HahahaKumbe ndo maana naona unavyonigongea maLikes tu...
Hebu tupe kahadithi kako ka kumwaga kojo utotoni...
Usinambie hujawahi kumwaga, ntaufuta uchepukaji wetu...
We acha tuu ndugu!!!! Sijui ni kwa nini bhanaa!!!!Pole sana.
Nilipoona like yako nikarudi tena mjengoni kuona yanayojiri.
Daaahhh!!! Ndoto inayotimia ni ya kukojoa tu ila ya kuokota hela unaamka unakuta hamna
HahahaaaSijawahi kupata raha ya kukojoa kama niliyokuwa nikiipata kupitia ndoto maana nilikuwa naachia hadi ule wa nyongeza!
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Ila ni kwanini tulikuwa hatuoti kukata gogo???Hahaha
Yaani siweziiii hata kuandika mchepuko wangu!!!!
We acha tuu, kojo la ndoto huwa lanoga kweeeli si mchezo!!!!
Umenichekesa sana eti tulimpiga mande mgeni kama yupo shamba la irrigation maana hapo lazima utoboze chini.Weeee, huu mchezo hauhitaji hasira, nakumbuka mimi na bwana mdogo ( enzi hizo sasa hivi tu maofsa flani hivi usihoji) tulikuwa vikojozi mbayaa, kama mibakora tullichezea sana tu, tukaibuka na mbinu ya kulala kwa zamu aaa wapi ikafeli, tukaibuka na mbinu mpya, tunaongoa matandiko ( godoro anasa) tunajaladia asubuhi tuaamka na kurudishia mchezo unasonga, tena kwa mbwembwe tu natangaza tumeacha ukojozi, ngoma alikuja mgeni weee asubuhi ilitembea fimbo mbaya, nilisahau kukojoa kila nikikumbuka kipigo, tulimpiga mande kalowa chepe chepe.
Aisee, mbinu kibao lakini ishu imevujaWeeee, huu mchezo hauhitaji hasira, nakumbuka mimi na bwana mdogo ( enzi hizo sasa hivi tu maofsa flani hivi usihoji) tulikuwa vikojozi mbayaa, kama mibakora tullichezea sana tu, tukaibuka na mbinu ya kulala kwa zamu aaa wapi ikafeli, tukaibuka na mbinu mpya, tunaongoa matandiko ( godoro anasa) tunajaladia asubuhi tuaamka na kurudishia mchezo unasonga, tena kwa mbwembwe tu natangaza tumeacha ukojozi, ngoma alikuja mgeni weee asubuhi ilitembea fimbo mbaya, nilisahau kukojoa kila nikikumbuka kipigo, tulimpiga mande kalowa chepe chepe.
HahahaIla ni kwanini tulikuwa hatuoti kukata gogo???
Sipati picha, maana kama kumwaga kojo nilichezea bakora namna ile, ningekata gogo yule mama angekuwa kashanihamishia ahera wallah...
yani unaamka unakuta mzigo wa kutosha kwa pichu, na mbele umeachia bahari ya kutosha ya kojo...Hahaha
Kukata gogo Mmmmh!!!
We mchepuko nakugawa bure!!yani unaamka unakuta mzigo wa kutosha kwa pichu, na mbele umeachia bahari ya kutosha ya kojo...
HahahaHutanimiss??
View attachment 600624
Mimi nilipata tabu sana pindi ilikua ikiwa zamu ya mwalim mkali pale nilipokua nikilala nimavaa nguo za shule ili nikikurupushwa tu nianze mbio za shule mamamae unashutuka muda muafaka unakuta nguo zote zimeloa alafu zinanua utadhani beberu
Ndiyo mkuuHahaaa uwiii! Mbavu zangu chura ili usikojoe?
Aibuje?Na umri huu huwa nikianza ota naenda kojoa tuu nakurupuka mwenyewe maana mmmh....
Duh nakumbuka mara ya kwnza kukojoa kitandani nikiwa najitambua ilikua nipo darasa la nne, niliota tumeenda kucheza chandim sasa kabla mechi kuanza nikawaambia jamaa wanisubirie nitoe chururu basi nikaenda pembeni ya goli nkaanza kukojoa duh yani nlikua najiskia raha ajabu afu kojo haliishi yani kama robo saa hv minakojoa mdogo mdogo yani mpaka watuwazima wanapita mi nawasalimia huku nakojoa uleutamu haukua wakawaida ghafla nikanza kuhisi joto lenyeunyevu hapo ndipo nlipo gundua ulikua mtego na maumivu ya kibofu yalikua makali kiasi chakukatisha usingizi, ikabidi nitoke kwenye ndoto fasta nikawahi toi then nikachange nguo nikachukua na nguo chafu nikagandamizia pale palipo lowa bahati nzuri palikua hapajaloa sana sasa kazi asubuhi ikiwa kulinda lileeneo madogo wasijue kama bro niliharibu mambo usiku # good old days