Mkuu Malila nashkuru sana. Nicheki 0715359535
Uko tayari nikuunganishe na jamaa aliyewahi kulima kitunguu pale Ruaha Mbuyuni Iringa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko tayari nikuunganishe na jamaa aliyewahi kulima kitunguu pale Ruaha Mbuyuni Iringa?
Mkuu Malila nashkuru sana. Nicheki 0715359535
Angalia inbox yako, nimekupa simu yake kwa pm mkuu, ushindwe mwenyewe.Mkuu malila heshima kwakobado nafanya feasibility study kama vipi naomba uniunganishe na huyo jamaa...
ufuta unalipa sana mwaka huu tumeuza kilo moja sh. elfu mbili mia tisa......ufuta ni dhahabu iliyojificha
ufuta unalipa sana mwaka huu tumeuza kilo moja sh. elfu mbili mia tisa......ufuta ni dhahabu iliyojificha
Mkuu kwa heka 1 mlipata magunia mangapi?
Mkuu mbegu nzuri za ufuta naweza kuzipata wapi? Vp kwa ekari moja unaweza toa gunia ngapi?
Mkuu mbegu nzuri za ufuta naweza kuzipata wapi? Vp kwa ekari moja unaweza toa gunia ngapi?
nimejibu Pm yako,kuna kila kitu nimechanganua.
Ndugu nieleze hizo mbinu za kisasa kwsni natarajia kulima kama heka tatu mwakani.
Mkuu nakuwekea pmufuta unalipa sana mwaka huu tumeuza kilo moja sh. elfu mbili mia tisa......ufuta ni dhahabu iliyojificha
Dah.. i wish ningekuwa na mtaji.. i wish.. naona wivu xana..
big up and i wish this will be successful.. tunahitaji akina bakhresa wengine..