Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Kwa waliokojoa kitandani tu!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Kama unakumbuka kukojoa kitandani ni kashikashi zipi ulipata by that time..mimi nakumbuka nilikuwa napigwa na kuambiwa nitoe matandiko huko nikila fimbo!
Raha niliyokuwa naipata nipale niliota nipo upenuni nakujoa huku washikaaji wananisibiria nusu dakika najiluta nipo kwenye dimbwi!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Duh nakumbuka mara ya kwnza kukojoa kitandani nikiwa najitambua ilikua nipo darasa la nne, niliota tumeenda kucheza chandim sasa kabla mechi kuanza nikawaambia jamaa wanisubirie nitoe chururu basi nikaenda pembeni ya goli nkaanza kukojoa duh yani nlikua najiskia raha ajabu afu kojo haliishi yani kama robo saa hv minakojoa mdogo mdogo yani mpaka watuwazima wanapita mi nawasalimia huku nakojoa uleutamu haukua wakawaida ghafla nikanza kuhisi joto lenyeunyevu hapo ndipo nlipo gundua ulikua mtego na maumivu ya kibofu yalikua makali kiasi chakukatisha usingizi, ikabidi nitoke kwenye ndoto fasta nikawahi toi then nikachange nguo nikachukua na nguo chafu nikagandamizia pale palipo lowa bahati nzuri palikua hapajaloa sana sasa kazi asubuhi ikiwa kulinda lileeneo madogo wasijue kama bro niliharibu mambo usiku # good old days
 
Kama unakumbuka kukojoa kitandani ni kashikashi zipi ulipata by that time..mimi nakumbuka nilikuwa napigwa na kuambiwa nitoe matandiko huko nikila fimbo!
Raha niliyokuwa naipata nipale niliota nipo upenuni nakujoa huku washikaaji wananisibiria nusu dakika najiluta nipo kwenye dimbwi!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
We jamaa umenichekesha sana mamamamae...
 
Kama unakumbuka kukojoa kitandani ni kashikashi zipi ulipata by that time..mimi nakumbuka nilikuwa napigwa na kuambiwa nitoe matandiko huko nikila fimbo!
Raha niliyokuwa naipata nipale niliota nipo upenuni nakujoa huku washikaaji wananisibiria nusu dakika najiluta nipo kwenye dimbwi!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Umenikumbusha mbali sana mkuu, mimi mwenyewe nimechezea sana kichapo mpaka darasa la tatu na kutishiwa kufungwa chura kiunoni huku nikikimbizwa mtaani na kuimbiwa wimbo wa kikojozi. ila vikojozi wengi siku wakiharibu kitandani unaambiwa waliota ndoto walisimama wakojoe huku washkaji wakiwa wanamsubiria nadhani huu ndiyo ulikua mtego karibu kwa kila kikojozi, hata mimi ilikuaga hivi hivi yaani unaota unakimbia mara moja kichakani kukojoa huku ukisubiriwa na washkaji kumbe ni mtego.
 
ha
Umenikumbusha mbali sana mkuu, mimi mwenyewe nimechezea sana kichapo mpaka darasa la tatu na kutishiwa kufungwa chura kiunoni huku nikikimbizwa mtaani na kuimbiwa wimbo wa kikojozi. ila vikojozi wengi siku wakiharibu kitandani unaambiwa waliota ndoto walisimama wakojoe huku washkaji wakiwa wanamsubiria nadhani huu ndiyo ulikua mtego karibu kwa kila kikojozi, hata mimi ilikuaga hivi hivi yaani unaota unakimbia mara moja kichakani kukojoa huku ukisubiriwa na washkaji kumbe ni mtego.
haha nimejikuta nachekka kwa sauti kuu uwii
 
Shukrani mkuu. Hivi sasa naendelea poa...

Hakuna kojo tamu kama la kukojoa usingizini utotoni... kasheshe ukishalimwaga sasa... ukifikiria bakora za asubuhi basi masaa yanakimbia balaa
Hahahaaahahahahaaa.
 
Wavulana wanaongoza zaidi kukojoa kitandani kuliko wasichana. Mvulana akianza kukojoa anasikia utamuuuu na hazinduki haraka kwa kuwa mkoja hamloweshi mapema. Msichana ile anaanza tu... anahisi unyevunyevu hivyo anastuka mapemaaaa si rahisi kumalizia kojo loteee. Mawazo yangu sio utafiti
 
Back
Top Bottom