Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi nisamehe fazaWatoto wa 2000 ukishaota tu ndevu unaona Kila mtu ni mdogo wako😀
Ujinga ni mzigo mzito sana, na wahubiri wengi wajinga huwa wana kelele kupitiliza.Japo ni kawaida.
Nakumbuka miaka ya nyuma kuna wahubiri wapingana na matumizi ya computer kuwa zinahusiana na mpinga Kristo lakini leo hakuna dhehebu ambalo hakuna muamini hata mmoja ambae haitumii hiyo computer au smartphone
Kwenye industry ya medicine hiyo inatokea sana. Ndio maana watu wenye shida na sulphur wawashauriwi kutumia dawa za malaria zenye viambata vya sulphur na wengi ambao wazitumia bila kujua walipata shida.Una huo ushahidi wa rate ya Mtu 1 Kwa 1,000,000?
Ninakoishi case za kuganda Damu na kufariki tulizika watu wawili.
Wewe una data?
1. Kama una miaka mitatu hata kikohozi huna, vumbi linaloingia mwilini kupitia pua na hewa linatokaje?Hayo yalikuwa ni maneno ya waswahili tu kama kawaida yao
Wape kichwa cha habari na wao watamaliza kila kitu
Nilichanja AstraZeneca chanjo 2 ila ya Tatu niliacha tu nikaona iliyowapitia imewapitia acha nitulie na hizo 2
Sina tatizo lolote na mwisho kwenda kupima kila kitu mpaka cancer na kisukari, pressure na tezi dume ni mwezi uliopita
Namshukuru Mungu hata kikohoo sina na ni mwaka wa 3 huu tangu chanjo
Kuna Viagra ya kutibu mafua?Nilichanja, sikumbuki ni lini niliugua mafua zaidi ya hivi vimafua vya kutumia Viagra!!!
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Kwanza elewa maana ya risk na unakoishi wangapi walichoma chanjo ya J&J?Una huo ushahidi wa rate ya Mtu 1 Kwa 1,000,000?
Ninakoishi case za kuganda Damu na kufariki tulizika watu wawili.
Wewe una data?
Kuna kitu mnatuficha mliochanja,Kwen
Kwenye industry ya medicine hiyo inatokea sana. Ndio maana watu wenye shida na sulphur wawashauriwi kutumia dawa za malaria zenye viambata vya sulphur na wengi ambao wazitumia bila kujua walipata shida.
Shida hii ilitumika kukosoa watumizi ya teknolojia hii bila kuwa na mashiko.
Inaonesha Kuna kitu umegundua tujuzeNguvu zako za mwili ziko sawa kabisa?
Hupati wenge sometimes?
Kwa sababu maisha yako yote ni hapa hapa.Sijachanja... Na sitokuja kuchanja.
Kikohoo cha maambukizi au hali ya hewa au virus huwa haiepukiki mkuu1. Kama una miaka mitatu hata kikohozi huna, vumbi linaloingia mwilini kupitia pua na hewa linatokaje?
2 . Kwanini hukuchanja Chanjo ya 3?
Kwanini hukufuata maelekezo ya madaktari?
3. Tofauti Yako wewe uliyechanja na sie au nduguzo wasiochanja ni ipi?
Unanibishia Mimi niliyezika majirani wawili Mahali tunakoishi waliokuwa wamechanja na Damu kuganda baada ya muda Fulani kufariki?Kwanza elewa maana ya risk na unakoishi wangapi walichoma chanjo ya J&J?
Halafu zingekuwepo hizo kesi wapotoshaji wa chanjo si mngewapeleka hadi BBC, Aljazeera hadi CNN kuhakikisha hiyo habari inafika kila kona ya dunia.
Amekwambia alinunua cheti Cha Chanjo ya CORONA Ili aweze kusafiri nje ya Nchi.Kwa sababu maisha yako yote ni hapa hapa.
Jidanganye dogo.Kwa sababu maisha yako yote ni hapa hapa.
Hao ni wale madogo wanakuwa na vichwa vikubwa vimejaa makamasi.Amekwambia alinunua cheti Cha Chanjo ya CORONA Ili aweze kusafiri nje ya Nchi.
Si sasa, kufikia December itakuwa dhahiri.I
Inaonesha Kuna kitu umegundua tujuze