Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Kwa waliokojoa kitandani tu!!

Kama unakumbuka kukojoa kitandani ni kashikashi zipi ulipata by that time..mimi nakumbuka nilikuwa napigwa na kuambiwa nitoe matandiko huko nikila fimbo!
Raha niliyokuwa naipata nipale niliota nipo upenuni nakujoa huku washikaaji wananisibiria nusu dakika najiluta nipo kwenye dimbwi!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kuna babaangu mdogo alipewa amri na babu ya kunitandika kila asubuhi iwapo nitakuwa nimekojoa, bahati mbaya kwangu jamaa alikuwa ananichukia mbaya kwakuwa nilikuwa napendwa sana na babu, basi akachukua nafasi hiyo kuniadhibu kila siku, nikojoe, nisikojoe lazima nichezee stick za kutosha...
 
Aisee nuxx..


Pindi nipo sijui la 3 niliendaga kutembea kwa baba yangu mdogo...alfajiri fulani nakuja kushtuka nishaharibu bed! Nikaona isiwe tabu nikachukua pasi kimya kimya..maana nililala na mdogo wangu ila yeye alikua na kitanda chake...nikaanza linyoosha godoro na shuka mpk yakakauka dadeki! Bahati nzuri pia shuka lilikua rangi ya njano kwa hiyo haikua rahisi ramani yangu niliyochora kuonekana....ilipofika asubuhi tulikua tuende beach nilichukua pafyumu nikaimwagia(maana haikuwa kupulizia kule aisee) kwenye shuka na bukta niliyolalia!

Hakuna aliyestukia mchezo kabisa..
 
Hahahahaha lol! Pole sana duh!

Mi niliambiwa kila aina ya dawa mara huyu kasema sijui nipande juu ya mti nikojoe huku naruka toka kwenye tawi,mara nikakojolee mstari wa siafu wapii mara sijui kunywa maji ya mchele yale ya kuoshea wapii kila mbinu nilitumia ila bado nikawa nakojoa bado formula ni iyo iyo ya ndoto uzuri nilikua nalala peke yangu so nikilowesha hapa nahamia pale naendeleza usingizi mbinde maza akija asubui kukagua ha ha ha sometime nikijoa nawai shule kukwepa kipigo ukiludi ile unaingia getini maza anakuanzia vitasa kule kule ikafikia akataka kuja kunitangaza shule da ila akagaili ila ilikua very psychological torture mamnake watoto wengine walikua napapitishwa mtaani na kindumbwe ndumbwe chaliaaaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kundumbwe ndumbwe hakikukuhusu?
Acha kabisa... Nilisevu hili zoezi nilipoingia la saba.... hapo angalau nlikuwa nalimwaga mara moja kwa wiki. Kabla ya hapo nadhani ilikuwa daily...

Ndoto yangu njema ya kumwaga kojo ilikuwa mashindano ya kumwaga kojo kwa mbali... Mademu wametuzunguka wanatushangilia waone nani kidume kinachorusha mkojo mbali... na soulmate wangu wa utotoni Hope alikuwa miongoni mwa wachuchu waliokuwa wanashangilia... basi Hope akawa ananishangilia, nami kidume nikiwa nawanyoosha maswahiba kwa kurusha kojo mbali.... Mara Hamad!!... shuubamit!! Hakuna mashindano na godoro lishaloa... ***** wallah

Kama kawaida asubuhi nikadamka na kigodoro changu na kufua mashuka yangu huku nikisubiria bakora za mama yangu ambaye alikuwa mwalimu wangu wa shule ya msingi...
 
Acha kabisa... Nilisevu hili zoezi nilipoingia la saba.... hapo angalau nlikuwa nalimwaga mara moja kwa wiki. Kabla ya hapo nadhani ilikuwa daily...

Ndoto yangu njema ya kumwaga kojo ilikuwa mashindano ya kumwaga kojo kwa mbali... Mademu wametuzunguka wanatushangilia waone nani kidume kinachorusha mkojo mbali... na soulmate wangu wa utotoni Hope alikuwa miongoni mwa wachuchu waliokuwa wanashangilia... basi Hope akawa ananishangilia, nami kidume nikiwa nawanyoosha maswahiba kwa kurusha kojo mbali.... Mara Hamad!!... shuubamit!! Hakuna mashindano na godoro lishaloa... ***** wallah

Kama kawaida asubuhi nikadamka na kigodoro changu na kufua mashuka yangu huku nikisubiria bakora za mama yangu ambaye alikuwa mwalimu wangu wa shule ya msingi...
Daaahhh!!

Projectile motion huku ikishuhudiwa na washabiki lukuki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Projectile motion haijawahi kuniacha salama kwenye kojo la utotoni...
Mimi ambaye niliwahi kulalia matandiko ya ngozi za ng'ombe huu mziki siwezi kuuhadithia
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mimi ambaye niliwahi kulalia matandiko ya ngozi za ng'ombe huu mziki siwezi kuuhadithia
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hahahha *****...

Huo mziki bora usiuhadithie. Nahofu tutavunjika mbavu...
 
Hahahha *****...

Huo mziki bora usiuhadithie. Nahofu tutavunjika mbavu...
Mimi mwenyewe hapa niko hoi nikifikiria, nimebaki kucheka za wengine wanaopiga magodoro pasi kuzima msala.

Ngozi ni zaidi ya mwavuli, unajikuta uko swimming pool huna la kusema.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi mwenyewe hapa niko hoi nikifikiria, nimebaki kucheka za wengine wanaopiga magodoro pasi kuzima msala.

Ngozi ni zaidi ya mwavuli, unajikuta uko swimming pool huna la kusema.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahahaa lakini hiyo si fresh maana unaibuka unaenda kumwaga kojo, unageuza upande wa pili unaendelea na mboji yako kwa amani...
 
Kama unakumbuka kukojoa kitandani ni kashikashi zipi ulipata by that time..mimi nakumbuka nilikuwa napigwa na kuambiwa nitoe matandiko huko nikila fimbo!
Raha niliyokuwa naipata nipale niliota nipo upenuni nakujoa huku washikaaji wananisibiria nusu dakika najiluta nipo kwenye dimbwi!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kujisaidia kitandani.
 
Aiseeee
Sijawahi cheka kama leo!!! Mhenga Mwenzanguu Asante kwa mada!!!!

Sina Mbavu mieee
Kumbe ndo maana naona unavyonigongea maLikes tu...

Hebu tupe kahadithi kako ka kumwaga kojo utotoni...

Usinambie hujawahi kumwaga, ntaufuta uchepukaji wetu...
 
Aiseeee
Sijawahi cheka kama leo!!! Mhenga Mwenzanguu Asante kwa mada!!!!

Sina Mbavu mieee
Pole sana.

Nilipoona like yako nikarudi tena mjengoni kuona yanayojiri.

Daaahhh!!! Ndoto inayotimia ni ya kukojoa tu ila ya kuokota hela unaamka unakuta hamna
 
Back
Top Bottom