Kwa wale wenye umri wa miaka 50 na kuendelea unakumbuka jiji la Dar mwaka gani?

Kwa wale wenye umri wa miaka 50 na kuendelea unakumbuka jiji la Dar mwaka gani?

Wewe hutojibiwa maana hakika mzizima huifahamu na wala hujui nini maana ya maeneo ya pwani au watu wa pwani
Sitojibiwa na nani sasa? Una uhakika gani mimi siijuhi Mzizima?
 
Sitojibiwa na nani sasa? Una uhakika gani mimi siijuhi Mzizima?
Wanaoijua mzizimahawawezi kuandika "siijuhi"wakikusudia siijui ,wanaoijua mzizima hawawezi kumnasibisha mkazi yeyote wa pwani kuwa wakuja!
Hitimisho-huijui mzizima period!
 
Wanaoijua mzizimz hawawezi kuandika "siijuhi"wakikusudia siijui ,wanaoijua mzizima hawawezi kumnasibisha mkazi yeyote wa pwani kuwa wakuja!
Hitimisho-huijui mzizima period!
Sawa wakuja, mkishafika Mjini kuuza kahawa na kukaa vijiweni basi moja kwa moja unajiona wa Mzizima,
 
Sawa wakuja, mkishafika Mjini kuuza kahawa na kukaa vijiweni basi moja kwa moja unajiona wa Mzizima,
Mkuu sio mimi tu hadi babu yangu ni wa mzizima na ndio watu waliomshika mkono J.Nyerere na kumtembeza mjini na hata alipikufa marais wote wa nchi hii walihudhuria msiba wake mwenyekiti- wa wazee mkoa wa dar unanisoma? Sasa tafuta wenyeviti wote marhum mmoja babu yangu na kwa taarifa tu katika hotuba za jk nyerere pale anaposema alipelekwa zanzibar bagamoyo babu yangu alikuwepo katika msafara na watu wa mwanzo kuacha utumishi wa mkoloni ili kudai uhuru babu yangu alikuwepo !
 
Mkuu sio mimi tu hadi babu yangu ni wa mzizima na ndio watu waliomshika mkono J.Nyerere na kumtembeza mjini na hata alipikufa marais wote wa nchi hii walihudhuria msiba wake mwenyekiti- wa wazee mkoa wa dar unanisoma? Sasa tafuta wenyeviti wote marhum mmoja babu yangu na kwa taarifa tu katika hotuba za jk nyerere pale anaposema alipelekwa zanzibar bagamoyo babu yangu alikuwepo katika msafara na watu wa mwanzo kuacha utumishi wa mkoloni ili kudai uhuru babu yangu alikuwepo !

Hata mimi Babu yangu alishiriki sana harakati za uhuru hapa Dar es salaaam, japo hakuwa Mzaramo, Mndengereko au Mmanyema

Kuna kitu huwa mnakosea sana, Mtu kama Kunambi, Rupia, Pombeah, Cecil Matola, Kyaruzi ect hawakuwa wazawa wa Dar, lakini huwezi kusema ni wa kuja huku ukifanya watu kama Fundikira (Tabora) Sykes family (Zululand) na wengine wanaofanana na hao kuwa sio wakuja,
 
Hata mimi Babu yangu alishiriki sana harakati za uhuru hapa Dar es salaaam, japo hakuwa Mzaramo, Mndengereko au Mmanyema

Kuna kitu huwa mnakosea sana, Mtu kama Kunambi, Rupia, Pombeah, Cecil Matola, Kyaruzi ect hawakuwa wazawa wa Dar, lakini huwezi kusema ni wa kuja huku ukifanya watu kama Fundikira (Tabora) Sykes family (Zululand) na wengine wanaofanana na hao kuwa sio wakuja,
Sina cha kukupinga hapo na ukweli utabaki kuwa hao uliwataja ni wakuja walioshirikiana na wajanja wao ila vizazi vyao vilivofuata si wakuja ! Hoja ya hapa ni hawa wakuja sasa ambao hawaijui hata kwa kuhadithiwa hii darul salaam!
 
Ndio hapo mkuu

90965fbe848e94e43a6886c8c89a8f3a.jpg
bf35d876837f5129b02c3ce8f855861b.jpg
5bfe8b9109f95e2cff9baa0c3a41dd0c.jpg
a885ba8e37d26634baff4eb6bd44cf7b.jpg
3eb1858e8febd5e750a7f7e0b20b06a0.jpg
926c8eb34292195122a04f6167afe746.jpg
a38088ab40152ddb2640cbde61fc7c65.jpg
 
Tukiwa kidato cha Pili shule ya Jitegemee tuliomba turuhusiwe kuvaa SURUALE badala ya kaptura...Mkuu wa shule wakati huo akiwa Major Mkisi alitujibu siku yule Askari (Sanamu la bismini)akivaa suruale ataturuhusu na sisi tuvae.Kwetu hilo sanamu ni kumbukumbu tosha....Diamond hapana.
Kumbe Mkisi alikuwa mkuu wa shule, mimi alikuwa alikuwa afande wangu JKT
 
Nakumbuka manzese kabla ya daraja kulikuwepo msufi almaarufu manzese msufini. Maeneo ya posta mpya opposition kulikuwepo jumba LA empire cinema,ah mambo mengi sana
 
Dah !snow cream topaz hotel /restaurant hatare !mom and dad walitu spoil sana outing ,halafu kulikuwa na ki restaurant wanapika burian na variety nyingine cha wahindi matata sana maeneo ya avalon sijui ndio shesh mahal tushaenda sana as afamily enzi hizo mdingi una to spoil wikiends! Dinner or lunch out!
124
Mjomba umekumbuka Biriani la Shesh Mahal hii ilikuwa karibu ya Hindu Mandal Hosp. Kaka Jumbe Cap (Baharia wa zamani) kuna wakati alikuwa maneja hapo.
 
Wanaoijua mzizimahawawezi kuandika "siijuhi"wakikusudia siijui ,wanaoijua mzizima hawawezi kumnasibisha mkazi yeyote wa pwani kuwa wakuja!
Hitimisho-huijui mzizima period!
Tawile tawile tawile...
 
Dah !snow cream topaz hotel /restaurant hatare !mom and dad walitu spoil sana outing ,halafu kulikuwa na ki restaurant wanapika burian na variety nyingine cha wahindi matata sana maeneo ya avalon sijui ndio shesh mahal tushaenda sana as afamily enzi hizo mdingi una to spoil wikiends! Dinner or lunch out!
Snow cream ndiyo hii iliyopo karibia na ofisi za Chanel 10 ?
 
Yaap kwa Mzee kassim baba Mariam. Kwa marehemu mzee Kenge kwenye kachori na bajia ahahha.
 
Back
Top Bottom