Kwa waliochanja Chanjo ya CORONA Njoni mtoe uzoefu Ili tupime ufanisi.

Kwa waliochanja Chanjo ya CORONA Njoni mtoe uzoefu Ili tupime ufanisi.

Kikohoo cha maambukizi au hali ya hewa au virus huwa haiepukiki mkuu
Chanjo zilikuwa ni kwa kila mtu hapa nilipo walikufa watu wengi sana na umri wangu ni over 60
Niliitwa kuchanja nikaenda ya kwanza na baada ya mda nikachanja ya pili

Baada ya hapo makali ya vifo ikapungua sana na wakaanza kuruhusu safari za nje na ndege zilipoanza tu nikaja Bongo ambapo hata mask ilikuwa ni hiyari nilifurahi sana kwa hilo

Chanzo ya kwanza na ya pili walihimiza sana na wakawa mpaka wanatuma msg ila ya Tatu iliingia na watu wakawa hawafi kama mwanzo
Tofauti ya mimi na wasiochanja hakuna kwani walisema zina madhara lakini sijadhurika kwani tunakula madawa ya kila aina kila leo na yenye side effects za kila aina mpaka zinazoharibu ini au Figo ila bado watu wanakula

Nafikiri nimejaribu kujibu ulichotaka kujua
Kwahiyo hukupata side effect yoyote baada ya kuchanja Hadi hivi Leo?

Babu yangu kijijini pia alinisimulia kuwa alichanja, niliogopa sana na kumwuliza kwanini alichukua uamuzi huo,

Akajibu kuwa aliogopa kufa,

Nashukuru Mungu yupo hai Hadi sasa.
 
Kuna kitu mnatuficha mliochanja,

Hakuna Chanjo yoyote utachanja isiwe na side effect,

Kwann hamsemi upande wa pili?
Kila dawa au chanjo ina side effecf zake kwa mtumiaji ila hizo side effect zina conditions zake pia sio wote wanaweza kuzipata.

Ndio maana hata baadhi ya dawa hazipaswi kutumiwa na wajawazito watoto chini ya miaka fulani n.k.

Bahati nzuri mimi na wengine wengi hatujapa hizo effect kama zipo kwenye chanjo ya korona.

Ila nafikiri mambo mengine ni ya hiari zaidi na binafsi zaidi siwezi kukuaminisha juu ya chanjo kama wewe hauikubali. Nilowahi simuliwa mtu mmoja alikuwa anaumwa akapimwa hakukutwa na ugonjwa wowote ila yeye alisisitiza anaumwa ikabidi wamchome sindano ya maji ( haikuwa na dawa yeyote ndani yake) na baada ya hapo alipona.

Kilichomponywa ni imani yake juu ya sindano ila wala hakuwa anaimwa.

Hivyo, ndugu siwezi kukulazimisha kuamini wala kukubali kile ambacho mimi nimekutana nacho.
Wikendi njema kwako Bwana Rabbon
 
Kila dawa au chanjo ina side effecf zake kwa mtumiaji ila hizo side effect zina conditions zake pia sio wote wanaweza kuzipata.

Ndio maana hata baadhi ya dawa hazipaswi kutumiwa na wajawazito watoto chini ya miaka fulani n.k.

Bahati nzuri mimi na wengine wengi hatujapa hizo effect kama zipo kwenye chanjo ya korona.

Ila nafikiri mambo mengine ni ya hiari zaidi na binafsi zaidi siwezi kukuaminisha juu ya chanjo kama wewe hauikubali. Nilowahi simuliwa mtu mmoja alikuwa anaumwa akapimwa hakukutwa na ugonjwa wowote ila yeye alisisitiza anaumwa ikabidi wamchome sindano ya maji ( haikuwa na dawa yeyote ndani yake) na baada ya hapo alipona.

Kilichomponywa ni imani yake juu ya sindano ila wala hakuwa anaimwa.

Hivyo, ndugu siwezi kukulazimisha kuamini wala kukubali kile ambacho mimi nimekutana nacho.
Wikendi njema kwako Bwana Rabbon
Ubarikiwe.🙏
 
Kwa wazungu walioanza chanjo mapema, ni nchi gani yameanza kutokea hayo unayoyatarajia?
Umenielewa vibaya,

Hakipo ninachokitarajia,

Nimesema Hadi kufikia December 2024, miaka 3 itakuwa imekamilika Ili nipate pia ushahidi Kwa walipinga Chanjo wakidai madhara ya Chanjo hizo yataanza kuonekana dhahiri.

Si wajua muda ni mwalimu?

Umenielewa.
 
Kila dawa au chanjo ina side effecf zake kwa mtumiaji ila hizo side effect zina conditions zake pia sio wote wanaweza kuzipata.

Ndio maana hata baadhi ya dawa hazipaswi kutumiwa na wajawazito watoto chini ya miaka fulani n.k.

Bahati nzuri mimi na wengine wengi hatujapa hizo effect kama zipo kwenye chanjo ya korona.

Ila nafikiri mambo mengine ni ya hiari zaidi na binafsi zaidi siwezi kukuaminisha juu ya chanjo kama wewe hauikubali. Nilowahi simuliwa mtu mmoja alikuwa anaumwa akapimwa hakukutwa na ugonjwa wowote ila yeye alisisitiza anaumwa ikabidi wamchome sindano ya maji ( haikuwa na dawa yeyote ndani yake) na baada ya hapo alipona.

Kilichomponywa ni imani yake juu ya sindano ila wala hakuwa anaimwa.

Hivyo, ndugu siwezi kukulazimisha kuamini wala kukubali kile ambacho mimi nimekutana nacho.
Wikendi njema kwako Bwana Rabbon
Sahihi, Chanjo haipaswi kulazimishiwa watu lakini pia watu hawapaswi kupotoshwa kwamba wakichanjwa watageuka mazombi, DNA zao zitabadilika au ni mpango wa wazungu kuwamaliza au kupiga pesa zao.
 
Kwahiyo hukupata side effect yoyote baada ya kuchanja Hadi hivi Leo?

Babu yangu kijijini pia alinisimulia kuwa alichanja, niliogopa sana na kumwuliza kwanini alichukua uamuzi huo,

Akajibu kuwa aliogopa kufa,

Nashukuru Mungu yupo hai Hadi sasa.
Sikupata side effects yeyote mkuu believe me
Ile ya kwanza mkono uliuma kwa sababu ya dawa lakini nilitumia pain killer ikaisha

Sina tatizo kabisa na wale waliochanja hapa wengi sana nawajua na hakuna aliedhurika
Sikuogopa kufa ila niliogopa mateso yake ya kubanwa na pumzi
Na tulikubali ushauri wa madaktari hapa nilipo na sehemu za kuchanjia zilikuwa nyingi sana na watu walikuwa wengi mno kila siku
 
Sahihi, Chanjo haipaswi kulazimishiwa watu lakini pia watu hawapaswi kupotoshwa kwamba wakichanjwa watageuka mazombi, DNA zao zitabadilika au ni mpango wa wazungu kuwamaliza au kupiga pesa zao.
Uko sawa,

Ila pia Chanjo hazipasi kuleta HOFU Kwa watu,

BBC na magharibi walitutisha kuwa tusiochanja tutakufa wote Afrika.

Sie Bado tupo tunaishi.

Hiyo HOFU na kushinikiza na kutisha watu kuchanja ilitoka wapi?

Badala ya kuwapa chakula watu wanaokufa njaa, unawapa Chanjo ya thamani ya laki tatu ambayo inatosha kununua gunia tatu za mahindi.

Wanaopinga chanzo Wana HOJA pia.
 
Sikupata side effects yeyote mkuu believe me
Ile ya kwanza mkono uliuma kwa sababu ya dawa lakini nilitumia pain killer ikaisha

Sina tatizo kabisa na wale waliochanja hapa wengi sana nawajua na hakuna aliedhurika
Sikuogopa kufa ila niliogopa mateso yake ya kubanwa na pumzi
Na tulikubali ushauri wa madaktari hapa nilipo na sehemu za kuchanjia zilikuwa nyingi sana na watu walikuwa wengi mno kila siku
Vizuri kama hukupata madhara,

Sisi tulikula sana machungwa Kila tulipopata mafua, tangawizi Kwa wingi, msimu wa mwezi wa 3 Huwa Kuna machungwa mengi,

Mungu anatulinda Hadi Leo, na hatukuchanja.
 
Uko sawa,

Ila pia Chanjo hazipasi kuleta HOFU Kwa watu,

BBC na magharibi walitutisha kuwa tusiochanja tutakufa wote Afrika.

Sie Bado tupo tunaishi.

Hiyo HOFU na kushinikiza na kutisha watu kuchanja ilitoka wapi?

Badala ya kuwapa chakula watu wanaokufa njaa, unawapa Chanjo ya thamani ya laki tatu ambayo inatosha kununua gunia tatu za mahindi.

Wanaopinga chanzo Wana HOJA pia.
BBC haijawahi kusema wasiochanja watakufa achilia mbali wote, hakuna chombo cha magharibi kilichowahi kusema hivyo, ni uzushi mtupu.
 
Hongereni mliochanja, nilijisemea kama kufa ni sawa tu ila sichanji.
Uko kama Mimi !!

Kilichonifanya nikatae kabisa kuchanja, ni kuambiwa kuwa Chanjo ni Bure wakati Nchi zingine wananunua!!

Mimi Huwa sipendi vya Bure hivyo nilifura na kusema, SWELAGA!! johnthebaptist
 
BBC haijawahi kusema wasiochanja watakufa achilia mbali wote, hakuna chombo cha magharibi kilichowahi kusema hivyo, ni uzushi mtupu.
Uzushi sio!!
 
Uko sawa,

Ila pia Chanjo hazipasi kuleta HOFU Kwa watu,

BBC na magharibi walitutisha kuwa tusiochanja tutakufa wote Afrika.

Sie Bado tupo tunaishi.

Hiyo HOFU na kushinikiza na kutisha watu kuchanja ilitoka wapi?

Badala ya kuwapa chakula watu wanaokufa njaa, unawapa Chanjo ya thamani ya laki tatu ambayo inatosha kununua gunia tatu za mahindi.

Wanaopinga chanzo Wana HOJA pia.
Magharibi hawajawahi kushinikiza watu wapate chanjo, walichojiwekwea wao ni utaratibu wao tu kwamba kama hujachanja hautaingia nchini mwao, sasa unataka kuwapingia watu na nchi yao?? Na nyie si mngeweka sheria waliochanja wasiingie nchini mwenu.

Hilo suala la kusema hutaki chanjo bali unataka chakula ni utoto au ujuha, misaada ya chakula, vyoo, hospitali n.k mmekuwa mnapewa na hao wazungu tangu enzi za Nyerere na wala hawakusema kwamba msingepata hiyo misaada kwa sababu wanawapa chanjo. Hata sasa hivi hao magharibi wanapeleka mabilioni ya pesa Ukraine na bado wanawapa misaada wategemea misaada.
 
Vizuri kama hukupata madhara,

Sisi tulikula sana machungwa Kila tulipopata mafua, tangawizi Kwa wingi, msimu wa mwezi wa 3 Huwa Kuna machungwa mengi,

Mungu anatulinda Hadi Leo, na hatukuchanja.
Magufuli nilimkubali kwa hilo ila sisi huku hata kazi tulikatazwa kwenda tukawa tunalala tu na mshahara unaingia 80% kutoka serikalini bure
Na hata nilipokuja bongo bado nilikuwa nalipwa over 8m kila mwezi yaani ni neem tupu
Hapo unaomba covid iendelee tu 😄
Mpaka leo kit ya kuangalia kama unayo bado ipo kama kumbukumbu na tuliambiwa tukachukue pharmacy bure
Vizuri kama hukupata madhara,

Sisi tulikula sana machungwa Kila tulipopata mafua, tangawizi Kwa wingi, msimu wa mwezi wa 3 Huwa Kuna machungwa mengi,

Mungu anatulinda Hadi Leo, na hatukuchanja.
 
Uko kama Mimi !!

Kilichonifanya nikatae kabisa kuchanja, ni kuambiwa kuwa Chanjo ni Bure wakati Nchi zingine wananunua!!

Mimi Huwa sipendi vya Bure hivyo nilifura na kusema, SWELAGA!! johnthebaptist
Nchi yako ingetaka za kununua hakuna ambaye angeizuia, tena wangefurahi zaidi.
 
Magufuli nilimkubali kwa hilo ila sisi huku hata kazi tulikatazwa kwenda tukawa tunalala tu na mshahara unaingia 80% kutoka serikalini bure
Na hata nilipokuja bongo bado nilikuwa nalipwa over 8m kila mwezi yaani ni neem tupu
Hapo unaomba covid iendelee tu 😄
Mpaka leo kit ya kuangalia kama unayo bado ipo kama kumbukumbu na tuliambiwa tukachukue pharmacy bure
Hizo Nchi zitafikisika, na ndio chanzo Cha mtikisiko wa kiuchumi duniani.

Tunamshukuru Mungu Kwa zawadi ya Magufuli kukataa kutupiga lockdown,

HAKIKA njaa ingeua watu wengi kuliko HOFU ya korona.
 
Madhara hayawezi kuonekana mapema hivyo.

Hao J&J wana poda yao ya watoto imedumu sokoni miongo kadhaa hadi kugundulika ina sababisha saratani.
Endeleeni kupiga ramli.
 
Nchi yako ingetaka za kununua hakuna ambaye angeizuia, tena wangefurahi zaidi.
Kwa ujasiri ambao Magu alikuwa amewajaza Watanzania,

Wangetuuzia Chanjo sidhani kama mtu angenunua,

Yaani pesa ya kununua gunia tatu za mahindi niitumie kuchoma Chanjo!!

Thubutuuu!!
 
Salaam, Shalom.

Kwa mara ya kwanza, Nchi yetu ilipokea Rasmi Chanjo ya CORONA virus Kutoka nje aina ya Johnson Johnson mnamo July 24, 2021.

Na Chanjo Ile sie tulipewa Bure tofauti na Nchi zingine kama DRC, wao wakinunua Chanjo Kwa kugombania kuhofia kufa Kwa Corona.

Hadi sasa imebaki miezi 4 kukamilisha miaka mitatu tangu kuingia Chanjo nchini na kuanza zoezi Hilo la Chanjo nchini.

Asilimia kubwa ya walipinga Chanjo hizo walidai kuwa,madhara ya Chanjo hizo yataanza kuonekana dhahiri baada ya miaka mitatu tangu kupata Chanjo hizo.

Ni ombi LANGU, Kwa wote mliopata Chanjo hizo, piteni hapa na Kutoa uzoefu wa MAISHA kabla ya Chanjo na maisha baada ya Chanjo ya CORONA.

Tusaidieni kujibu maswali yafuatayo;

1. Ulichanja Chanjo ya coronavirus?

2. Je, AFYA zenu na za ndugu zenu zimeimarika zaidi na kuepuka kuugua kama zamani kabla ya Kupata Chanjo?

3. Changamoto mlizozipata ndani ya muda wa Chanjo Kwa miaka hii karibia mitatu ni zipi?

4. Faida mlizopata baada ya kuchanja kiafya ni zipi kulinganisha na kabla ya kuchanja?

Karibuni 🙏
Mimi nilichanja mara tatu. Faida niliyoiona ni kuwa niliugua korona na hakunipelekesha sana.
 
Back
Top Bottom