Kama uliiweza kupata cheti Cha Chanjo ya Coronavirus bila kuchanja,Sijakutana na changamoto hiyo
Kama uliiweza kupata cheti Cha Chanjo ya Coronavirus bila kuchanja,
Utakuwa unawafahamu wezi wa kura zile za viroba 😀
Natania!!
Nguvu zako za mwili ziko sawa kabisa?Sijapata madhara yyte sanasana trending yangu ya kupata maambukizi ya mafua imepungua before ilikuwa kila mwaka angalau mara mbili nitapata mafua ila sasa ni mara moja tu..na wala hayakai sana siku nne kwisha.
Hapata kawaida kabisa.Nguvu zako za mwili ziko sawa kabisa?
Hupati wenge sometimes?
Mimi nilipata chanjo na haikuniletea shida yoyote!Salaam, Shalom.
Kwa mara ya kwanza, Nchi yetu ilipokea Rasmi Chanjo ya CORONA virus Kutoka nje aina ya Johnson Johnson mnamo July 24, 2021.
Hadi sasa imebaki miezi 4 kukamilisha miaka mitatu tangu kuingia Chanjo nchini na kuanza zoezi Hilo la Chanjo nchini.
Asilimia kubwa ya walipinga Chanjo hizo walidai kuwa,madhara ya Chanjo hizo yataanza kuonekana dhahiri baada ya miaka mitatu tangu kupata Chanjo hizo.
Ni ombi LANGU, Kwa wote mliopata Chanjo hizo, piteni hapa na Kutoa uzoefu wa MAISHA kabla ya Chanjo na maisha baada ya Chanjo ya CORONA.
Tusaidieni kujibu maswali yafuatayo;
1. Ulichanja Chanjo ya coronavirus?
2. Je, AFYA zenu na za ndugu zenu zimeimarika zaidi na kuepuka kuugua kama zamani kabla ya Kupata Chanjo?
3. Changamoto mlizozipata ndani ya muda wa Chanjo Kwa miaka hii karibia mitatu ni zipi?
4. Faida mlizopata baada ya kuchanja kiafya ni zipi kulinganisha na kabla ya kuchanja?
Karibuni 🙏
Huoni kuwa kutopata mafua kutokana na vumbi lililopo na mabadiliko ya hewa ni tatizo pia?Mimi nilipata chanjo na haikuniletea shida yoyote!
Siku za nyuma Kabla ya chanjo ya korona mafua yalikuwa yananisumbua sana ikitokea nimeyapa ila baada ya chanjo mpaka leo naenda mwaka wa pili nimesahau habari ya mafua kunisumbua.
Nyumbani wataumwa wote ila sio mimi wakati zamani wakiumwa walihakikisha mimi siambukizwi kwa sababu yakuwa yananileta homa na hata kulala kabisa.
Kwahiyo huna tofauti na wasiochanja?Nilichanja pfizer sindano mbili..niko fresh sina tatizo lolote..
Unamaanisha Chanjo Kwa kiasi Fulani imezuia magonjwa kukushambulia tofauti na awali?Nilichanja na niko imara, sina magonjwa wala siugui hovyo na ikija nyingine ntachanja
Kwahyo uko hapa kuwafariji wasiochanja?Kwahiyo huna tofauti na wasiochanja?
AFYA na kinga Yako imeimarika zaidi au imebaki pale pale?
Nikisema Chanjo kwako haikusaidia chochote nitakuwa sawa?
Mafua ya vumbi yanaambukiza? Kwani chanjo ya korona inazuia kupiga chafya?Huoni kuwa kutopata mafua kutokana na vumbi lililopo na mabadiliko ya hewa ni tatizo pia?
Vumbi linaloingia mwilini kupitia pua linatokaje ikiwa hupati mafua Wala chafya?
Watengeza Chanjo wenyewe waliokiri kuwa Chanjo huambatana na kuganda Damu Kwa baadhi ya watu,Hayati aliharibu sana akili za Watanzania. Hivi kweli mzungu atake kumuangamiza muafrica ni lazima atumie njano ya Corona?
Fafanua kidogo,Mafua ya vumbi yanaambukiza? Kwani chanjo ya korona inazuia kupiga chafya?
Nafikiri hilo lina ukweliUnamaanisha Chanjo Kwa kiasi Fulani imezuia magonjwa kukushambulia tofauti na awali?