- Thread starter
- #141
Mafua yapo Kutoa vumbi mwilini,Hata mimi toka nichanje sijapata mafua
Sasa kama Chanjo imesababisha usipate mafua,huoni tatizo Hilo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafua yapo Kutoa vumbi mwilini,Hata mimi toka nichanje sijapata mafua
Inaoneka kuna kitu anataka kusemaBBC haijawahi kusema wasiochanja watakufa achilia mbali wote, hakuna chombo cha magharibi kilichowahi kusema hivyo, ni uzushi mtupu.
Hujachanja sio!Sumu nilizonazo zinanitosha
Labda nipate safari ya nje ya nchi na iwe lazmaHujachanja sio!
Corona iliisha, Bado Utaratibu wa cheti Cha kupima corona upo?Labda nipate safari ya nje ya nchi na iwe lazma
Acha uongo,Covid yenyewe inasababisha kuganda,
Kuna mambo zaidi ya 20 yanayoweza kuwa chanzo cha blood cloting.
Kuchanja kwako kunahusiana vipi na mzee wetu ?Nilichanja nimezaa mtoto and afya njema kabisa. Kifua mafua havipo.
Ila tumetokea kupenda sex sana labda hilo ndio badiliko. Mume wangu ana spid kali kunako.
Jiwe alidanganya watu bula sabab