mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Nilianza kupenda nikiwa mdogo.ila nilikuwa nawaogopa mademu kinoma.Duh wewe ulikojoa hadi umri wa kujua mademu! [emoji15] au zilikua aibu za kivulana tu
hahaha alitia famialia yake hasaraDuh wewe ulikojoa hadi umri wa kujua mademu! [emoji15] au zilikua aibu za kivulana tu
nlkua mpole kishenz ila ndo hvo tu nmetunziwa cr na wenyej lkn nahc lazma nyuma nlchekwaHahaa ugenini tena? Ikawaje kulipokucha?
Kwakweli sijui kuna mahusiano gani kati ya kukojoa kitandani na kuota, lazima tu uote alafu ndoto yake mkojo haukatiki alafu rahaa kukojoa.Kinachinishangaza kwanini ilikuwa lazima tuote? Yaani kama sio mgonjwa lazima uote unakojoa tu ukojoe kitandani. Watoto wote kesi hio hio unaota.
Nafikiri kizazi chetu hatutawachapa hovyo watoto wakikojoa kwasababu tunaelewa kinachowasibu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tupe uzoefu wako wa kulimwaga kojo utotoni. Mi nimelimwaga mpk darasa la sita *****
Hahahaaaa! Ulikuwa unaukaushaje?Sijui ilikuaje lakini hihabari niliishinda nadhani nikiwa kidato cha kwanza, hats hivyo niligundua teknolojia iliyonisaidia kuwa nakausha hicho kimiminika Kabla ya asubuhi, shida ilikua namna ya kuondoa ramani(mkojo ukikauka unaachaga ramani) kama siku hiyo shuka lililotumika sio la maua maua!
sasa si ungelala na kopo mkuuMimi nilikuwa stadi kwelikweli..! Nilikuwa najigeuza nakojoa kwa braza bmkubwa akija asubuhi brother ndiyo anakula kichapo..!
Nikiambiwa ni mimi nalia ile mbaya huku nikikomaa sijakojoa mimi, sasa siku moja nikamkojolea broo nyuma mbele kwenye mship dodo wake ukawa hapajaloana ile muda kidogo bmkubwa kaja kutuamsha akajua mchezo nilikula makofi ya matako mpaka leo sijawahi kojoa tena..!
Why nilikuwa nakojoa nilikuwa naogopa kuamka sababu ya PANYA walikiwa wanazurura wengi usiku.
ha haha me nilikuwa nakojoa mara moja moja halafu namchukua mdogo wangu alikuwa analala sana namsukumizia kwenye mikojo yangu..akiamka analia mama anampiga ila akirudi ananidunda ,,.. tatizo lingine mimi siyo muongeaji kujitetea sana siwezi na kumpiga siwezi ila dawa yake nilikuwa nasubiria niharibu nimsogeze na sijawahi kukamatwa
Nilikuwa siwezi kutoka nje ya shuka, panya ikitokea akapanda kitandani yawe ya hapo mpk mtaa nzima utaamka[emoji3][emoji3][emoji3]sasa si ungelala na kopo mkuu
[emoji15] [emoji15] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] hiyo ya kupanda juu ya mti unakojoa huku unaruka...Mi niliambiwa kila aina ya dawa mara huyu kasema sijui nipande juu ya mti nikojoe huku naruka toka kwenye tawi,mara nikakojolee mstari wa siafu wapii mara sijui kunywa maji ya mchele yale ya kuoshea wapii kila mbinu nilitumia ila bado nikawa nakojoa bado formula ni iyo iyo ya ndoto uzuri nilikua nalala peke yangu so nikilowesha hapa nahamia pale naendeleza usingizi mbinde maza akija asubui kukagua ha ha ha sometime nikijoa nawai shule kukwepa kipigo ukiludi ile unaingia getini maza anakuanzia vitasa kule kule ikafikia akataka kuja kunitangaza shule da ila akagaili ila ilikua very psychological torture mamnake watoto wengine walikua napapitishwa mtaani na kindumbwe ndumbwe chaliaaaa
harufu haikua kubwa sana nadhani, ilikua ni kuchukua matambala/nguo nakulalia eneo husika nahisi mikojo ilikua inafyonzwa na nguo hizo, familia haikua ikininyanyapaa, tatizo lilikuja likaisha lenyewe, personally sikuwa nasababishwa na kuota it was just happening aisee, sijui ilikua nini sababu, nilipokuja kulifutilia hili tatizo niliona sababu yake imefungamana na mambo kadhaa ya kisaikolojia wakati wa malezi/makuzi.Hahahaaaa! Ulikuwa unaukaushaje?
Na harufu je?
Kinachonishangaza hawa wazazi hawakupitia hii stage? Kwasababu watoto wote chanzo ni ndoto wala si uzembe. Umecheza mchana kutwa unalala hoi! Na ubongo ulivyona makusudi unakuotesha ule ule mchezo uliocheza unaenda kwenye majani unakojoa kumbe uko kitandani!Mi niliambiwa kila aina ya dawa mara huyu kasema sijui nipande juu ya mti nikojoe huku naruka toka kwenye tawi,mara nikakojolee mstari wa siafu wapii mara sijui kunywa maji ya mchele yale ya kuoshea wapii kila mbinu nilitumia ila bado nikawa nakojoa bado formula ni iyo iyo ya ndoto uzuri nilikua nalala peke yangu so nikilowesha hapa nahamia pale naendeleza usingizi mbinde maza akija asubui kukagua ha ha ha sometime nikijoa nawai shule kukwepa kipigo ukiludi ile unaingia getini maza anakuanzia vitasa kule kule ikafikia akataka kuja kunitangaza shule da ila akagaili ila ilikua very psychological torture mamnake watoto wengine walikua napapitishwa mtaani na kindumbwe ndumbwe chaliaaaa
Sasa unakereka nini wakati umejikojolea mwenyewe? 🙂🙂Mimi nilikuwa nakereka kweli ninapoamka nipo chepechepe.