele sielewi ni Mtu au kiumba gani.
Hayo Maeneo mimi kwangu yapo kichwani na jinsi nilivyosema ndio kichwani picha ipo hivyo eneo hilo Nenda pale Mnara wa Saa ingia Nkurumah Ukaribie National Tyre utaelewa. But picha yako muelekeo wake ni kutoka msimbazi kuelekea Mnazi mmoja ndio Sababu yangu kufananisha haswa. Any way Hongera umenipata kwa Hilo.
Mkuu Hii Picha kaipige ukiwa unatokea Mnara wa Saa kijengo cha National Tyre kionekane na hiyo Petrol Station ikiwa inachungulia.Mkuu nimekuelewa ulichosema ila kuuliza si ujinga kaulize kwa
![]()
picha ya 2017 Chox[emoji115]
Mkuu ukipiga kutokea mnara wa saa linaonekana jengo la chox kulia kwako hapo ndiyo kwenye tofauti.Mkuu Hii Picha kaipige ukiwa unatokea Mnara wa Saa kijengo cha National Tyre kionekane na hiyo Petrol Station ikiwa inachungulia.
Total Ndie Mkongwe aliyebakia katika Makampuni ya Mafuta.
Shell ilipotea,ESSO,Agip,Cartex na BP nayo ikasepa Kabakia Total pekee
Hiyo View ya left side ukiipata muonekano ndio unakuwa kama huo kwenye picha ya kaleMkuu ukipiga kutokea mnara wa saa linaonekana jengo la chox kulia kwako hapo ndiyo kwenye tofauti.