Mi niliambiwa kila aina ya dawa mara huyu kasema sijui nipande juu ya mti nikojoe huku naruka toka kwenye tawi,mara nikakojolee mstari wa siafu wapii mara sijui kunywa maji ya mchele yale ya kuoshea wapii kila mbinu nilitumia ila bado nikawa nakojoa bado formula ni iyo iyo ya ndoto uzuri nilikua nalala peke yangu so nikilowesha hapa nahamia pale naendeleza usingizi mbinde maza akija asubui kukagua ha ha ha sometime nikijoa nawai shule kukwepa kipigo ukiludi ile unaingia getini maza anakuanzia vitasa kule kule ikafikia akataka kuja kunitangaza shule da ila akagaili ila ilikua very psychological torture mamnake watoto wengine walikua napapitishwa mtaani na kindumbwe ndumbwe chaliaaaa