Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Ntautafuta tushindane kunywa maji dada espy
 
kukjoa ktandan hakukuwai kumuacha mtu salama. mi nlkjoa ugenini nlpstuka ckjua ni saa ngap ila ckulal tena mpk asubuhi nltamn kua mchawi ili niukaushe mkojo kichawi.[emoji56][emoji56]
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli we noma, kwahiyo dogo alikuwa anachapwa kwa kosa lako!!
Kuna walianza ukatili wakiwa wadogooo, halafu anamfanyia bro wake.Huyo bro wake atakua alikua hajui inakuaje akojoe...
 
Mi nilikuwa mtundu sana and so nilikuwa nalala kama nimekufa..! Mkojo ulikuwa unanitoka bila ya kuota..! Dawa ilikuwa kulala mchana.. yaani nikilala mchana sikojoi nikisema nicheze mpaka jioni basi usiku lazima nilimwage
 
Nazani kwa sisi wote humu ndani hiyo laza hakuna ambae haja ionja nilikuwa nakeleka sana ninapo amka nimelowa
 
Ulivyoandika nimekuonea huruma utafikiri ni jambo limetokea leo.Pole sana.
 
Umenichekesa sana eti tulimpiga mande mgeni kama yupo shamba la irrigation maana hapo lazima utoboze chini.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
We acha tu, deibii tumesepa yeye atatokaje[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji13]. MAMA alikuwa shujaa wetu manake alitunyuka all time we what? We irrigate our bedroom.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…