Acha kabisa... Nilisevu hili zoezi nilipoingia la saba.... hapo angalau nlikuwa nalimwaga mara moja kwa wiki. Kabla ya hapo nadhani ilikuwa daily...
Ndoto yangu njema ya kumwaga kojo ilikuwa mashindano ya kumwaga kojo kwa mbali... Mademu wametuzunguka wanatushangilia waone nani kidume kinachorusha mkojo mbali... na soulmate wangu wa utotoni Hope alikuwa miongoni mwa wachuchu waliokuwa wanashangilia... basi Hope akawa ananishangilia, nami kidume nikiwa nawanyoosha maswahiba kwa kurusha kojo mbali.... Mara Hamad!!... shuubamit!! Hakuna mashindano na godoro lishaloa... ***** wallah
Kama kawaida asubuhi nikadamka na kigodoro changu na kufua mashuka yangu huku nikisubiria bakora za mama yangu ambaye alikuwa mwalimu wangu wa shule ya msingi...