We jamaa umenichekesha sana mamamamae...Kama unakumbuka kukojoa kitandani ni kashikashi zipi ulipata by that time..mimi nakumbuka nilikuwa napigwa na kuambiwa nitoe matandiko huko nikila fimbo!
Raha niliyokuwa naipata nipale niliota nipo upenuni nakujoa huku washikaaji wananisibiria nusu dakika najiluta nipo kwenye dimbwi!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Shukrani mkuu. Hivi sasa naendelea poa...Yani hii nisiri god katuwekea najua Unazo zakufa mtu kwanza mpwa pole nasikia uliumwa na kulazwa mamalamamae pole.
Bora ukojoe karibu na asubuhi ukilimwaga saa 6 usiku ni shida.Shukrani mkuu. Hivi sasa naendelea poa...
Hakuna kojo tamu kama la kukojoa usingizini utotoni... kasheshe ukishalimwaga sasa... ukifikiria bakora za asubuhi basi masaa yanakimbia balaa
Umenikumbusha mbali sana mkuu, mimi mwenyewe nimechezea sana kichapo mpaka darasa la tatu na kutishiwa kufungwa chura kiunoni huku nikikimbizwa mtaani na kuimbiwa wimbo wa kikojozi. ila vikojozi wengi siku wakiharibu kitandani unaambiwa waliota ndoto walisimama wakojoe huku washkaji wakiwa wanamsubiria nadhani huu ndiyo ulikua mtego karibu kwa kila kikojozi, hata mimi ilikuaga hivi hivi yaani unaota unakimbia mara moja kichakani kukojoa huku ukisubiriwa na washkaji kumbe ni mtego.Kama unakumbuka kukojoa kitandani ni kashikashi zipi ulipata by that time..mimi nakumbuka nilikuwa napigwa na kuambiwa nitoe matandiko huko nikila fimbo!
Raha niliyokuwa naipata nipale niliota nipo upenuni nakujoa huku washikaaji wananisibiria nusu dakika najiluta nipo kwenye dimbwi!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
hahaha *****We jamaa umenichekesha sana *****...
haha nimejikuta nachekka kwa sauti kuu uwiiUmenikumbusha mbali sana mkuu, mimi mwenyewe nimechezea sana kichapo mpaka darasa la tatu na kutishiwa kufungwa chura kiunoni huku nikikimbizwa mtaani na kuimbiwa wimbo wa kikojozi. ila vikojozi wengi siku wakiharibu kitandani unaambiwa waliota ndoto walisimama wakojoe huku washkaji wakiwa wanamsubiria nadhani huu ndiyo ulikua mtego karibu kwa kila kikojozi, hata mimi ilikuaga hivi hivi yaani unaota unakimbia mara moja kichakani kukojoa huku ukisubiriwa na washkaji kumbe ni mtego.
Babu hadi mimi hapa my ribs get trembling immediatelyWe jamaa umenichekesha sana *****...
Hahahaaahahahahaaa.Shukrani mkuu. Hivi sasa naendelea poa...
Hakuna kojo tamu kama la kukojoa usingizini utotoni... kasheshe ukishalimwaga sasa... ukifikiria bakora za asubuhi basi masaa yanakimbia balaa