Kwa wale wenye umri wa miaka 50 na kuendelea unakumbuka jiji la Dar mwaka gani?

Kwa wale wenye umri wa miaka 50 na kuendelea unakumbuka jiji la Dar mwaka gani?

Tukiwa kidato cha Pili shule ya Jitegemee tuliomba turuhusiwe kuvaa SURUALE badala ya kaptura...Mkuu wa shule wakati huo akiwa Major Mkisi alitujibu siku yule Askari (Sanamu la bismini)akivaa suruale ataturuhusu na sisi tuvae.Kwetu hilo sanamu ni kumbukumbu tosha....Diamond hapana.
bwana mdogo kumbe umesoma juzi enzi ya martin mkisi,haya nw yupo meja kessy!
 
Hiyo View ya left side ukiipata muonekano ndio unakuwa kama huo kwenye picha ya kale
Mkuu upo Dar? Kama upo Dar pita hilo eneo mchana wa kesho piga picha kisha ilete hapa hiyo view ya kutokea mnara wa saa kulia mwa picha hayo majengo ni tofauti na picha ya kale.
Hebu tazama hii picha nyingine ya jana
2083a47bd48499d16324888e3f0abcac.jpg

c7281619d4b00abd5a66b6259185ed35.jpg

34d5a3af42ad94169b65264f6576f5b0.jpg

Angalia mpaka nguzo za umeme bado ni zilezile za kale [emoji15] [emoji15]
 
Hapa 1960's na VW na Morris zinazuguuka sanamu ya Bismini & Haji brother ilikuwa maarufu kwa kuuza saa za mkononi siku hizi hilo duka kuna Benki ya Posta.
jengo hilo linabomolewa hivi sasa tunavyookomenti humu, buriani kwake
 
Hapa 1960's na VW na Morris zinazuguuka sanamu ya Bismini & Haji brother ilikuwa maarufu kwa kuuza saa za mkononi siku hizi hilo duka kuna Benki ya Posta.
Hapo Hsjji Brothers kwa sasa panavunjwa kunapangwa kujengwa ghorofa moja matata sana litakaloitwa Gumzo la Jiji. Subira yavuta kheri.
 
Mkuu Zamiluni Zamiluni jamaa zetu hao niliyowataja Eddie yupo hai ila anaishi USA,Bobeya,Mussa Simba,Feruzi,Machismo wapo hai na wote naonana nao kasoro Eddie ila taarifa zake nazipata kupitia kwa swahib yake mkubwa Owite ambaye nae yupo UK.
Wazee wetu Mzee Lumelezi,Mzee Mangara Tabu na kesi Mjinga pamoja na Leny Simba wametangulia mbele ya haki.
ndio tunaambiwaga zamani dili lilikuwa kwenda ulaya na wazee wetu, kumbe kweli
 
Historiya ndefu na taamu kupita makadirio ya fahamu zetu !! baadhi ya shule Breakfast na mid Lunch shuleni !!
Hospitali lipo file la familiya kuanzia mtoto wa mwanzo hadi wa tisa au kumi (kizazi bora na imara)!!
Elimu A~z english !! College na Universitez unapelekwa ulaya/US/CAD na majuu...(FOC)
Michezo ya viwango vyote na Ubingwa Tanganyika ilikuwa ikiongoza sub)sahara...
Politics tumeshika hadi baraza la Usalama na kugombea ukatibu mkuu UN!!
gari unamiliki kwa kuanzia Ts.500/-
Pikipiki scooter/vespa Ts 150/-
bysiceli Raleigh ts 30-45/- !!
Viwanja vya ndege, reli, madaraja za kimataifa na kudumu kusastain EarthQuake na disastours

WEE chezea British Coloni (wakoloni Mungu awabarikie na wadumu kuilinda Dunia hii forever)
Mkuu STORYz ni ndefu sana .....

MziziMkavu hebu mwaga picha bhana....

Duh ZZ naona stori za 60s na 70s zimemvuta kaka Mtebetini.Mzizi Mkavu Ubarikiwe Mkuu
Miaka ya 70s nilikuwa nakuja Dar Toka Dom
Na reli,mabasi ya Kamata Na mabasi ya railways wakati huo Shaban Robert secondary ilikuwa secondary kweli
 
Mkuu nimekuelewa ulichosema ila kuuliza si ujinga kaulize kwa wanaoijua Dar watakwambia kichwele ni wapi.
Kuhusu picha ya Nkurumah na uhuru hebu angalia hizi picha nimezipiga leo na simu yangu ya kitochi kisha utaelewa nilichokielezea toka day one kuhusu ile picha

68197afb6aa42f70ca2a22610c3d0fdc.jpg

picha ya tarehe 27/02/2017 mtaa wa Uhuru[emoji115]
640c6fc22ba9ce7e727a9a5d0ef1211d.jpg

picha ya zamani[emoji115]
5f749b2f4f4371cb74cee86dea0c47b0.jpg

picha ya 2017 Chox[emoji115]
aisee kuna taa naiona kunbe imekula chumvi nyingi
 
Mkuu upo Dar? Kama upo Dar pita hilo eneo mchana wa kesho piga picha kisha ilete hapa hiyo view ya kutokea mnara wa saa kulia mwa picha hayo majengo ni tofauti na picha ya kale.
Hebu tizama hii picha nyingine ya jana
2083a47bd48499d16324888e3f0abcac.jpg

c7281619d4b00abd5a66b6259185ed35.jpg

34d5a3af42ad94169b65264f6576f5b0.jpg

Angalia mpaka nguzo za umeme bado ni zilezile za kale [emoji15] [emoji15]
hasaa
 
Wakuu Mtebetini,FaizaFoxy,Mzizi mkavu na wakongwe wengine, kati ya mwaka 1967 hadi 1968 nikiwa na babayangu mkubwa tulipita sehemu fulani tukaona samaki (perege) wapo chini yaani kuna bwawa chini ya ardhi , ila mdomo wa hilo bwawa ni kadri ya kipimo cha mita moja kwa mita moja. Hilo bwawa ni la simenti yaani zege kwa juu, tafadhalini nikumbusheni ni wapi palikuwa? Ni mnazi mmoja au wapi?
 
Wakuu Mtebetini,FaizaFoxy,Mzizi mkavu na wakongwe wengine, kati ya mwaka 1967 hadi 1968 nikiwa na babayangu mkubwa tulipita sehemu fulani tukaona samaki (perege) wapo chini yaani kuna bwawa chini ya ardhi , ila mdomo wa hilo bwawa ni kadri ya kipimo cha mita moja kwa mita moja. Hilo bwawa ni la simenti yaani zege kwa juu, tafadhalini nikumbusheni ni wapi palikuwa? Ni mnazi mmoja au wapi?

Hapo ndiyo pale sasa wanafanya sherehe za mashujaa, opposite na Cooperative Building, Kidongo Chekundu. Maarufu "Garden".
 
Hongereni sana kumbe tumetoka mbali eeeh lakini mbona kama tunarudi nyuma?
 
Back
Top Bottom