Kwa waliochanja Chanjo ya CORONA Njoni mtoe uzoefu Ili tupime ufanisi.

Kwa waliochanja Chanjo ya CORONA Njoni mtoe uzoefu Ili tupime ufanisi.

Kwahiyo hukupata side effect yoyote baada ya kuchanja Hadi hivi Leo?

Babu yangu kijijini pia alinisimulia kuwa alichanja, niliogopa sana na kumwuliza kwanini alichukua uamuzi huo,

Akajibu kuwa aliogopa kufa,

Nashukuru Mungu yupo hai Hadi sasa.
Kuna watu ambao hali iliwaruusu kutochanja. Lakini kuna wengine wanashukuru sana kwa sababu chanjo iliwakoa pakubwa. Unajua kama umetoka kwenye familia ambayo ilipoteza mtu au watu kwa korona ndiyo unajua kuwa haikuwa mzaha na ungekimbilia kuchanja haraka sana.
 
Nchi kama Sweden, sovereign wealth fund yake ambayo ni kama mfuko wa pension ina utajiri wa dola za Marekani Trillion 1, wananchi wake wanaweza kuishi miaka kadhaa bila kufanya kazi wakawa wanalishwa nayo tu,
Hizo Nchi zitafikisika, na ndio chanzo Cha mtikisiko wa kiuchumi duniani.

Tunamshukuru Mungu Kwa zawadi ya Magufuli kukataa kutupiga lockdown,

HAKIKA njaa ingeua watu wengi kuliko HOFU ya korona.
 
Kwa ujasiri ambao Magu alikuwa amewajaza Watanzania,

Wangetuuzia Chanjo sidhani kama mtu angenunua,

Yaani pesa ya kununua gunia tatu za mahindi niitumie kuchoma Chanjo!!

Thubutuuu!!
Umaskini ndio unakufanya kuwaza kila kitu katika angle ya mawazo ya kulinganisha vitu na ugali tu.
 
Hukupata mabadiliko yoyote ya MWILI au side effect zozote tangu kuchanja Hadi sasa?
Nashukuru Mungu hakuna chochote. Nilikuwa nje ya nchi ambayo asilimia 80 ya population walichanja na mpaka sasa raia wote wanaishi maisha ya kawaida.
 
Kwa ujasiri ambao Magu alikuwa amewajaza Watanzania,

Wangetuuzia Chanjo sidhani kama mtu angenunua,

Yaani pesa ya kununua gunia tatu za mahindi niitumie kuchoma Chanjo!!

Thubutuuu!!
Chanjo nyingi tu Tanzania inapewa kama msaada, hata condom pia.
 
Nchi kama Sweden, sovereign wealth fund yake ambayo ni kama mfuko wa pension ina utajiri wa dola za Marekani Trillion 1, wananchi wake wanaweza kuishi miaka kadhaa bila kufanya kazi wakawa wanalishwa nayo tu,
Nchi yetu ambayo imeshindwa kuhakikisha watoto wa shule za msingi wanapata kikombe kimoja Cha uji wakiwa shuleni,

Kamwe hawawezi kulipa watu wasiozalisha chochote wakiwa lockdown!!
 
Umaskini ndio unakufanya kuwaza kila kitu katika angle ya mawazo ya kulinganisha vitu na ugali tu.
Utajiri wako unakusaidia nini ikiwa unazungukwa na maskini pande zote na Nchi Yako inatembeza bakuli kuombeleza misaaada Kwa majirani?
 
Nchi yetu ambayo imeshindwa kuhakikisha watoto wa shule za msingi wanapata kikombe kimoja Cha uji wakiwa shuleni,

Kamwe hawawezi kulipa watu wasiozalisha chochote wakiwa lockdown!!
Ila inaweza kununua V8 za kumwaga kila kona
 
niliumwa kichwa wiki mbili
Wewe ni WA kwanza kudai ulipata side effect ya kuumwa KICHWA baada ya kuchanja!!🙏

Share nasi, Hali Yako ya kiafya imeimarika au kudorora Kwa kiasi Gani baada ya Chanjo ukilinganisha na kabla ya kuchanja?
 
Chanjo ya CORONA Haina miaka 15,

Labda tuseme una AFYA njema inayochaguzwa na blood group na Ulinzi wa Mungu.

Hujaona tofauti yoyote mwilini ukilinganisha time uliyochanja na kabla ya kuchanja?
Huja mwelewa rudia kusoma
 
Ila inaweza kununua V8 za kumwaga kila kona
Ndo hapo Mimi nilistuka na kugoma kuchanja,

Nchi inayozuia bima ya watoto wa miaka 5 kutibiwa Bure, imepata wapi ghafula uwezo wa kugharamia Chanjo BURE ya corona yenye gharama ya karibia laki 3 Kwa chanjo Moja?

Wasiwasi ndio akili.
 
Nilichanja nimezaa mtoto and afya njema kabisa. Kifua mafua havipo.

Ila tumetokea kupenda sex sana labda hilo ndio badiliko. Mume wangu ana spid kali kunako.

Jiwe alidanganya watu bula sabab
Hapo kwenye spidi hata mimi naunga mkono hoja...
 
Hizo Nchi zitafikisika, na ndio chanzo Cha mtikisiko wa kiuchumi duniani.

Tunamshukuru Mungu Kwa zawadi ya Magufuli kukataa kutupiga lockdown,

HAKIKA njaa ingeua watu wengi kuliko HOFU ya korona.
Sidhani kama UK watakuja kufilisika mkuu
Maana imetawala nchi nyingi na wana nguvu kiuchumi pia wapo kila sehemu
Kuhusu Magu alikuwa na maamuzi ambayo kuna binadamu wengine wangewafungia ndani mfe
Ila kwa kuwa anayajua maisha ya uhalisia na watu wanaenda kuteka maji mtoni au mabwawani vijijini na huko mijini kila kitu kingekwama na sijui watu wangekuwa na hali gani bila msaada wa serikali

Kuhusu UK kama waliweza kuwalipa wafanyakazi wote na wafanya biashara wote ujue nchi hii ina hela sana na akiba kubwa mno
Kuna watu walidanganya na kuandikisha biashara feki kwa kuwa kulikuwa na taharuki kubwa kuna wengi sana walilipwa mpaka 200m ya bongo na zaidi
Wamedaiwa wazirudishe baada ya kushtuka lakini it was too late hakuna aliezirudisha isipokuwa makampuni makubwa sana yalioandika wafanyakazi feki na hasara feki
Ila hao wamelipa tena kwa aibu maana walianikwa kwenye magazeti
Ila bado tunadunda na kazi zipo nyingi sana hapa hata ukitaka kazi 4 unafanya na unapata
 
Nilichanja nimezaa mtoto and afya njema kabisa. Kifua mafua havipo.

Ila tumetokea kupenda sex sana labda hilo ndio badiliko. Mume wangu ana spid kali kunako.

Jiwe alidanganya watu bula sabab
Makubwa haya,

Kwamba Chanjo ya CORONA imeongeza nguvu za kiume na kike?

Mchunguze mumeo, ukute anatumia vumbi la kule Kwa kina mayele.

Pia, huoni kutokohoa au kutopata mafua ni mbaya kiafya?

Maana vumbi linaloingia mwilini linatokaje ikiwa hukohoi Wala kupata mafua?

Pia tuambieni ikiwa mlipata side effect zozote wakati wa kuchanja au la!!
 
Nilichanja nimezaa mtoto and afya njema kabisa. Kifua mafua havipo.

Ila tumetokea kupenda sex sana labda hilo ndio badiliko. Mume wangu ana spid kali kunako.

Jiwe alidanganya watu bula sabab
Hiyo spidi haitokani na kuchanja,

Huba tu limeongezeka baada ya kupungua stress!!😀
 
Back
Top Bottom